Chuche Pemba: Mwanamume anayependa mavazi ya kike
>Macho ya wakazi wa Segerea jijini Dar es Salaam yanatufuata kila tunakokatiza mimi na Chuche Atukuzwe Pemba, hata baadhi walisimama ili wayaridhishe macho yao kwa kile wanachokiona.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Mama Kikwete ahimiza wanafunzi wa kike wa vyuo vya ualimu kuvaa mavazi ya heshima

Wanafunzi wa kike wa vyuo vya ualimu nchini wametakiwa kuvaa mavazi nadhifu yanayoendana na maadili ya kazi yao ili wanafunzi na jamii inayowazunguka ijifunze kutoka kwao kwani wao ni kioo cha jamii.
Mwito huo umetolewa hivi karibuni na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na baadhi ya wanafunzi wa kike wa chuo cha Ualimu Nachingwea mara baada ya kumalizika kwa futari aliyoiandaa kwa ajili ya viongozi wa wilaya iliyofanyika chuoni...
10 years ago
Vijimambo03 Nov
MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI
9 years ago
Bongo525 Nov
Naj: Sipendi mwanaume anayependa soka

Kama wewe ni mwanaume na ni shabiki wa ligi ya England, ligi kuu ya Tanzania au zingine jipange kwasababu umepoteza kigezo cha kumfanya Naj akuite mpenzi wake.
Muimbaji huyo wa ‘Don’t Let Me Go’ hapendi mwanaume anayependa soka.
“Sasa hivi siwezi kumdate a guy who likes football,” Naj alisema kwenye kipindi cha Chill na Sky.
“Sio type yangu cause they are so much into other guys in shorts running around for 90 minutes kicking balls halafu mwisho wa siku wanafunga magoli mawili,”...
9 years ago
Bongo516 Oct
Rose Ndauka ataja sifa za mwanaume anayependa kuwa naye
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Ellie na Nele: Wabadili jinsia kutoka ya kike hadi kiume na kurejesha ya kike tena
10 years ago
Bongo522 Sep
Diamond au Alikiba? Mr Blue aeleza yupi anayependa kufanya naye ngoma
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI TAULO ZA KIKE 'PEDI' ZA MIL 7.8 KWA WANAFUNZI WA KIKE DARASA LA SABA 2020 Inbox x
Na Kadama Malunde - Malunde 1 bogMbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi Taulo laini za kike ‘Pedi’ zinazofuliwa zenye thamani ya shilingi milioni 7.7 zilizotokana na mchango wake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani...
10 years ago
Vijimambo
Hoteli mpya ya New Pemba Seaview yafunguliwa Machomane, Pemba

Mwonekano wa Hoteli