Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Giants battle for Utd’s Chanongo

Dar es Salaam. Mainland champions Young Africans and Stand United are set to embroil themselves in a two-way battle for the Shinyanga team’s midfield maestro Haruna Chanongo, it has been revealed.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Mirror Online

Arsenal and Man Utd transfer target Thomas Partey wanted by Serie A giants

Arsenal and Man Utd transfer target Thomas Partey wanted by Serie A giants  Mirror OnlineTwo teams battling to lure £50m Arsenal star back to home country  Teamtalk.comAtletico Madrid and Sevilla 'set to rival Inter Milan for Hector Bellerin'  Daily MailArsenal star Hector Bellerin attracting transfer interest from Atletico Madrid and Sevilla  Mirror OnlineInter May Go Back In For Atletico Madrid's Thomas Partey If He Doesn't Sign Contract Extension  SempreInterView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Man Utd 'face competition from Chelsea' in Jude Bellingham transfer battle

Man Utd 'face competition from Chelsea' in Jude Bellingham transfer battle  Mirror OnlineChelsea to table £50m bid for Championship starlet who is also wanted by Manchester United  CaughtOffside‘Bellingham is Gerrard-esque & potential is frightening’ – Man Utd & Chelsea talk no surprise to Pennant  Goal.comReport: Chelsea join race for Birmingham teenager Jude Bellingham  The Chelsea Chronicle - Chelsea FC NewsChelsea join race for 16 year old with incredible potential  Chelsea NewsView Full...

 

11 years ago

GPL

Messi, Chanongo waitikisa Zanzibar

Na Abdi Suleiman, Zanzibar.
SIMBA imeanza vizuri Michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya AFC Leopard ya Kenya, huku viungo wa timu hiyo, Ramadhan Singano ‘Messi’ na Haruna Chanongo wakionyesha uwezo wa juu. Katika mechi hiyo iliyochezwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Amani Mjini Unguja, huku Mgeni rasmi akiwa ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, Simba ilipata bao katika...

 

10 years ago

GPL

Usajili wa Haruna Chanongo Yanga SC kizungumkuti

Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Haruna Chanongo. Hans Mloli na
Sweetbert Lukonge
ISHU ya usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Simba, Haruna Chanongo kutua Yanga, imechukua sura mpya baada ya juzi staa huyo kukaa mezani na uongozi wa Yanga lakini hakuna kilichokamilika mpaka jana jioni. Chanongo ambaye amemaliza msimu ulioisha hivi karibuni akiwa na Stand United akiitumikia kwa mkopo kutoka Simba, amekuwa akihusishwa kuwaniwa...

 

10 years ago

GPL

Chanongo atengwa Stars, Azam fc yamzingua

Kiungo Haruna Chanongo. Ibrahim Mussa,Dar es Salaam
KIUNGO Haruna Chanongo aliyeitwa katika kikosi cha Taifa Stars kujiandaa na mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika 2017, jana Ijumaa alitengwa katika mazoezi ya timu hiyo yaliyosimamiwa na Kocha Mart Nooij. Wakati Chanongo akitengwa kwenye mazoezi hayo, Azam FC imesema haina mpango na mchezaji huyo licha ya kupiga picha akiwa amevaa jezi ya timu hiyo ambayo ilisambaa...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA WATAKIWA KUMLIPA CHANONGO MIL 11

Klabu ya Simba SC inatakiwa kumlipa mchezaji Haruni Chanongo sh. 11,400,000,  kufikia Aprili 30, 2015 vinginevyo Sekretarieti ya TFF itaanza kukata mapato ya Simba ili kumlipa mchezaji huyo. Iwapo Simba itakuwa na vielelezo vingine katika kikao kinachofuata cha Kamati kitakachofanyika Mei 3, 2015 itafanywa hesabu na Simba kurejeshewa fedha itakayokuwa imezidi.
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF imeagiza kwa klabu ya Simba na klabu nyingine zote kuwa kwa wachezaji wa mkopo, maslahi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki wataka Chanongo, Humoud warudi Simba

Dar es Salaam. Mashabiki wa timu ya soka ya Simba ya Dar es Salaam wanaomba kinda wao winga Haruna Chanongo arudishwe kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo.

 

10 years ago

GPL

Chanongo apigwa ‘stop’ kwenda Mazembe

Mshambuliaji wa Stand United, Haruna Chanongo. Na Idd Mumba, Mwanza
MSHAMBULIAJI wa Stand United, Haruna Chanongo, amepigwa ‘stop’ kwenda kufanya majaribio kwenye kikosi cha timu ya TP Mazembe kutokana na kocha wa timu hiyo kuwa bize kwa sasa. Chanongo amekuwa katika mipango ya muda mrefu ya kwenda kwenye majaribio kwenye timu hiyo, lakini juzi alifunguka kuwa hawezi kwenda kwa sasa kwa kuwa kocha mkuu wa timu hiyo...

 

10 years ago

TheCitizen

Ngasa here to stay, say giants Yanga

Young Africans leadership wants Mrisho Ngasa to put his overseas ambitions on hold and sign a new contract with the Jangwani Street team.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani