Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Wahalifu wageukia wizi wa barakoa

Hofu ya maambukizi ugonjwa wa corona yaendelea kote duniani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Unadhani ukivaa barakoa umejikinga

Barakoa ya kuzuia imepata umaarufu kila mtu akijaribu kujikinga dhidi ya maambukizi ya Covi-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi wahalifu wa mtandaoni wanavyoongeza hofu katika jamii

Barua pepe tano ambazo wahalifu wa mtandaoni wamekuwa wanatumia kuwalaghai watu kuhusu corona.

 

5 years ago

Michuzi

UKOMO WA BEI YA BARAKOA HADHARANI, VIWANDA VYA NGUO NCHINI KUTENGENEZA BARAKOA ZAIDI

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa amesema atachukua hatua kwa Taasisi zisizo za kiserikali (NGOs) zinazouza barakoa kwa gharama kubwa.

Bashungwa alitoa taadhari hiyo mkoani Arusha alipotembelea Viwanda vya kuzalisha nguo vya Sunflug na A to Z kuangalia hali ya uzalishaji wa barakoa katika Viwanda hivyo.
Bashungwa alitoa onyo kwa NGOs zilizoomba kibali cha kuzalisha barakoa kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania lakini badala yake wanauza barakoa kwa shillingi 2,500 hadi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ni kwanini watu katika baadhi ya mataifa wanatumia barakoa huku mengine hawatumii?

Ukitoka nje ya nyumba Hongokong bila kuvaa barakoa watu watakuangalia vibaya .Lakini si katika maeneo mengine ya dunia. Lakini je ni kwanini?

 

5 years ago

Michuzi

KIKUNDI CHA BARAKOA TZ CHAGAWA BARAKOA BURE ZAIDI YA 1000 MAENEO MBALIMBALI IKIWEMO VITUO VYA WATOTO YATIMA

Janga la ugonjwa wa virusi vya COVID-19 umeleta uhaba ya bidhaa nyingi humu nchini zikiwemo Barakoa. Rania Nasser ambaye ni mwanafunzi wa sekondari aliunda kikundi kinachojulikana kama Barakoa Tz cha kutengeneza na kugawa barakoa bure kwa wale wenye uhitaji. Nia yake kubwa ilikuwa ni kutengeneza barakoa nyingi na kuzigawa bure kwenye vituo vya polisi vilivyo karibu na nyumbani kwao bure kabisa.
Baada ya wiki moja, uhitaji wa barakoa uliongezeka maradufu na hivyo akaona umuhimu wake...

 

10 years ago

Mwananchi

Makongoro, Muhongo wageukia ubunge

>Baraka Mkama, Marwa Mbeu, Reuben Mulemwa, Tungaraza Njugu, Boniphace Magesa, Jonas Mgoka, Masatu Kyabwene, Fedinarnd Chiguma na Chilagwile Zacharia, Profesa Sospeter Muhongo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara wageukia biashara ya mtandaoni

BIASHARA  ya mtandao ni biashara inayozidi kukua kila  uchao  ambapo mauzo ya bidhaa na manunuzi hufanyika kwa kutumia teknolojia. Ni biashara  ambayo imelenga soko la kimataifa zaidi hususan kwa nchi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wamasai wageukia ususi kujikimu kimaisha

Ni jambo la kawaida kuwaona wamaasai wakichunga ngomb'e zao katika milima na mabonde. Lakini hali hii inabadilika kwa kasi kubwa

 

10 years ago

Habarileo

Vigogo wa urais CCM wageukia ubunge

Profesa Sospeter Muhongo.WIKI moja baada ya CCM kumteua Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea wake wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, idadi kubwa ya washindani wake wamegeukia siasa za majimbo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani