CHAMA CHA CHADEMA CHAZIDI KUKIMBIWA NA VIONGOZI WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-T6WZoRa36c8/XlUbQbkeVQI/AAAAAAACzZ0/dKEflFk03q4120sCaCazGsTW81Q9T1rKgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Diwani kutoka Kata ya Hunyari iliyopo Halmashauri ya Bunda mkoani Mara Makina Josephat ametangaza kuhama Chadema na kuhamia CCM.
Makina ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Bunda na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama hiko kikuu cha upinzani ametangaza uamuzi huo leo jijini Dodoma na kupokelewa na MNEC wa CCM, Ismail Jamaa.
Akizungumza baada ya kumpokea Diwani huyo, MNEC Jamaa amesema wamempokea kiongozi huyo kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa na kwamba taratibu zingine za kumpokea...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHAMA CHA CCM IRINGA CHAWASHANGAA CHADEMA KUZUIA WANACHAMA WAKE KUNYWA MAZIWA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2nkx2em4eO0/VG7ltmWPtkI/AAAAAAACvDg/7NvsxG0-gJM/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2nkx2em4eO0/VG7ltmWPtkI/AAAAAAACvDg/7NvsxG0-gJM/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
Nyumba ya Maarifa (NIP) mkabala ATCL House, Ghorofa ya Kwanza, Mtaa wa Ohio, S.L.P. 79868, Dar es Salaam. Simu: +255 22 2127464, Nukushi: +255 22 2126399 Barua pepe: info@tapsea.org, Tovuti: http://www.tapsea.org
![](file:///C:%5CUsers%5CMichuzi%5CAppData%5CLocal%5CTemp%5Cmsohtmlclip1%5C01%5Cclip_image001.png)
![](file:///C:%5CUsers%5CMichuzi%5CAppData%5CLocal%5CTemp%5Cmsohtmlclip1%5C01%5Cclip_image002.png)
VIONGOZI WAPYA WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA WATAMBULISHA OFISI MPYA ZA CHAMA
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA – TAPSEA ANAWAJULISHA MAKATIBU MAHSUSI WOTE TANZANIA KUWA OFISI YA TAPSEA IMEHAMIA KATIKA JENGO LA NYUMBA YA MAARIFA (NIP) MTAA WA...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DGBnDW0dc5A/VL4p8tUQAMI/AAAAAAAG-d0/W0shz63DrJA/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Viongozi wa Chama cha Skauti wakutana na Wadhamini wa Chama
![](http://4.bp.blogspot.com/-DGBnDW0dc5A/VL4p8tUQAMI/AAAAAAAG-d0/W0shz63DrJA/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s72-c/maj22.jpg)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU
![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s400/maj22.jpg)
Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iQ6E7KpUEew/VQwwur3Vt0I/AAAAAAAHLp0/3QgR5XuY8kY/s72-c/zitto.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...
11 years ago
GPLBAADA YA KUKIMBIWA NA MPINZANI WAKE KALAPINA ATANGAZA KUZICHAPA NA KASEBA
11 years ago
Habarileo11 Aug
Chadema Kigoma yataja viongozi wake
Fadhili Abdallah, Kigoma CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza majina ya viongozi wa chama hicho Mkoa wa Kigoma watakaokiongoza kwa muda kujaza nafasi zilizoachwa na waliokuwa viongozi waandamizi ambao wamejiunga na Chama cha ACT.
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
CHADEMA yawatega viongozi wake Kahama
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilayani Kahama, kimewapa wiki mbili za kujieleza viongozi wake ni kwa nini wasifukuzwe uanachama kutokana na utovu wa nidhamu. Miongoni mwa viongozi hao watatu...