Chagueni Rais atakayewaletea maendeleo -Askofu
WATANZANIA wametakiwa kutofanya makosa katika Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu, na badala yake wameelekezwa kumchagua Rais atakayesaidia kuiletea nchi maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Mbowe: Chagueni Ukawa mpate maendeleo
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Askofu: Rais ajaye atoke Zanzibar
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Tanganyika Kusini Magharibi Mathew Mhagama amsema ili kuliunganisha Taifa la Tanzania kuwa moja ni vema Rais ajaye mwakani atoke Zanzibar na si vinginevyo....
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Rais Kikwete amlilia Askofu Lukanima
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kutokana na kifo cha Mhashamu Askofu mstaafu Fortunatus Lukanima, aliyekuwa Askofu wa...
9 years ago
StarTV02 Jan
Rais Magufulia amtebelea Askofu pengo
Magufuli amemtembelea na kumjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es salaam Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo, aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es salaam.
Rais Magufuli aliyeongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli, amempa pole Askofu Pengo na kumuombea afya njema ili aweze kuendelea na shughuli zake za kutoa huduma za kiroho kwa wananchi.
Akielezea hali ya Askofu Pengo, Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo...
11 years ago
Habarileo28 Jul
Askofu ataka ushauri wa Rais uheshimiwe
WATANZANIA wameshauriwa kuendelea kuheshimu hadhi na mamlaka aliyonayo Rais wa Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania, Jakaya Kikwete, kwa kuthamini na kuzingatia mwongozo na ushauri mbalimbali anaoutoa kwa wananchi, kwani mamlaka hayo yanatoka kwa Mungu.
10 years ago
Habarileo08 Sep
Askofu azungumzia sifa za Rais ajaye
ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Donald Mtetemela amezungumzia sifa za rais ajae na kusema haoni shida nchi ikipata rais kijana.
5 years ago
Bongo514 Feb
‘Mh Rais, majipu unayotumbua wewe ni madogo madogo’ – Askofu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli na Mkewe Mama Janeth Magufuli sikukuu ya Pasaka, waliungana na waumini wa kanisa la Africa Inland – Tanzania Dayosisi ya Pwani Pastorate ya Magomeni kusali ibada ya Pasaka.
Katika ibada hiyo Askofu wa Kanisa la Africa Inland – Tanzania Baba Askofu Charles Salalah aliongoza maombi ya kumuombea Rais Magufuli na kumpongeza kwa kazi kubwa ya kurekebisha mambo yote yasiyofaa nchini ikiwemo kuwaondoa viongozi wanaotumia madaraka yao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-miwUM-FPtbw/VE4G5LSPXHI/AAAAAAAGthc/CtxBos2fiPA/s72-c/hongeraaaaa.jpg)
Mwandosya amwakilisha Rais Kusimikwa kwa askofu Kigoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-miwUM-FPtbw/VE4G5LSPXHI/AAAAAAAGthc/CtxBos2fiPA/s1600/hongeraaaaa.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ccxqCrUSMVo/VE4G5onIP1I/AAAAAAAGthg/k3OruZbSB_0/s1600/Mwandosya%2Bakisalimia%2Bwageni.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
RAIS DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE AKIMPONGEZA ASKOFU MPAYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
---------------------------------Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumapili, Aprili 12, 2015 ameungana na maelfu ya waumini wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Shinyanga, kuhudhuria Ibada rasmi ya kumweka wakfu na kumsimika...