Colombia bado wamsubiri Falcao
Colombia inalazimika kusubiri kwa muda kupata uhakika kama watamtumia mshambuliaji wao, Radamel Falcao katika fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Gkjy662rssE/VXLU8it4McI/AAAAAAAAB7M/lOh3cthwy6w/s72-c/falcao_pa.jpg)
FALCAO MBIONI KUTIMKIA CHELSEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gkjy662rssE/VXLU8it4McI/AAAAAAAAB7M/lOh3cthwy6w/s400/falcao_pa.jpg)
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72460000/jpg/_72460178_radamelfalcao2.jpg)
Falcao injury concern for Monaco
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Chelsea yamsajili Radamel Falcao
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0T*wkgpaMzDJlXZUAmPtOo-ZVXMOajzTwPP-YjpfT9Op6C6Ah83x1Kiv-*K0QpQsW3t2FoOWLUT6*wHacZwH9mh/960.jpg?width=750)
FALCAO ATUA MAN UTD
10 years ago
Mtanzania26 Mar
Falcao kuondoka Manchester United
MANCHESTER, ENGLAND
MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United raia wa Colombia, Radamel Falcao, amesema mwisho wa msimu ataondoka katika klabu hiyo na kutafuta sehemu ambayo ataweza kupata nafasi ya kucheza.
Mchezaji huyo ambaye alijiunga na klabu hiyo kwa mkopo akitokea klabu ya Monaco, bado hajaonesha uwezo wake chini ya kocha, Louis van Gaal, ambapo mpaka sasa amefanikiwa kufunga mabao manne msimu huu katika ligi.
Falcao amekuwa akitokea benchi tangu Februari katika mchezo dhidi ya...
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Falcao aumia tena Chelsea
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s72-c/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
FALCAO ATUA RASMI CHELSEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s400/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...