Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chanongo atengwa Stars, Azam fc yamzingua

Kiungo Haruna Chanongo. Ibrahim Mussa,Dar es Salaam
KIUNGO Haruna Chanongo aliyeitwa katika kikosi cha Taifa Stars kujiandaa na mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika 2017, jana Ijumaa alitengwa katika mazoezi ya timu hiyo yaliyosimamiwa na Kocha Mart Nooij. Wakati Chanongo akitengwa kwenye mazoezi hayo, Azam FC imesema haina mpango na mchezaji huyo licha ya kupiga picha akiwa amevaa jezi ya timu hiyo ambayo ilisambaa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

JK atengwa kura ya maoni

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

EVANS MAGEGE NA VERONICA ROMWALD,

RAIS Jakaya Kikwete sasa ametengwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika matamanio yake ya kutaka Katiba mpya ya Tanzania ipatikane kabla ya kumalizika kwa mwaka 2015.

Pamoja na Ukawa, kundi jingine lililoonyesha kujitenga naye katika matamanio yake hayo ni Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), ambacho kimeitaka Tume ya Uchaguzi kuahirisha zoezi la upigaji kura ya maoni hadi pale daftari la wapiga kura...

 

11 years ago

GPL

LUCY KOMBA ATENGWA BONGO MOVIE

Stori: Mayasa Mariwata STAAwa sinema za Kibongo, Lucy Komba, amedaiwa kutengwa na wasanii wenzake wa Klabu ya Bongo Movie kwa kosa la kuwatolea lugha za kejeli. Staa wa sinema za Kibongo, Lucy Komba, Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, Bongo Movie wamemsusia msanii huyo katika vikao vya harusi yake kwa madai kuwa aliwahi kuwaponda kwenye vyombo vya habari kuwa klabu hiyo si chochote kwake. Alipotafutwa na paparazi wetu, Lucy...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yatoa saba Taifa Stars

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, wameingiza nyota wake saba katika kikosi cha timu ya Taifa Stars kitakachoivaa Burundi Aprili 26.

 

10 years ago

Mwananchi

Kambi ya Taifa Stars yaiharibia Azam

Kocha msaidizi wa Azam FC, Kally Ongalla amesema kambi ya Taifa Stars imeharibu programu yao kuelekea mechi ya Ngao ya Hisani dhidi ya Yanga, lakini anawaamini wachezaji wake kuwa watafanya maajabu siku hiyo.

 

10 years ago

TheCitizen

Bocco stars as Azam stun KCC

Azam FC launched their 2015 Kagame Cup mission on a high note after edging Ugandan champions KCC 1-0 at the National Stadium yesterday.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Odion Ighalo atengwa na wachezaji wengine wa Man United

Mshambuliaji mpya wa klabu ya man United Odion Ighalo anafanya mazoezi mbali na uwanja wa klabu hiyo wiki hii kama hatua ya tahadhari baada ya kuasili kutoka China.

 

11 years ago

GPL

IVO, CANNAVARO WATEMWA STARS, MAKIPA WOTE WA AZAM WACHUKULIWA

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda. KOCHA Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga amewaacha kipa Ivo Mapunda wa Simba SC na beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’ wa Yanga SC katika kikosi chake cha wachezaji wengine 23 watakaoingia kambini kesho (Aprili 20 mwaka huu) kuungana na 16 waliotajwa awali kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa Aprili 26 mwaka huu. Beki wa kati wa Yanga, Nadir Haroub...

 

11 years ago

GPL

Messi, Chanongo waitikisa Zanzibar

Na Abdi Suleiman, Zanzibar.
SIMBA imeanza vizuri Michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya AFC Leopard ya Kenya, huku viungo wa timu hiyo, Ramadhan Singano ‘Messi’ na Haruna Chanongo wakionyesha uwezo wa juu. Katika mechi hiyo iliyochezwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Amani Mjini Unguja, huku Mgeni rasmi akiwa ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, Simba ilipata bao katika...

 

10 years ago

TheCitizen

Giants battle for Utd’s Chanongo

Dar es Salaam. Mainland champions Young Africans and Stand United are set to embroil themselves in a two-way battle for the Shinyanga team’s midfield maestro Haruna Chanongo, it has been revealed.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani