CHADEMA kufuta nafasi za Ukuu wa Wilaya
![](http://2.bp.blogspot.com/-9n3eeAajHUU/VOhI4MyDweI/AAAAAAAABFc/w-6-PrZC0Ac/s72-c/Mwalimu.jpg)
Naibu katibu Mkuu CHADEMA (Zanzibar) Mh. Salum Mwalimu akihojiwa na Star TV amesema CHADEMA itafuta nafasi za Ukuu wa Wilaya kwani hazina majukumu ya kiutendaji na nigharama kwa wananchi zisizo na lazima.
Akiendelea kuongea na Star TV amekanusha kuwa kuna mgogoro ndani ya UKAWA juu ya mgombea wa Urais; na UKAWA haija vunja vyama, vyama vipo pale pale, bali kila chama kina wajibu wa kuendelea kujijenga na kuimarika kama chama ili kila mmoja aweze kuwa mshirika imara na mwenye nguvu kwenye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Feb
Aliyetemwa ukuu wa wilaya ageukia ubunge
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2629702/highRes/950184/-/maxw/600/-/ix45r7/-/ukuu.jpg)
Dar es Salaam. Siku moja baada ya uteuzi wake kutenguliwa na Rais Jakaya Kikwete, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu amesema sasa anageukia ubunge katika Jimbo la Singida Magharibi.Kingu alisema siku nyingi alikuwa na shauku ya kugombea ubunge katika jimbo hilo, kwamba kuondolewa katika wadhifa huo kutampa nafasi ya kujipanga na kuhakikisha anashinda jimbo hilo linaloongozwa na Mohamed Hamisi Missanga (CCM).“Unajua kwa muda...
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Ukuu wa Wilaya unavyogaiwa kama peremende
10 years ago
Mwananchi20 Feb
SIASA: Aliyetemwa ukuu wa wilaya ageukia ubunge
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Chaumma kufuta nafasi za Ma-DC, RC
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/zWMQgEM0vt4/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/zWMQgEM0vt4/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CIFdnnriAx4/Uk2IjCDEqZI/AAAAAAAAE4I/-rUZul_FRWc/s72-c/IMG-20131003-WA0011.jpg)
JESSICA MUSHALA, LOVENESS MAMUYA NA CHRIS LUKOSI WAKANUSHA HABARI KUHUSIANA KUTANGAZA VITA BAADA YA KUKOSA UKUU WA WILAYA
![](https://media.licdn.com/mpr/mpr/shrink_200_200/p/5/000/265/34d/21fcf2f.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CIFdnnriAx4/Uk2IjCDEqZI/AAAAAAAAE4I/-rUZul_FRWc/s200/IMG-20131003-WA0011.jpg)
![](https://pbs.twimg.com/profile_images/3121035932/1d7070a887b9883b7502364bf3d92c78_400x400.jpeg)
Habari iliyoandikwa leo kwenye mtandao wa Jamii Forums na mdau ambaye hakujitambulisha jina na baadae kusambaa kwenye mitandao mbalimbali ikiwemo SMS na Whatsup iliyobeba kichwa cha habari "Makada wa CCM Diaspora watangaza vita baada ya kukosa ukuu wa Wilaya"
Vijimambo ilibidi uwavutie waya kwa nyakati tofauti wahusika wakuu waliotajwa kwenye habari hoyo kutaka kujua kulikoni na kama habari yenyewe ina ukweli ndani...
9 years ago
Habarileo11 Sep
Mgombea Chadema kufuta tozo hospitalini
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Kibaha Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Editha Babeiya ameahidi atakapochaguliwa ataondoa gharama za kujifungua hospitalini.
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwjPajbyPYM/VBYGNHuHZnI/AAAAAAADDa8/w_3TshBHAoo/s1600/WP_20140914_21_58_12_Pro__highres.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HG5Aa9bQe-c/VBYGNwW5hgI/AAAAAAADDbI/0LaVyaK69RA/s1600/WP_20140914_22_03_19_Pro.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zkazILlqtYY/VBYGORb9FrI/AAAAAAADDbQ/kDW2ga7xEMw/s1600/WP_20140914_22_03_52_Pro__highres.jpg)