Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sarkozy kotini, kulikoni?

Sarkozy achunguzwa rasmi kuhusiana na tuhuma za kupokea fedha za kampeni kinyume cha sheria zikiwemo alizopewa na Ghadafi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

11 years ago

BBCSwahili

Sarkozy ahojiwa kuhusu fedha za uchaguzi

Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy anashikiliwa akihojiwa kutokana na matumizi mabaya ya fedha za uchaguzi

 

11 years ago

Michuzi

RAIA WAWILI WA ROMANIA KOTINI KWA KUIHUJUMU TCRA


Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Mahakamani

WATU wawili raia wa Romania wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi ikiwemo udanganyifu,kutumia kadi zisizosajiliwa, kuingiza nchini na kutumia mitambo ya simu bila kibali, kutoa huduma ya mawasiliano ya kimataifa bila kibali cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kuisababishia hasara ya Sh. Bilioni 2.1 Mamlaya ya Mawasiano Tanzania (TCRA).
Washtakiwa hao ni, Meneja...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Mkuu wa Lesotho anayehusishwa na mauaji ya mkewe akosa kufika kotini

Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane,  alikosa kufika mahakamani siku ya Ijumaa kwa ajili ya kesi ya mauaji inayomuandama, kutokana na kile kilichotajwa na familia yake kama sababu za kiafya. Polisi ya nchi hiyo siku ya Alkhamisi ilisema kiongozi huyo angeshtakiwa rasmi jana Ijumaa kwa mauaji ya mke wake wa zamani.

Potlako Thabane, mtoto wa kiume wa Thabane amesema Waziri Mkuu huyo amepelekwa nchini Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu, na wala hajakimbia nchi na mashitaka yanayomkabili...

 

10 years ago

BBCSwahili

CCM na Waziri mkuu kulikoni ?

Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania kuchunguza kama Waziri mkuu wa nchi hiyo Mizengo Pinda kama alifanya kampeni za Urais.

 

11 years ago

GPL

WASTARA ACHEKELEA UBUYU, KULIKONI?

Na Hamida Hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Wastara Juma ameibua maswali baada ya kuonekana akifakamia ubuyu kwa wingi huku wengi wakidhani labda amenasa! Tehe! Wastara Juma. Mkali huyo wa hisia awapo mbele ya kamera, alinaswa na kamera yetu hivi karibuni akiwa lokesheni na wasanii wengine ambao nao pia walikula lakini si kwa sana kama yeye. Risasi Mchanganyiko lilimuweka mtu kati ambapo alisema: “Jamani... mimi napenda...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

Kulikoni wakulima wanateseka kutafuta soko?

Moja ya mambo ninayoyaona mara kwa mara ninapokuwa safarini, ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari, kusimama kununua bidhaa zao.

 

11 years ago

Mwananchi

Kulikoni Watanzania tudharau fedha yetu

Bado hainiingii akilini kuona Tanzania inaendelea kujali zaidi noti au fedha za kigeni. Inashangaza kuona tunashindwa kuthamini shilingi yetu, badala yake tunashabikia matumizi holela ya fedha za Marekani ambayo kwa sasa ni kawaida kuona ikitumiwa hata katika baadhi ya Baa na Migahawa nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani