Chamwino washindia unga wa ubuyu
WAKAZI wa Kata ya Ikowa, Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, wanakabiliwa na njaa na kulazimika kutumia unga wa ubuyu kama sehemu yao ya chakula cha kila siku. Inadaiwa wengine wamekuwa wakisaga pumba za mahindi ili kupata chakula.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-64ouCua__gs/VYgfv-G8TOI/AAAAAAADtRU/uhn8QfRryqk/s72-c/1.jpg)
BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI WILAYANI CHAMWINO -DODOMA, ATEMBELEA MNARA WA KUMBUKUMBU YA MW. NYERERE KATIKA KIJIJI CHA CHAMWINO IKULU
![](http://2.bp.blogspot.com/-64ouCua__gs/VYgfv-G8TOI/AAAAAAADtRU/uhn8QfRryqk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-x07E-8mYU1I/VYgfvlOQ8MI/AAAAAAADtRY/ySwFk3YU98E/s640/1A.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTYIRj17r-pkgs69p3EYzIukSbbgFRM8yVcYLoe42uTujiS*WsMCQ14Kzk3vZuUne7ccW0Lb46MBb6XNCpUywQ-/unga.jpg?width=750)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QeDzYL4Fy3sDIxlp9yPrkUlaVlF2XN90FFrRl0fpuWdXYZ3brhFx-VowzWs7NQHKFPd8WHA347JFiW1Kq48qouL/wastara.jpg?width=450)
WASTARA ACHEKELEA UBUYU, KULIKONI?
10 years ago
Bongo Movies12 Feb
UBUYU:Bifu Jipya Lungi, Amanda
Mwigizaji wa filamu, Lungi Maulanga anadaiwa kuwa katika bifu kali na mwenzake Tamrina Poshi ‘Amanda’ kwa kile kinachotajwa kuwa ni mmoja wao kumponda mwenziye akimsema kuwa anaenda nje kujiuza.
“Unaambiwa Lungi baada ya kuambiwa hivyo alikasirika na kumpigia simu Amanda wakaanza kutukanana kiasi cha kufikia hatua ya kutaka kuchapana,” kilisema change za GPL.
Baada ya habari hii kutua mezani, mwandishi wa GPL alizungumza na wote wawili ambapo Lungi alikiri kutofautiana na mwenzake kwa...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
NDEGE YA UJERUMANI ILIANGUSHWA MAKUSUDI {UBUYU}
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/26/150326134546_andreas_lubitz_640x360_imagemretiradadotwitter_nocredit.jpg)
Rubani wa ndege ya kampuni ya Germanywings ilioanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa siku ya jumanne alitaka kuiharibu ndege hiyo kulingana na maafisa wa Ufaransa.Kiongozi wa mashtaka katika mji wa Mersaille ,Brice Robin, akizungumza kulingana na habari aliyopata katika kijisanduku cha kunasa sauti katika ndege amesema kuwa rubani huyo alikuwa ndani ya chumba cha kuendesha ndege pekee.Rubani huyo kimakusudi aliishusha ndege hiyo kwa kasi huku rubani mwenza akiwa...
11 years ago
Habarileo21 Jun
Adaiwa kuhonga ubuyu kulawiti watoto
MKAZI wa mmoja wa Kijiji cha Igurubi Tarafa ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuwaingilia kimwili watoto wenye umri wa chini ya miaka kumi, baada ya kuwarubuni kwa kuwapa ubuyu na Sh 500 taslimu.
10 years ago
Bongo Movies06 May
Ubuyu:Wema, Aunt Kimenuka Kisa Zari
Gazeti la Risasi la leo limeripoti kuwa Mataa wa bongo movies ambao ni mashosti wa kufa na kuzikana, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wanadaiwa kugombana baada ya Aunt ‘kuposti’ kwenye ukurasa wake wa Instagram tangazo lililohusiana na pati ya mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ iliyofanyika Mlimani City jijini Dar wikiendi iliyopita.
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa mastaa hao wa sinema za Kibongo, baada ya Aunt kuposti...
10 years ago
Bongo Movies09 Mar
Ubuyu:Mama Wema Amzaba Vibao Askari!
Mama wa Staa wa Bongo Movies,Wema Sepetu anadaiwa kumzaba vibao askari wa kampuni binafsi.
Kwa mujibu wa shuhuda watukio zima, tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi lilijiri kwenye Bandari ya Dar es Salaam, majira ya mchana Ijumaa iliyopita. Awali ya yote shuhuda huyo alihojiwa kama s kama anamjua vizuri mama Wema ambapo alithibitisha kuwa ni yeye huku akisapotiwa na wenzake waliokuwa wakisikika kwenye simu.
“Nani asiyemjua mama wa staa mkubwa kama Wema? Tena kafuatana na Wema...
10 years ago
Bongo Movies27 Feb
UBUYU: Lulu na Jacqueline Wolper Waoneshana Jeuri ya Mabwana!
Warembo na waigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Jacqueline Walper ‘ Wolper’ Massawe wanadaiwa kuoneshana jeuri ya mabwana wakipima ni yupi mwenye mshiko zaidi huku akina Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja ambao awali walikuwa juu wakipotezwa.
Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Gazeti la Ijumaa, wamebaini kwamba, kumekuwa na kasumba ya baadhi ya mastaa hao kutambiana kuwa ni nani zaidi anayemiliki bwana mwenye mawe au mshiko kuliko wengine.
Inadaiwa kwamba, baada ya Lulu...