CHARLES MKWASSA NDIYE MRITHI WA NOOIJ TAIFA STARS
Charles Boniface Mkwasa wakati akikinoa kikosi cha Yanga. Â Kocha Msaidizi wa Taifa Stars, Hemed Moroco. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemtangaza Charles Boniface Mkwasa kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars. Mkwasa anachukua mikoba iliyoachwa na Mart Nooij aliyetimuliwa kazi majuzi. Kabla ya uteuzi huo, Mkwasa alikuwa Kocha Msaidizi ya Klabu ya Yanga. Aidha TFF imemteua Kocha wa Zanzibar...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboCHARLES BONIFACE MKWASA ATANGAZWA KUWA KOCHA MPYA STARS NA NOOIJ AWAGA WATANZANIA
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Kiwango cha wachezaji Taifa Stars chamkuna Mkwassa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGb-gREzBuBF4qtj4AQ8FSJbXkfZHiX-Q2ROlkpy9rhAB54UbneonwgW7FqAz2Kal2fosBcgFCZU1HQ8JQaUC7b4/33.gif?width=650)
Nooij amtema Ngassa Taifa Stars
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74471000/jpg/_74471354_96053817.jpg)
Nooij takes over Tanzania's Taifa Stars
10 years ago
Vijimambo07 Nov
Nooij amrejesha Mtiro Taifa Stars
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nooij-November6-2014.jpg)
Beki wa zamani wa Yanga na African Lyon, Aboubakar Mtiro, ambaye sasa anaichezea Kagera Sugar, ameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa (Taifa Stars) ambacho kitaingia kambini Jumatatu Novemba 10 kwa ajili ya kuelekea Swaziland kuwakabili wenyeji hao kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa.
Mtiro (29), ameitwa na Kocha Mkuu wa Stars, Mholanzi Mart Nooij ikiwa ni miaka nane imepita tangu aiitwe kuichezea Stars wakati huo ikinolewa na Mbrazil Marcio Maximo.
Kwa mara ya mwisho...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yp9S7eiPnLVllWmEXloqsQSYEFVvNmPWKomgIX6A6DXjw3jMeheCWAwtvSTUmJ*0K3B-GDtwHEpM9Xxmmy*RfS/taifa.jpg?width=600)
Nooij aongeza tisa Taifa Stars
10 years ago
TheCitizen31 Oct
Nooij unveils young Taifa Stars
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-U12yevR1dFo/U-58y2ASygI/AAAAAAAF_88/vasQMNZMZVQ/s72-c/baraza%2Bla%2Bmitihani.jpg)
Dkt. Charles Msonde ndiye Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA).
![](http://4.bp.blogspot.com/-U12yevR1dFo/U-58y2ASygI/AAAAAAAF_88/vasQMNZMZVQ/s1600/baraza%2Bla%2Bmitihani.jpg)
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es Salaam jioni ya jana, Alhamisi, Agosti 14, 2014, na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa uteuzi huo ulianza juzi, Jumatano, Agosti 13, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Dkt. Msonde alikuwa Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo hilo la mitihani.
Dkt. Msonde anachukua nafasi...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Nooij ataka umakini zaidi Taifa Stars