Cheif wa Swahilivilla blog akutana na Mtaalamu wa Vichekesho Hussein China ndani ya Jiji la Da
![](http://1.bp.blogspot.com/-TohmGVP9fmw/U_WOgokRBXI/AAAAAAAAOr0/VDH683H_ATQ/s72-c/10543767_10154465435980247_451240911_n.jpg)
Uiyonavyo sivyo ilivyo hadi UISIKIAPO, Cheif wa swahilivilla Ebou Shatry akutana na mtaalamu wa vichekesho, Hussein China ndani ya Jjiji la Dar, kwa Video Clip fupi, ya WhatsApp WADAU wetu kaeni mkao wa kula...Cheif wa blog ya swahilivilla Abou Shatry kutoka Washington DC nchini Marekani akipata picha ya pamoja na Mtaalamu wa Vichekesho, Hussein China, baada ya miaka 15 kutoona kijiwezi Jijini Dar, katika mpango mzima wa kipindi cha Msakatonge na Azamtv bingwa wa vichekesho kuandaa mualiko...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-63t1CMXqqn4/Vaas5FfWAxI/AAAAAAAHp-o/3BkvaoQ824c/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Mtabiri na mtaalamu wa nyoya Hassan Yahya hussein ajitosa kugombea udiwani kata ya mzimuni, Magomeni, Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-63t1CMXqqn4/Vaas5FfWAxI/AAAAAAAHp-o/3BkvaoQ824c/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Apr
UKIWA NDANI YA JIJI LUOYANG NCHINI CHINA UWEZI KUKIKWEPA KITOWEO HIKI
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/29/15/2821E12500000578-3060553-image-a-53_1430316676897.jpg)
Hapa jamaa akiwafungua Mbwa kamba baada ya kuwanyonga tayari kwa kitoweo
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/29/15/2823FE7F00000578-3060553-image-a-58_1430318040785.jpg)
Hapa Mbwa wamesha katwa shingo wakisubiri kuchunwa ngozi
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/29/15/2821E10E00000578-3060553-image-a-61_1430318727604.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXqgObsFX7FQGLRWOIkV8mb9V*W6bleqeqTzd508Si0-M-o5kdA0i8ZEUbDjBMvtoPPcqIzfqekabSagjTMfsCo6/Nisha1.jpg)
NISHA: KISIASA BADO NIPONIPO, NAENDA ZANGU CHINA KUTOA VICHEKESHO
10 years ago
VijimamboWASANII MAARUFU WA VICHEKESHO WASHAMBULIA BANDA LA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Wasanii maarufu wa vichekesho nchini wa Kundi la Kashi-Kashi wanaoshiriki katika kipindi cha Mizengwe kinachorushwa na Kituo cha ITV, wakichukua vipeperushi vya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi toka kwa Afisa wa Idara ya Probesheni na Huduma kwa Jamii, Pendo Mtama (kulia) wakati wasanii hao walipotembelea mabanda ya Wizara hiyo, katika maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Habib Mrisho (Sumaku) na Jesca...
10 years ago
Michuzi20 Jun
WASANII MAARUFU WA VICHEKESHO WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
![000000](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/000000.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Nov
IMARISHENI MAPATO YA NDANI KWA MAENDELEO YENU - MTAALAMU
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-TvtjATarc3E/VV2gn8lISZI/AAAAAAADnyg/7OJUzCYyrLE/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAKU WA RAIS WA CHINA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-TvtjATarc3E/VV2gn8lISZI/AAAAAAADnyg/7OJUzCYyrLE/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l0xuDIUQ6hw/VV2gpk85GTI/AAAAAAADny4/3uqiJLjSF2Q/s640/3.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dQZgH-n4K_o/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 May
Exclusive Usiku huu Mgomo wa Madereva: Abiria walala ndani ya mabasi Ubungo, Mo blog ipo ‘live’
Mwandishi Mwandamizi wa Modewji blog (mtandao huu), Andrew Chale akiwa ndani ya kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo, Jijini Dar es Salaam akiendelea ‘kusaka’ habari hasa kujionea mazingira ya abiria waliokuwa na watotom wagonjwa na wasiojiweza wanavyopata taabu usiku huu baada ya mgomo huo huku abiria wakilala kwenye magari waliokatia tiketi
Na Andrew Chale, Modewji blog
Hadi muda huu wa saa tano na nusu usiku (11:34 pm) leo Mei 4, Mtandao wako bora nchini wa...