Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHRIS, NIA WAFIKISHANA PABAYA!

Staa wa Pop, Christopher Maurice ‘Chris Brown’. New York Marekani
STAA wa Pop, Christopher Maurice ‘Chris Brown’ pamoja na mama wa mtoto wake, Nia Guzman wamefikia pabaya kwa kutupiana maneno mitandaoni kisa, mtoto wao Royalty. Nia Guzman akiwa na mwanaye, Royalty. Maneno hayo yamekuja ikiwa ni siku chache zimepita tangu Chris awasilishe jalada la kudai mtoto mahakamani. Kupitia ukurasa wa Instagram...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KARRUECHE, CHRIS BROWN WAFIKA PABAYA!

Mtangazaji na mwanamitindo, Karrueche Tran. New York,Marekani
MTANGAZAJI na mwanamitindo, Karrueche Tran amemchana mpenzi wake wa zamani, Christopher Maurice ‘Chris Brown’ katika mitandao ya kijamii. Karrueche Tran akiwa na aliyekuwa mpenzi wake, Christopher Maurice ‘Chris Brown’.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Karrueche alimfungukia Chris kuwa asimfuatefuate kwani mapenzi yao yalishakwisha tangu...

 

5 years ago

GIVEMESPORT

WWE news: Chris Jericho says Dark Side of the Ring documentary on Chris Benoit won't glorify him

WWE news: Chris Jericho says Dark Side of the Ring documentary on Chris Benoit won't glorify him  GIVEMESPORTChris Jericho On Not Wanting To Glorify Chris Benoit Tragedy With New Documentary  Ringside NewsChris Jericho Discusses Dark Side Of The Ring Involvement  SEScoopsView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Mwananchi

Kona ya Makengeza: Tanza-nia isiwe Tanzia-nia

Jana nilipokuwa nakaa kwenye foleni za maendeleo hapa Bongo na kuangalia full mchepuko wa watu kama kawaida, nikaanza kujiuliza huko makao makuu pasipo na makazi makuu hakuna foleni? Maana wenye nia ni wengi, na wafuasi wao ni wengi, na wapambe wao ni wengi, hakuna foleni kweli huko?

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa: Tumewakamata pabaya

1

*Sumaye asema hakuna wa kukifufua chama hicho

NA MAREGESI PAUL, KIOMBOI na Shabani Matutu Dar

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa,  amesema wamekikamata pabaya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa Watanzania sasa wanataka mabadiliko.

Amesema pia kwamba, kitendo cha mamilioni ya Watanzania kutaka mabadiliko, pia kinaungwa mkono na Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliyewahi kusema Watanzania wanahitaji mabadiliko...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yashikwa pabaya bungeni

Kashfa ya zaidi ya Sh200 bilioni za Akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imechukua sura mpya baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kudai kuwapo kwa watu wanaonunua mashahidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Utapeli wamfikisha pabaya Muunguja

Mkazi mmoja wa Unguja, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu, baada ya kupatikana na hatia ya kughushi hati ya kumrithi isivyo halali, Mariam Masanja.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli awashika pabaya wabunge

RAIS*Azuia safari zao nje ya nchi, watakiwa wawe na vibali

*Baadhi yao wajikuta wakikwama Uwanja wa Ndege VIP

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

SIKU chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kupiga marufuku safari za nje kwa watumishi wa Serikali bila kibali, safari hii kibao kimewagekia wabunge baada ya kuzuiwa kusafiri bila ruhusa maalumu, MTANZANIA imebaini.

Hali hiyo imeonekana kuwavuruga wabunge, kwani baadhi yao wamejikuta wakikwama katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, baada...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yaishika pabaya Ahly

Uongozi wa Klabu ya Al Ahly ya Misri umekataa mchezo wa baina yao na wawakilishi wa Tanzania, Yanga kupigwa katika mji wa El Gouna na badala yake umependekeza ufanyike katika jiji la Alexandria.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi wamshika pabaya Gwajima

>Sasa ni dhahiri kwamba polisi wamemshika pabaya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima baada ya kumhoji na kisha kumtaka arejee katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam Aprili 16, mwaka huu akiwa na vitu 10 vinavyohusu usajili, umiliki, uongozi na mali za kanisa analoliongoza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani