Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daktari afafanua kuhusu ulaji wa supu ya pweza

ULAJI wa supu ya pweza, karanga mbichi, muhogo mbichi, mbata kwa dai kwamba vinaongeza urijali kwa wanaume, kumeelezwa kuwa ni dhana potofu inayostahili kupigwa vita, kwa kuwa haina uhusiano kati ya urijali wa mwanamume na virutubisho vinavyotolewa na vyakula hivyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

supu ya pweza, karanga mbichi, muhogo mbichi, mbata, korosho havisaidii urijari - Daktari

Dk Cuthbert Maendaenda akiwatwanga
lekcha wahariri mbalimbali mjini Morogoro
ULAJI wa supu ya pweza, karanga mbichi, muhogo mbichi, mbata kwa dai kwamba vinaongeza urijali kwa wanaume kumeelezwa kuwa ni dhana potofu inayostahili kupigwa vita kwa kuwa haina uhusiano kati ya urijali wa mwanaume na virutubisho vinavyotolewa na vyakula hivyo.

Kauli hiyo imetolewa na Dk Cuthbert Maendaenda wakati akitoa mada yake katika semina ya wahariri iliyofanyika mkoani Morogoro iliyojadili nafasi ya wanaume...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pweza na mchuzi wake ni tiba?

Ulaji wa samaki aina ya pweza na unywaji wa supu yake umekuwa maarufu mno jijini Dar es Salaam

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Daktari mkuu wa aonya kuhusu uwezekano wa kusambaa zaidi kwa Covid-19 Marekani

The US's top infectious diseases doctor warns senators of the risks of reopening too soon.

 

11 years ago

Mwananchi

Uzalendo wa supu hatari kwelikweli

Waliosema iga ufe hawajakosea. Eti kwa kuwa bangi ya kutibua inazidi kutibua licha ya kuonekana kwamba ni kazi ya kuchimba shimo ili kujaza shimo lingine, basi hata waishiwa wenzangu walidai kuwa na kikao kisichokoma wala kukomaa ilimradi supu inaendelea kutolewa.

 

9 years ago

Michuzi

pale mbuzi anapofia kwa muuza supu....

Askari wa Usalama barabarani akiangalia namna gari yake ilivyoumia baada ya kugongana uso kwa uso na gari nyingine katika ajali iliyitokea mchana huu eneo la Tegeta jijini Dar.

 

11 years ago

Vijimambo

WADAU WAKUTWA NA KAMERA YA VIJIMAMBO MGAHAWA WA SWAHILI WAKIPATA SUPU

Wadau wakijipatia supu kama walivyokutwa na kamera ya Vijimambo Jumapili ya Oct 12, 20014 katika mgahawa wa Swahili uliopo Beltsville, Maryland nchini Marekani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

H-baba afafanua siri ya Tanzanite

MSANII wa Bongo Fleva H-Baba, amesema anafarijika kumuita mwanae jina la Tanzanite, moja ya madini ya thamani yanayopatikana Tanzanzania pekee. Kwa mujibu wa H-Baba, mume wa muigizaji Frola Mvungi ambaye...

 

10 years ago

Vijimambo

MKOANI MARA KATIKA FAMILIA ZA KIKURYA, SHEREHE ZA KUCHINJA MBUZI KWA AJILI YA SUPU BADO ZINA THAMANI KUBWA.

Na:George GB PazzoKwa kabila la Wakurya sherehe ya kumchinjia mtu mbuzi kwa ajili ya supu huchukuliwa kama heshima kubwa miongoni mwa alieandaa sherehe hiyo na yule alieandaliwa sherehe ambapo ndugu, jamaa, marafiki na majirani hualikwa kwa ajili ya kushiriki pamoja katika sherehe hiyo.Kutoka kushoto ni Professor Lyoyd Binagi (Manamba) James Binagi, Bi.Luise Binagi, Ghati Isanchu na wanandugu wengine wakiwa katika sherehe ya kifamilia iliyofanyika jana Septemba 24,2015 katika Kijiji cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani