DADPS RUANGWA YATOA TREKTA KWA KIJIJI KATIKA KUENDELEZA KILIMO
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
Akisaini mikataba ya makabidhiano ya Trekta lililonunuliwa kupitia
miradi ya DADPS huku Mwenyekiti wa kijiji cha Kilimahewa,Bw Ally Seif
Malongola akisubiri kusaini mkataba huo,
Trekta lililokabidhiwa kwa kijiji cha kilimahewa wilayani Ruangwa
Afisa Mtendaji wa kijiji cha kilimahewa,Bw Rajab
Mohamed akisoma taarifa fupi kwa mgeni rasmi kabla ya kukabidhiwa kwa
Trekta ,Kutoka kulia ni Katibu Tawala Wilaya ya Ruangwa,Silvanus
Kilowoko...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PPiMMJKGrJU/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xTpnHTuV5KY/Xs044OrwCbI/AAAAAAALrpk/p51iU9kdI_0GRNYrZWrov7yXr_6u3TbgQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-05-26-17h26m52s195.png)
Wananchi wawajia juu wenzao kwa kuuza eneo la kijiji lililotengwa kwa ajili ya Kilimo na Ufugaji
Wananchi wa vijiji vya kata ya Itulahumba halmashauri ya wilaya ya Wangingombe mkoani Njombe kwa pamoja wamepinga kitendo kinachofanywa na baadhi ya wananchi wenzao kwa kushirikiana na mtendaji wa kijiji hicho kuuza eneo ambalo limetengwa kijijini hapo kwaajili ya ufugaji na kilimo.
Eneo hilo lenye ukubwa wa zaidi ekari 80 ambalo limeanza kukatwa miti na kulimwa bila makubaliano ya kamati za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aBi951nol0k/Xm4RlPj-jHI/AAAAAAALjuo/kG-4wDbQq4kE2guLZVJtuYCC-S8DLLcYQCLcBGAsYHQ/s72-c/ddee7d2b-2b1e-4aa9-a252-3c78338b74b7.jpg)
WAZIRI BITEKO AWARUHUSU WAKAZI KIJIJI CHA MUNDINDI,LUDEWA KUENDELEZA MASHAMBA YAO KWA KULIMA MAZAO YA MUDA MFUPI
Hayo ameyasema alipotembelea mradi wa liganga uliopo mkoani humo baada ya wakazi wa kijiji hicho kulalamika kuwa wanazuiliwa kulima mashamba yao pasipo kulipwa fidia yoyote kitu ambacho kinawarudisha nyuma kimaendeleo.
Wananchi hao wandai kuwa walikubali kupisha mradi...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Serikali ya kijiji yatoa masharti kwa wanaoogelea
SERIKALI ya Kijiji cha Mwanzugi, wilayani Igunga, Tabora imepiga marufuku wananchi kutembea na nguo za ndani baada ya kuogelea katika bwawa la kijiji. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XisBi9_f_ig/VcGmBnnPkcI/AAAAAAAAEkw/l61EjgoJoiI/s72-c/1.jpg)
TCRA YATOA ELIMU KWA WANANCHI KWENYE MAONESHO YA KILIMO ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-XisBi9_f_ig/VcGmBnnPkcI/AAAAAAAAEkw/l61EjgoJoiI/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pE46eR86MoU/VcGmFBcuWhI/AAAAAAAAEk4/7v_f5zoce6g/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e7mMcxlq8gU/VcGmILBV08I/AAAAAAAAElA/sV0GPPIovLg/s640/3.jpg)
5 years ago
MichuziTCRA Kanda ya Mashariki yatoa elimu ya utumiaji mawasiliano Wilayani Ruangwa
Na Chalila Kibuda Globu ya Jamii aliyekuwa wilayani Ruangwa
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)Kanda ya Mashariki imetoa elimu ya Mawasiliano katika Shule mbili za Sekondari wilayani Ruangwa ili Wanafunzi na walimu wajue namna ya kutumia mawasiliano hayo kwa usalama.
Shule za Sekondari zilizipata elimu ya Mawasiliano wilayani Ruangwa ni Kassim Majaliwa na Likunja
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika Shule hizo Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-udxIm_mNv0I/XmeLYz_HXYI/AAAAAAAEGL8/-Bkb5oN1KZc4ebvFFAj7h-7fBhhHNKXJgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-13-1.jpg)
NMB yawezesha Kilimo cha katani nchini, yatoa shilingi Bilioni 1 kwa ajili ya matrekta
![](https://1.bp.blogspot.com/-udxIm_mNv0I/XmeLYz_HXYI/AAAAAAAEGL8/-Bkb5oN1KZc4ebvFFAj7h-7fBhhHNKXJgCLcBGAsYHQ/s640/4-13-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-13-1.jpg)