Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Colombia bado wamsubiri Falcao

Colombia inalazimika kusubiri kwa muda kupata uhakika kama watamtumia mshambuliaji wao, Radamel Falcao katika fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

FALCAO MBIONI KUTIMKIA CHELSEA

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Colombia Radamel Falcao Garcia anatarajiwa kuendelea kubaki England kwenye ligi kuu ya soka nchini humo akiwa na klabu ya Chelsea ambayo siku chache zijazo inatarajia kuthibitisha kumsajili kwa mkataba wa mkopo wa msimu mzima .Falcao ambaye msimu uliopita aliiwakilisha Manchester United ambako hata hivyo hakuweza kuonyesha cheche zake atajiunga na timu hiyo ya London kwa mkataba wenye thamani ya Euro Milioni 7 huku Chelsea ikiwa na chaguo la kumsajili moja kwa...

 

11 years ago

BBC

Falcao injury concern for Monaco

Monaco may prevent Ivory Coast forward Lacina Traore joining Everton on loan after Radamel Falcao suffers a serious injury.

 

10 years ago

BBCSwahili

Radamel Falcao, hali si shwari

Radamel Falcao yuko fiti kucheza dakika 20 tu

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yamsajili Radamel Falcao

Chelsea imemsajili mshambuliaji wa klabu ya Monaco Radamel Falcao kwa makubaliano ya mkopo lakini kuna uwezekano wa kuongeza kandarasi hiyo na kuwa ya kudumu.

 

10 years ago

GPL

FALCAO ATUA MAN UTD

Manchester United imemsajili Radamel Falcao kwa mkopo wa msimu mzima akitokea Monaco, ada pauni 12m na atalipwa pauni 200,000 kwa wiki.

 

10 years ago

Mtanzania

Falcao kuondoka Manchester United

FalcaoMANCHESTER, ENGLAND
MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United raia wa Colombia, Radamel Falcao, amesema mwisho wa msimu ataondoka katika klabu hiyo na kutafuta sehemu ambayo ataweza kupata nafasi ya kucheza.
Mchezaji huyo ambaye alijiunga na klabu hiyo kwa mkopo akitokea klabu ya Monaco, bado hajaonesha uwezo wake chini ya kocha, Louis van Gaal, ambapo mpaka sasa amefanikiwa kufunga mabao manne msimu huu katika ligi.
Falcao amekuwa akitokea benchi tangu Februari katika mchezo dhidi ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Falcao aumia tena Chelsea

Mshambuliaji wa Chelsea Radamel Falcao ameumia tena na hataweza kucheza hadi katikati mwa Januari.

 

10 years ago

Africanjam.Com

FALCAO ATUA RASMI CHELSEA


Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani