China kufadhili wanafunzi elimu ya ufundi
NA NTAMBI BUNYAZU
Mjumbe wa Baraza la Ushauri wa Kisiasa la China, Dk. Annie Wu, amesema atatoa ufadhili wa nafasi za masomo kwa wanafunzi wa Kitanzania kwenda kusoma elimu ya ufundi nchini humo.
Alisema lengo la kufanya hivyo ni kukuza na kudumisha uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na China.
Dk. Wu amekuja nchini kwa mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete, ambapo amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome.
Katika mazungumzo hayo alimwambia...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziCHINA YAZIDI KUFADHILI WANAFUNZI KATIKA SHAHADA YA PILI NA UZALIMVU
Mkurugenzi wa Elimu ya Juu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Profesa Sycilia Temu wakati wa kuwaaga wanafunzi 78 wanaokwenda kusoma nchini China kwa ufadhili wa nchi ya China jijini Dar es Salaam jana.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HuDNA2JjJDU/VTvhmgWtPBI/AAAAAAAHTRA/J3PD_A_u7Zg/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore
Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, unalenga kuendeleza wanafunzi katika kuwapatia stadi muhimu zinazohitajika kwa maendeleo ya nchi.
Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, umeweka mkazo zaidi katika kutoa mafunzo ya ufundi stadi ambayo yanatoa ujuzi kwa mhitimu kuweza kufanya kazi katika ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq*NNJVtmwykCmYPAQ68AsKZ12UiDk3qXzF0nc4hlB48oPujWVSVwFs3xI6eN3aprUePMexn4aK4vq48XePikaQr/IMG20141117WA0006.jpg)
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI AWATUNUKU VYETI WADAU WA ELIMU
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QahIX3juL54/UvpzZ-5CgTI/AAAAAAAFMbo/6THt2meYwOg/s72-c/unnamed+(100).jpg)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA OMAN KUHUSU ELIMU YA JUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-QahIX3juL54/UvpzZ-5CgTI/AAAAAAAFMbo/6THt2meYwOg/s1600/unnamed+(100).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tPJN3F0IlaA/VTwZIrTHpjI/AAAAAAAHTUI/z47uxcm8tTs/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cypzNLQRlIE/XnUqlk_dPoI/AAAAAAALkkY/dYLLbLyZa8UIVGH2RdzCcWHugC6OKOBfACLcBGAsYHQ/s72-c/5f6f350f-c6c9-4cf1-a53b-29ecc7183cab.jpg)
CHINA KUFADHILI VIFAA VYA KUPAMBANA NA CORONA MKOA WA DAR ES SALAAM
SERIKALI ya China kupitia ubalozi wake nchini utafadhili vifaa vya kupambana na virusi vya Corona (Covid 19) ikiwemo kutoa vifaa vya kupima virusi hivyo pamoja na kutoa vitakasa mikono (sanitizers) ambazo zitatolewa kwa wananchi wa hali ya chini ikiwa ni sehemu ya mapambano dhidi ya virusi hivyo vinavyosambaa katika maeneo mbalimbali duniani.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam mara baada ya kutembelea kiwanda cha uzalishaji bidhaa binafsi ikiwemo...
11 years ago
Habarileo22 Jun
Watanzania kujifunza ufundi China
MJUMBE wa Baraza la Ushauri wa Kisiasa la China (CPPCC), Dk Annie Wu amesema atatoa ufadhili wa nafasi za masomo kwa wanafunzi wa Tanzania kwenda kusoma elimu ya ufundi nchini China.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
VETA YASHIRIKI MAONESHO YA ELIMU YA UFUNDI KATIKA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA WATAALAM WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA UNAOFANYIKA KATIKA OFISI ZA UMOJA WA AFRIKA JIJINI ADDIS ABABA, ETHIOPIA TAREHE 27 HADI 31 OKTOBA,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4PkxV6XZZaQ/VjICoBJ-4pI/AAAAAAAIDWM/bImrWxjTvWs/s640/New%2BPicture%2B%25282%2529.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IFgLUv0c7to/VjIColnyljI/AAAAAAAIDWI/iAkTWoQ-mGU/s640/New%2BPicture.png)
9 years ago
StarTV27 Nov
Elimu ya ufundi, ujuzi mpya vyahimizwa
Wanafunzi wanaohitimu elimu ya juu kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini wametakiwa kutobweteka na shahada wanazozipata kwani siyo mwisho wa elimu, ujuzi na uelewa wa mambo.
Wamehimizwa kujiongezea elimu ya ufundi na ujuzi mpya katika fani mbalimbali kwani kufanya hivyo kutawaongezea fursa za ajira na kupanua wigo wa ujasiriamali.
Katika mahafali ya 6 chuo kikuu cha Dodoma UDOM Mwenyekiti wa baraza la chuo hicho Dkt. Balozi Agustistine Mahiga amesema dunia ya leo ni ya ushindani mkubwa...