Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASTARA ACHEKELEA UBUYU, KULIKONI?

Na Hamida Hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Wastara Juma ameibua maswali baada ya kuonekana akifakamia ubuyu kwa wingi huku wengi wakidhani labda amenasa! Tehe! Wastara Juma. Mkali huyo wa hisia awapo mbele ya kamera, alinaswa na kamera yetu hivi karibuni akiwa lokesheni na wasanii wengine ambao nao pia walikula lakini si kwa sana kama yeye. Risasi Mchanganyiko lilimuweka mtu kati ambapo alisema: “Jamani... mimi napenda...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Ubuyu: Wastara Amchunguza na Kumpiga Msasa Bond Kabla ya Kumuweka "Ofisho"!!

Baada ya tetesi kuzagaa mitaani kwamba wasanii wa filamu Bongo, Wastara Juma na Bondi Bin Salim wanatoka kimapenzi, bidada huyo ameibuka na kufunguka kuwa bado hajamkubalia jumla Bondi kwani bado anamchunguza.

Akipiga stori na paparazi wa GPL, Wastara alisema anamrekebisha baadhi ya vitu ili aweze kuwa wake na kama hatabadilika, atampiga chini.

“Bondi ninamchunguza kwanza na kumpiga msasa awe wa tofauti na alivyokuwa zamani sijamtangaza rasmi kwa sababu kuna vitu bado sijajiridhisha kwake...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ubuyu Kuhusu Wolper Kumpiga Mizinga Bwana wa Wastara Huu Hapa

Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper amedaiwa kuwa na tabia ya kumpiga mizinga (kuomba fedha) mume mtarajiwa wa mwigizaji Wastara Juma, Mark Edi.

Kwa mujibu wa gazeti la Risasi, chanzo chao makini makini kilicho karibu na Mark ambaye ni mfanyabiashara mwenye maduka ya nguo jijini Dar, kilidokeza  kuwa, kabla ya kuanzisha uhusiano na Wastara, Mark alikuwa na uhusiano na Wolper lakini alimshindwa kutokana na tabia hiyo ya kupiga mizinga.

“Yaani Wolper ni balaa, anampiga sana...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sarkozy kotini, kulikoni?

Sarkozy achunguzwa rasmi kuhusiana na tuhuma za kupokea fedha za kampeni kinyume cha sheria zikiwemo alizopewa na Ghadafi

 

10 years ago

GPL

VAI ACHEKELEA KUACHIKA!

Gladness Mallya
MCHEZA filamu anayefanya vizuri nchini, Isabela Francis ‘Vai’ amefunguka na kuchekelea kuachana na mpenzi wake ajulikanaye kwa jina la Boniface Matiku ‘Bonny’, akisema akiwa nyumbani kwa mama yake, ana uhuru wa kuamua chochote, ikiwa ni pamoja na kunywa pombe hata asubuhi. Mcheza filamu anayefanya vizuri nchini, Isabela Francis ‘Vai’. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko...

 

10 years ago

BBCSwahili

CCM na Waziri mkuu kulikoni ?

Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania kuchunguza kama Waziri mkuu wa nchi hiyo Mizengo Pinda kama alifanya kampeni za Urais.

 

9 years ago

Global Publishers

Shamsa achekelea mpenzi mpya

FordStaa wa filamu Bongo, Shamsa Ford

Na Gladness Mallya
STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford ameonesha furaha yake ya kuumaliza mwaka kwa kumpata mpenzi mpya, ambaye hata hivyo, alikataa kutaja jina lake.

Akizungumza na gazeti hili juzikati, Shamsa alisema mwaka huu pia umeweka historia kwa yeye kuweza kutimiza mambo yote aliyojipangia tangu alipoachana na baba wa mtoto wake.

“Nafurahi sana namaliza mwaka nikiwa nimetimiza malengo pia kuwa na mpenzi mpya ambaye ni mume wangu mtarajiwa, ndani ya...

 

10 years ago

GPL

JOKATE ACHEKELEA KUMBWAGA LULU

Na Hamida Hassan/Amani MWANAMITINDO na dairekta wa lebo ya Kidoti, Jokate Mwegelo amekuwa tishio kwa msanii wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa urembo na muonekano katika picha zinazoonekana mitandaoni nchini. Mwanamitindo na dairekta wa lebo ya Kidoti, Jokate Mwegelo. Mtandao mmoja wa hapa nchini umeendesha zoezi la kuweka picha zao kali zinazowaonesha wote wawili wakiwa na muonekano na picha kali...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli achekelea makandarasi kuadhibiwa

Waziri wa Ujenzi, John Magufuli ameupongeza Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroad) kwa kuwachukulia hatua watendaji wa Kampuni ya Dott Services kwa kosa la kuchelewesha ujenzi wa barabara ya Mkumbara hadi Same yenye urefu wa kilomita 96.

 

10 years ago

GPL

WEMA ACHEKELEA KANDAMBILI ZA JOKATE

Stori: Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda
MBUNIFU wa mavazi na mtangazaji Bongo, Jokate Mwegelo amesababisha shosti yake, Wema Sepetu ‘Madam’ afurahi baada ya kumpelekea zawadi ya kandambili zake za Kidoti pamoja na vipodozi mbalimbali.
Jokate alisema Wema ni miongoni mwa watu ambao anawakubali kutokana na mchango mkubwa katika tasnia ya filamu Bongo, hivyo ameamua kumpelekea zawadi  ya bidhaa zake za Kidoti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani