CRDB BANK YAFAGILIWA JIJINI ARUSHA
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni za wastaafu PPF, Bw.William Erio ameipongeza benki ya CRDB kwa kuendelea kuwa benki bora yenye huduma nzuri zaidi hapa nchini.
Bw. Erio aliyasema hayo jijini Arusha jana katika hafla ya chakula cha jioni kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa PPF iliyofanyika katika hoteli ya Naura Springs.
Mkurugenzi huyo alisema kuwa Shirika lake lina faraja kubwa kuona benki ya CRDB ambayo PPF ni mmoja ya wanahisa wake wakuu, ikiendelea vizuri na kufikia viwango vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Klvx9YpDpUs/VUsh9mKoCVI/AAAAAAABY80/bx0zT25HN30/s72-c/kimei.jpg)
BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA ISHIRINI WA WANAHISA JIJINI ARUSHA
Kufuatia anguko la shilingi ya Tanzania dhidi ya dola wafanyabiashara nchini wametakiwa kuona kuwa ni fursa ya wao kijiinua kiuchumi katika biashara zao ndani na nje ya nchi na kuachana na propaganda za wanasiasa ambapo wanalalamikia anguko hilo.
Ambapo hali hiyo imesababisha kupanda kwa bidhaa mbalimbali nchini hali inayotajwa kuongeza ugumu wa maisha ya wananchi sambamba na wafanyabiashara nchini ambao wananunua na kuagiza bizaa kutika nje ya nchi. Hayo yameelezwa...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA MEI 10 JIJINI ARUSHA
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAFANYA MKUTANO MKUU WA 19 WA WANAHISA WAKE JIJINI ARUSHA
10 years ago
Dewji Blog07 May
Benki ya CRDB kufanya mkutano wa ishirini wa wanahisa Jijini Arusha kesho
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB Dr,Charles Kimei akiongea na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha akitoa taarifa ya mkutano mkuu wa ishirini wa wanahisa wa Benki ya Crdb unatarajia kufanyika kesho jijini Arusha. (Habari Picha na Pamela Mollel wa Jamiiblog).
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB, Dr. Charles Kimei, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Arusha. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi mtendaji huduma mtambuka benki ya CRDB Bi.Esther...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASHIRIKI KONGAMANO LA VIJANA LA BIASHARA LILILOANDALIWA NA TAASISI YA AIESEC JIJINI ARUSHA
Kongamano hilo lilihudhuriwa na Vijana kutoka katika Vyuo Vikuu vya nchi za Afrika Mashariki na kuandaliwa na Taasisi ya AIESEC ambalo hujihusisha na ubunifu wa vipaji vya uongozi miongoni mwa vijana lililofanyika jijini Arusha hivi karibuni katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Hall CDTI- TENGERU, Arusha...
11 years ago
MichuziAZANIA BANK ILIVYOSHIRIKI MAONESHO YA NANE NANE JIJINI ARUSHA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2esxvPuw6VI/Vao5HtWQNHI/AAAAAAAHqTU/yzwHSHn-YjU/s72-c/C8svyblVPAxk2JUNmVWFE-_TBdq2TS9bq2UztGxB_fZ4TP7_vWT8TlhvLMrEuS6RtcfZxfSZX1yIWpHidOI2mrVAt0NymLq_Zig%253Ds0-d-e1-ft.png)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-C8gDG6s370A/U9YJn7AyBjI/AAAAAAAF7RI/gFlnA-ASgt4/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
TheCitizen08 Aug
CRDB Bank establishes India Desk
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10