Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF’s Hamad decamps to ADC

The veteran politician was member of opposition Civic United Front for many years

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

Hamad Rashid quits CUF, joins ADC


Hamad Rashid quits CUF, joins ADC
Daily News
THE opposition Civic United Front (CUF) suspended Member of Parliament (MP) for Wawi constituency, Mr Hamad Rashid Mohamed, defected to the Alliance for Democratic Change (ADC) party and was given membership card number one. He used ...

 

11 years ago

TheCitizen

Isles’ Mansoor decamps to CUF

A former minister in the Zanzibar government, Mr Mansoor Yussuf Himid (pictured), yesterday announced he was decamping to the opposition party- Civic United Front (CUF).

 

9 years ago

Mwananchi

Miraj, Hamad Rashid wavurugana ADC

Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Said Miraj amemshushia tuhuma tatu mgombea urais wa chama hicho visiwani Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed, huku akisisitiza kuwa ili kukinusuru chama hicho ni lazima afukuzwe.

 

10 years ago

Mwananchi

ADC wapongeza uamuzi wa Hamad Rashid

Chama cha Aliance for Democratic Change (ADC), kimesema kimepokea kwa furaha kauli iliyotolewa na Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashidi Mohammed ya kutaka kugombea nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho na kusema kuwa ameonyesha ukomavu mkubwa wa kisiasa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

ADC yajivunia Hamad Rashid kugombea urais

CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimempongeza Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed kwa kuonesha nia ya kugombea urais kwa chama hicho. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar...

 

10 years ago

Mwananchi

Hamad Rashid awa mwanachama namba moja ADC

Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid Mohamed amejiunga rasmi na Chama cha Alliance for Democtratic Change (ADC) chenye wanachama wanaokaribia 450,000 lakini akakabidhiwa kadi namba moja aliyosema inampa tiketi ya kuwania urais kupitia chama hicho Zanzibar.

 

10 years ago

KwanzaJamii

ADC YAJIVUNIA HAMAD RASHID MOHAMMED KUGOMBEA URAIS 2015

CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimempongeza Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed kwa kuonesha nia ya kugombea urais kwa chama hicho. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama hicho, Said Miraji, alisema wamepokea kauli ya Mbunge huyo kwa furaha na watampa ushirikiano wote katika kuhakikisha kuwa ADC inafanya vizuri. Miraji, alisema Hamad ana uwezo mkubwa ikiwa ni pamoja na kuwahi kushika nyadhifa mbalimbali katika serikali, hivyo...

 

9 years ago

Michuzi

Mh. Hamad Rashid afungua kampeni za urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC kisiwani pemba

 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC (DAIADAIA) Mhe Rashid Hamad akihutubia umati wakati akizindua rasmi kampeni za chama hicho katika kiwanja cha Gombani ya Kale Kisiwani Pemba na kunadi sera zake Sehemu ya umati wa wananchi ukimsikiliza  Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC (DAIADAIA) Mhe Rashid Hamad akihutubia umati wakati akizindua rasmi kampeni za chama hicho katika kiwanja cha Gombani ya Kale Kisiwani Pemba na kunadi sera zakeSehemu ya umati wa wananchi...

 

9 years ago

Vijimambo

MH. HAMAD RASHID AFUNGUA KAMPENI ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CHAMA CHA ADC KISIWANI PEMBA

 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC (DAIADAIA) Mhe Rashid Hamad akihutubia umati wakati akizindua rasmi kampeni za chama hicho katika kiwanja cha Gombani ya Kale Kisiwani Pemba na kunadi sera zake Sehemu ya umati wa wananchi ukimsikiliza  Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC (DAIADAIA) Mhe Rashid Hamad akihutubia umati wakati akizindua rasmi kampeni za chama hicho katika kiwanja cha Gombani ya Kale Kisiwani Pemba na kunadi sera zakeSehemu ya umati wa wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani