CHID SITEGEMEI KUKUONA TENA UNAHUSISHWA NA DAWA ZA KULEVYA

KWAKO mtaalamu wa Hip Hop uliyeibeba Ilala nzima begani, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, mambo vipi mzazi mwenyewe? Uko poa? Mishe zinasemaje? Ukitaka kujua hali yangu, mimi niko poa na ninaendelea na majukumu yangu ya kujenga taifa kama kawaida na barua hii ni sehemu ya majukumu yangu ya kazi hivyo lazima nikuandikie tu, sina jinsi. Dhumuni la barua hii kwanza kabisa ni kutaka kukukumbusha kidogo umuhimu wako katika...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
CHID BENZ APANDISHWA KIZIMBANI JIJINI DAR LEO KWA SHITAKA LA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA,AKOSA DHAMANA, KESI YAKE KUTAJWA TENA NOVEMBA 11

Chid Benz amefikishwa mapema leo saa 3:00 asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomewa mashitaka yake. Saa 7:50 mchana alifikishwa mbele ya...
11 years ago
Mwananchi25 Oct
Chid Benz anaswa na dawa za kulevya ‘airport’
11 years ago
Mwananchi26 Oct
Sakata la dawa za kulevya hatma ya Chid Benz kujulikana kesho
11 years ago
Bongo527 Oct
Nzowa asema dawa za kulevya alizokamatwa nazo Chid Benz ni Heroine
5 years ago
CCM BlogCHID BENZ AKEMEA WANAOFANYA MZAHA MITANDAONI KUHUSU UGONJWA WA CORONA, ASEMA AMEACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA, ANAJIANDAA KURUDI KWENYE 'GEMU'
Na Anitha Jonas – WHUSM
Mwanamuziki ambaye ni miongoni mwa wanamuziki waasisi wa muziki wa Bongofleva hapa nchini, Rashid Abdallah (Chid...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
JK: Sitaki tena kusikia dawa za kulevya zinapita
5 years ago
Michuzi
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria

10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
11 years ago
GPL
CHID BENZ AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AIRPORT