Mashabiki wataka Chanongo, Humoud warudi Simba
Dar es Salaam. Mashabiki wa timu ya soka ya Simba ya Dar es Salaam wanaomba kinda wao winga Haruna Chanongo arudishwe kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 Jul
Waislamu wataka Ukawa warudi bungeni
WAISLAMU nchini wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kurudi katika Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bVs2UvKloUQ/VUIs3LVVXXI/AAAAAAABM_w/tshTNmKyxPY/s72-c/tff.jpg)
SIMBA WATAKIWA KUMLIPA CHANONGO MIL 11
![](http://3.bp.blogspot.com/-bVs2UvKloUQ/VUIs3LVVXXI/AAAAAAABM_w/tshTNmKyxPY/s1600/tff.jpg)
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF imeagiza kwa klabu ya Simba na klabu nyingine zote kuwa kwa wachezaji wa mkopo, maslahi...
10 years ago
Michuzi14 Aug
SIMBA SPORT CLUB YAWA ZAWADIA MASHABIKI WAKE WA BAHATI NASIBU ILIYOICHEZWA SIMBA DAY
10 years ago
Mtanzania14 May
Sita wataka kumrithi Goran Simba
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WAKATI Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic akiendelea kung’ang’ania kuongezewa dau na uongozi wa klabu hiyo, tayari makocha sita wametuma maombi ya kuchukua nafasi yake endapo klabu hiyo itashindwa kufikia dau lake.
Goran bado ameendelea na msimamo wake akitaka kulipwa mshahara wa Sh milioni 28, ambapo uongozi wa Simba umedai kuwa kiasi hicho ni kikubwa na kumtaka hadi kesho awe ametoa jibu kama ataweza kukipunguza.
Habari za uhakika ilizozipata MTANZANIA,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oAFU9LiZXX4/VKP7fFpNEmI/AAAAAAAG6xo/3J083337KQk/s72-c/11111.jpg)
MASTAA SIMBA WATAKA PESA, SI MALI KAULI
MASTAA nane wa klabu ya Msimbazi wamekacha timu hiyo iliyoandoka leo kwenda Zanzibar kwa kile wanachoshinikiza kulipwa fedha zao. Habari za kuaminika zinasema kuwa mastaa nane wa klabu hiyo wameingia mitini wakiwemo waganda watano na wabongo watatu mpaka hapo watakapomaliziwa fedha zao za usajili.
Wabongo waliokacha timu hiyo ni Shaban Kisiga, Jonas Mkude na Ivo Mapunda hata hivyo kocha msaidizi wa timu hiyo Seleman Matola jana alikiri kutokuwepo kwenye kikosi chake ...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4Tbc3znYEWVDrQnXvbH2D2SleSEg-biEs1iaidUEsHtJrrQ*rQBSZjGzZ54-iqeqk-1skRC8rFA2AGSct9M4U-Od/mashabiki.jpg?width=650)
Mashabiki Yanga waishabikia Simba
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Mashabiki Simba wamfukuza Dokii jukwaani
MSANII wa muziki na filamu, Ummy Wenceslaus, maarufu kama Dokii juzi alipata wakati mgumu kwenye mechi ya Yanga dhidi ya Azam baada ya kufukuzwa na mashabiki wa Simba kwenye jukwaa lao.
Dokii ambae ni miongoni mwa wasanii wa kike ambao ni mashabiki wakubwa wa mchezo wa soka, kabla ya kuanza kuishabikia Azam alikua shabiki wa Yanga.
Msanii huyo alifika Uwanjani hapo na mwenzake wakiwa na gitaa, walitaka kukaa upande wa mashabiki wa Simba ambao walimtaka ahame eneo...