Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utapeli wamfikisha pabaya Muunguja

Mkazi mmoja wa Unguja, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu, baada ya kupatikana na hatia ya kughushi hati ya kumrithi isivyo halali, Mariam Masanja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mzimu wa Zitto wamfikisha katibu wa Chadema, CCM

MZIMU wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe umeelezwa kumkimbiza hadi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Katibu wa Chadema jimbo la Mufindi Kusini, Emannuel Ngwalanje.

 

5 years ago

Michuzi

UTATUZI MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM WAMFIKISHA LUKUVI SAA NNE USIKU


Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri jana tarehe 23 Februari 2020.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri jana tarehe 23 Februari 2020.

Sehemu ya...

 

5 years ago

Michuzi

UTATUZI MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM WAMFIKISHA LUKUVI SAA NNE USIKU OFISINI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri jana tarehe 23 Februari 2020. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri 
Sehemu ya wananchi wa jiji la Dar es...

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Tumewakamata pabaya

1

*Sumaye asema hakuna wa kukifufua chama hicho

NA MAREGESI PAUL, KIOMBOI na Shabani Matutu Dar

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa,  amesema wamekikamata pabaya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa Watanzania sasa wanataka mabadiliko.

Amesema pia kwamba, kitendo cha mamilioni ya Watanzania kutaka mabadiliko, pia kinaungwa mkono na Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliyewahi kusema Watanzania wanahitaji mabadiliko...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Ngorongoro Heroes yajiweka pabaya

TIMU ya taifa ya soka ya vijana wa chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, jana walianza vibaya kampeni ya kuwania kufuzu kwa Fainali za Afrika kwa umri huo baada ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yaishika pabaya Azam

yangaNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, ameunda jeshi kamili kwa ajili ya kuiangamiza Azam FC katika mchezo wa Ngao ya Jamii, utakaochezwa Agosti 22 mwaka huu, katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Hiyo inaonyesha kuwa ameanza mikakati ya kuishika pabaya Azam, ambapo ameunda kikosi cha kwanza ambacho anaamini kitaifanyia maangamizi Azam.

Mholanzi huyo, ambaye kikosi chake kimejichimbia Tukuyu, mkoani Mbeya kusaka makali ya kulipa kisasi kwa Azam, aliliambia...

 

10 years ago

GPL

CHRIS, NIA WAFIKISHANA PABAYA!

Staa wa Pop, Christopher Maurice ‘Chris Brown’. New York Marekani
STAA wa Pop, Christopher Maurice ‘Chris Brown’ pamoja na mama wa mtoto wake, Nia Guzman wamefikia pabaya kwa kutupiana maneno mitandaoni kisa, mtoto wao Royalty. Nia Guzman akiwa na mwanaye, Royalty. Maneno hayo yamekuja ikiwa ni siku chache zimepita tangu Chris awasilishe jalada la kudai mtoto mahakamani. Kupitia ukurasa wa Instagram...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yashikwa pabaya bungeni

Kashfa ya zaidi ya Sh200 bilioni za Akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imechukua sura mpya baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kudai kuwapo kwa watu wanaonunua mashahidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani