Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chidinma wa Nigeria asema hana uhusiano na Flavour, ni baada ya kuonekana waki-kiss kwenye video

Baada ya staa wa Nigeria, Flavour kutoa video ya wimbo wake ‘Ololufe’ aliyomshirikisha muimbaji wa kike wa Naija Chidinma, video hiyo ilipokelewa kwa mitazamo tofauti huku wengi wakidhani wawili hao ni wapenzi. Kilichopelekea mashabiki wengi kuamini hivyo ni kutokana na Flavour na Chidinma ku-kiss kwenye video hiyo ya wimbo wa mapenzi, sababu wao wenyewe ndio […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Video: Flavour Ft. Chidinma — Ololufe

Flavour wa Nigeria ametoa video yake mpya ‘Ololufe’ ambayo amemshirikisha muimbaji wa kike wa Naija pia, Chidinma ambaye kwenye video hiyo amecheza pia kama mpenzi wa Flavour.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Model aliyecheza video ya Big Sean na Chris Brown kuonekana kwenye video ya Mayunga

12292729_1514452005519363_325519831_n

Mayunga yupo nchini Marekani alikoenda kufanya wimbo na Akon. Wimbo huo ni sehemu ya mambo anayotakiwa kufanya baada ya kushinda shindano la Airtel Trace Music Star.

12277656_1665325393744095_1161270589_n

Tayari wawili hao wamesharekodi wimbo huo na kinachofuata sasa ni video ya muziki.

Alhamis hii Mayunga alieleza kupitia Instagram kuwa model atakayetumika kwenye video hiyo aliwahi kutumika kwenye video ya wimbo wa Big Sean na Chris Brown.

“Anaitwa @itsssvia unaweza kumtazama katika video ya big sean ft chris brown alionekana...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Trump asema hana mpango wa kupima, baada ya kukutana na ofisa wa Brazil ambaye aligundulika kuwa na virusi

Trump asema hana mpango wa kupima, baada ya taarifa kuhusu kukutana na ofisa wa Brazil ambaye aligundulika kuwa na virusi vya corona.

 

9 years ago

Bongo5

Hemedy PHD asema hana mpango wa kufanya video nje ya nchi

Hemedy PHD ni miongoni mwa wasanii wanaowekeza katika kufanya video nzuri lakini kwa kutumia watayarishaji, waongozaji na maeneo ya wa hapa hapa nyumbani Tanzania. Msanii huyo wa muziki na filamu amesema kuwa hana mpango wa kwenda kushoot video za nyimbo zake nje ya nchi kama wafanyavyo baadhi ya wasanii wengine. Staa huyo ambaye ameachia wimbo […]

 

10 years ago

Bongo5

Juma Nature asema hana mpango wa kutoa album wala kushoot video nje ya nchi

Juma Nature amedai kuwa hafikirii kwenda kushoot video zake nje ya nchi kama wasanii wengi wa Tanzania wanavyofanya. Nature amesema anaamini kuwa hapa nchini kila kitu kinawezekana. “Mie video zangu zote nitafanyia hapa hapa labda nikienda huko Ulaya kufanya show ndo nitaweza kufanya video lakini eti natoka hapa sijui naenda kufanya huko video siwezi,” amesema […]

 

9 years ago

MillardAyo

Millen Magese kuonekana kwenye video mpya ya Mafikizolo ft Diamond Platnumz….(+Picha)

Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutokea Afrika Kusini ambapo kundi la Mafikizolo wameingia location kushoot video mpya ya single yao waliyomshirikisha Diamond Platnumz. Safari hii kundi hilo limeamua kushoot pia na supermodel kutokea Tanzania Millen Magese ambaye ataonekana katika video hiyo mpya iliyotayarishwa huko Johannesburg, Afrika Kusini. Hizi ni baadhi ya picha zikionesha Mafikizolo, Diamond Platnumz […]

The post Millen Magese kuonekana kwenye video mpya ya Mafikizolo ft Diamond...

 

10 years ago

Bongo5

Wizkid aizungumzia beef yake na Davido, asema hana beef na mtu (video)

Hivi karibuni Davido alihojiwa na kituo cha Sahara TV (Iko hapa) na kusema kuwa hana beef na Wizkid, lakini baada ya hapo waliendelea kurushiana vijembe kupitia mitandao ya kijamii. Hatimaye Wizkid naye amefanya mahojiano na mtangazaji aitwaye Olisa Adibua kupitia kipindi chake cha TV ambaye alimuuliza kuhusu beef hiyo. Kuhusu beef anzia dakika 9:20 “That […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani