Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Clippers kugharimu dola billion 2

Aliyekuwa Gwiji wa Microsoft,Steve Ballmer, kununua LA Clippers licha ya pingamizi za mmiliki Sterling

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MV Mapinduzi 2 kugharimu Dola za Kimarekani USD 30,825,000

Na Maryam Kidiko – Maelezo Zanzibar.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeamua kutengeneza Meli mpya ya Abiria MV Mapinduzi 11 pamoja na mizigo Nchini Korea ili kuwapatia usafiri wa uhakika wa Baharini kwa Wananchi wa Visiwa vya Unguja na Pemba.

Hayo yameeleza leo na Naibu wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi huko Baraza la Wawakilishi linaloendelea Chukwani Nje kidogo wa Mji wa Zanzibar wakati akijibu suala la Muwakilishi Salim Abdallah Hamadi wa Jimbo la Mtabwe aliyetaka kujua Meli...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sterling hatimaye aiuza LA CLippers

Aliyekuwa mmiliki wa timu ya mpira wa vikapu LA Clippers, Donald Sterling, amekubali kuiuza klabu hiyo kwa dola bilioni 2

 

11 years ago

BBCSwahili

Mmiliki wa clippers aomba radhi

Mmiliki wa klabu ya mpira wa vikapu ya Los Angeles Clippers, Donald Sterling, ameomba radhi kwa matamshi yake ya kibaguzi.

 

5 years ago

GlobeNewswire

The Baby Feeding Bottles market size was valued at $2.8 billion in 2018 and is expected to reach $4.2 billion by 2026, registering a CAGR of 5.1% from 2019 to 2026

The Baby Feeding Bottles market size was valued at $2.8 billion in 2018 and is expected to reach $4.2 billion by 2026, registering a CAGR of 5.1% from 2019 to 2026  GlobeNewswire

 

5 years ago

Michuzi

KALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI


Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha


Na Ahmed Mahmoud Arusha

CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.

Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...

 

10 years ago

Habarileo

Ujenzi wa barabara kugharimu trilioni 1/-

WAZIRI wa Ujenzi Dk John MagufuliJUMLA ya Sh trilioni moja zinatarajiwa kutumika katika miradi minne tofauti ya kujenga barabara zenye jumla ya urefu wa kilomita 548 kwa kiwango cha lami katika mikoa ya Rukwa, Katavi na Mbeya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Umeme vijijini kugharimu bil. 4/-

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid,  amesema serikali inatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni nne kwa ajili ya mradi wa kufikisha huduma ya umeme katika vijiji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa maabara kugharimu bil 2/-

MANISPAA ya Ilala imetenga shilingi bilioni 2.2 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa maabara ulioanza Agosti na kutarajiwa kumalizika Oktoba mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima Ofisa Habari wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zahanati kugharimu mil. 150/-

MANISPAA ya Kinondoni imetenga sh milioni 150 kwa ajili ya ujenzi wa zahanati katika Mtaa wa Saranga uliopo katika Jimbo la Ubungo. Taarifa hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani