Sarkozy kotini, kulikoni?
Sarkozy achunguzwa rasmi kuhusiana na tuhuma za kupokea fedha za kampeni kinyume cha sheria zikiwemo alizopewa na Ghadafi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1rFq7go2Gdk/U7cg-SUVjnI/AAAAAAAFvGs/4ICVaBFO4jU/s72-c/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Sarkozy ahojiwa kuhusu fedha za uchaguzi
Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy anashikiliwa akihojiwa kutokana na matumizi mabaya ya fedha za uchaguzi
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V-y1QgPfuxw/U342XdXg54I/AAAAAAAFkjw/o1lRofDvm78/s72-c/M9cpXqyTE.jpeg)
RAIA WAWILI WA ROMANIA KOTINI KWA KUIHUJUMU TCRA
![](http://3.bp.blogspot.com/-V-y1QgPfuxw/U342XdXg54I/AAAAAAAFkjw/o1lRofDvm78/s1600/M9cpXqyTE.jpeg)
Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Mahakamani
WATU wawili raia wa Romania wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi ikiwemo udanganyifu,kutumia kadi zisizosajiliwa, kuingiza nchini na kutumia mitambo ya simu bila kibali, kutoa huduma ya mawasiliano ya kimataifa bila kibali cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kuisababishia hasara ya Sh. Bilioni 2.1 Mamlaya ya Mawasiano Tanzania (TCRA).
Washtakiwa hao ni, Meneja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_ZgHqiQIeDQ/XlGPQ95VipI/AAAAAAALe30/_yO_40XLG7gHUwb9GUadw3biGH08uTQiQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6b354f3f7f21lrra_800C450.jpg)
Waziri Mkuu wa Lesotho anayehusishwa na mauaji ya mkewe akosa kufika kotini
![](https://1.bp.blogspot.com/-_ZgHqiQIeDQ/XlGPQ95VipI/AAAAAAALe30/_yO_40XLG7gHUwb9GUadw3biGH08uTQiQCLcBGAsYHQ/s640/4bv6b354f3f7f21lrra_800C450.jpg)
Potlako Thabane, mtoto wa kiume wa Thabane amesema Waziri Mkuu huyo amepelekwa nchini Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu, na wala hajakimbia nchi na mashitaka yanayomkabili...
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
CCM na Waziri mkuu kulikoni ?
Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania kuchunguza kama Waziri mkuu wa nchi hiyo Mizengo Pinda kama alifanya kampeni za Urais.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QeDzYL4Fy3sDIxlp9yPrkUlaVlF2XN90FFrRl0fpuWdXYZ3brhFx-VowzWs7NQHKFPd8WHA347JFiW1Kq48qouL/wastara.jpg?width=450)
WASTARA ACHEKELEA UBUYU, KULIKONI?
Na Hamida Hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Wastara Juma ameibua maswali baada ya kuonekana akifakamia ubuyu kwa wingi huku wengi wakidhani labda amenasa! Tehe! Wastara Juma. Mkali huyo wa hisia awapo mbele ya kamera, alinaswa na kamera yetu hivi karibuni akiwa lokesheni na wasanii wengine ambao nao pia walikula lakini si kwa sana kama yeye. Risasi Mchanganyiko lilimuweka mtu kati ambapo alisema: “Jamani... mimi napenda...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fzybEM3xnF4/VL7PBjivPMI/AAAAAAADWOw/F7tRcH5eMGg/s72-c/10930532_10152981231765552_5392294328227770354_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Kulikoni wakulima wanateseka kutafuta soko?
Moja ya mambo ninayoyaona mara kwa mara ninapokuwa safarini, ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari, kusimama kununua bidhaa zao.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Kulikoni Watanzania tudharau fedha yetu
Bado hainiingii akilini kuona Tanzania inaendelea kujali zaidi noti au fedha za kigeni. Inashangaza kuona tunashindwa kuthamini shilingi yetu, badala yake tunashabikia matumizi holela ya fedha za Marekani ambayo kwa sasa ni kawaida kuona ikitumiwa hata katika baadhi ya Baa na Migahawa nchini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania