Mashabiki Simba wamfukuza Dokii jukwaani
MSANII wa muziki na filamu, Ummy Wenceslaus, maarufu kama Dokii juzi alipata wakati mgumu kwenye mechi ya Yanga dhidi ya Azam baada ya kufukuzwa na mashabiki wa Simba kwenye jukwaa lao.
Dokii ambae ni miongoni mwa wasanii wa kike ambao ni mashabiki wakubwa wa mchezo wa soka, kabla ya kuanza kuishabikia Azam alikua shabiki wa Yanga.
Msanii huyo alifika Uwanjani hapo na mwenzake wakiwa na gitaa, walitaka kukaa upande wa mashabiki wa Simba ambao walimtaka ahame eneo...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Aug
SIMBA SPORT CLUB YAWA ZAWADIA MASHABIKI WAKE WA BAHATI NASIBU ILIYOICHEZWA SIMBA DAY
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Zitto Kabwe njiapanda, Chadema wamfukuza
10 years ago
Vijimambo09 Mar
11 years ago
GPL
Mashabiki Yanga waishabikia Simba
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
Mashabiki wamtaka MO arudi kuidhamini Simba SC
Baada ya kualikwa kama mgeni rasmi katika tamasha la Simba Day lililofanyika siku ya jumamosi katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, CEO wa MeTL Group, Mohammed Dewji amepost picha zake kupitia akaunti yake ya Instagram @moodewji ambazo zimekupa ‘likes’ nyingi na baadhi ya ‘comments’ mashabiki wa timu Simba SC wamemtaka arudi kuifadhili timu hiyo zifuatazo ni ‘Screenshot’ kutoka akaunti yake ya Instagram.
Na hizi hapa ni ‘screenshots’ za ‘comments’ za baadhi ya marafiki na mashabiki...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Simba Sports Club yawazawadi mashabiki wake

Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na Washindi wa bahati nasibu pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Eag Group Iman Kajula kushoto na Msemaji wa Timu hiyo Manara.

Rais wa Simba Evans Aveva akikabidhi zawadi kwa Mmoja wa Washindi Uongozi wa klabu ya Simba umetoa zawadi kwa washindi wa bahati nasibu iliyochezeshwa siku ya Simba Day Aosti 8 mwaka huu wakati wa kilele cha sherehe za siku ya Simba Day zilizofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es...
11 years ago
Mwananchi24 Oct
Mashabiki Yanga wang’ara kwa Simba
10 years ago
Habarileo29 Jan
Simba yataka mashabiki kumpa muda Sserunkuma
UONGOZI wa Klabu ya Simba umewataka mashabiki wake kumpa muda mshambuliaji wao, Dan Sserunkuma ili aweze kufanya vizuri katika mechi za ligi.