Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chui ‘kupiga’ mbili mfululizo Ligi ya RBA

Timu ya Mpira wa Kikapu ya Chui inarejea kwenye Ligi ya Kikapu mkoani Dar es Salaam (RBA) kwa mechi mbili muhimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Dar Musica kujitambulisha kwa mbili mfululizo

MUSICANA MWALI IBRAHIM

BENDI ya muziki wa dansi ya Dar Musica inatarajia kuachia nyimbo zao mbili mpya hivi karibuni, wakiamini kwamba nyimbo hizo zitawatambulisha vema katika muziki wanaoufanya.

Bendi hiyo mpya inayoongozwa na aliyekuwa kiongozi wa bendi ya Mashujaa Musica ‘Wanakibega’, Jado Fidforce, kwa sasa ipo kambini jijini hapa ikijifua kwa ajili ya ujio huo.

Nyimbo zitakazoachiwa hivi karibuni ni ‘Chozi la masikini’ na ‘Bongo Michongo’ ambazo zitatambulishwa kwa mashabiki wake...

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana ‘City Bulls’, Pazi patachimbika Ligi ya RBA Azam

>Ligi ya Mpira wa Kikapu mkoani Dar es Salaam RBA Azam inatarajia kuendelea leo  kwa mechi baina ya wapinzani  wakuu nchini wa mchezo huo, Vijana ‘City Bulls’ na Pazi  kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Dewji Blog

Baada ya kimya kirefu Ali Kiba aachi nyimbo mbili mfululizo “Kimasomaso” na “Mwana Dar” zisikilize hapa!

Alikiba - Mwana Cover Done CD-1

Unaweza kusoma Profile ya Ali Kiba hapo chini

Alikiba Saleh Kiba (born November 26, 1986) is a Tanzanian recording artiste, songwriter, dancer, producer, actor and model. He is one of Africa’s biggest stars and his name is steadily becoming a household name internationally.
So influential is Alikiba that the Tanzania’s president Jakaya Mrisho Kikwete honored him for his invaluable contribution to Tanzanian Music and Arts and Culture feted him.

In 2011, Alikiba was voted as “the most...

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 100 matatani kujiandikisha mara mbili kupiga kura

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema inakusudia kuwafikisha mahakamani wananchi zaidi ya 100 wa Mkoa wa Njombe kwa madai ya kujiandikisha zaidi ya mara moja kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura.

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

BBCSwahili

Timu mbili Ligi ya Malawi zafungiwa

Vilabu viwili vya soka nchini Malawi vya Mighty Wanderers na Silver Strikers vimepigwa faini kufuatia ghasia za mashabiki wao

 

11 years ago

GPL

Bado mbili Kazimoto apande Ligi Kuu Qatar

Kiungo huyo Mtanzania wa Al Markhiya, Mwinyi Kazimoto. Na Mwandishi Wetu
KAMA kikosi cha Al Markhiya kitafanikiwa kushinda mechi zake mbili zilizobaki, basi moja kwa moja kitapanda hadi Ligi Kuu nchini Qatar. Kiungo huyo Mtanzania wa Al Markhiya, Mwinyi Kazimoto ameliambia Championi Jumamosi kuwa, kesho Jumapili ndiyo fainali kwao. “Kesho tunacheza mechi moja kati ya hizo mbili za mwisho ambazo tunatakiwa kushinda ili...

 

9 years ago

Michuzi

WAPENZI WA SOKA JITOKEZENI KUPIGA PICHA NA KOMBE LA LIGI KUU YA UINGEREZA (BARCLAYS PREMIER LEAGUE)

BENKI  ya Barclays hapa nchini yawaletea wapezi wa soka kombe la ligi kuu ya uingereza kwaajili ya kupiga nalo picha ikiwa mwaka huu ni mwisho wa benki hiyo kudhamini ligi kuu nchini Uingereaza, Pia wananchi wajitokeze kufungua akaunti kwaajili ya mshara katika benki hiyo ili kujishindia tiketi mbili za kwenda kuangalia ligi kuu ya uingereza.






Hayo yamesemwa na Kaimu Mkuu wa kitengo cha Masoko benki ya Barclays, Joe Bendera wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani