Daktari kortini kwa kuwadhalilisha watoto
Daktari huyo wa watoto Uingereza amefunguliwa mashitaka kwa kosa la kuwadhalilisha watoto wadogo kati ya umri wa miaka 11 na 15.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTAKUKURU MKOA WA SINGIDA YAMBURUZA KORTINI DAKTARI KWA TUHUMA YA RUSHWA
Na Godwin Myovela, Singida.TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) Mkoa wa Singida imemburuza mahakamani Dkt. Abdul Sewando wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida (Mandewa) akituhumiwa kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa mgonjwa kinyume na kifungu cha 15 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya Mwaka 2007.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jana kwenye ofisi za PCCB, Mkuu wa...
10 years ago
Habarileo21 Sep
52 kortini kwa kuwazuia watoto kuingia sekondari
WAZAZI 52 katika Wilaya ya Kisarawe wamefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo kutokana na kuwazuia watoto wao kuendelea na elimu ya kidato cha kwanza mwaka huu.
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Daktari aliyeiba watoto ahukumiwa China
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Daktari wa watoto pacha kwenda Mbeya
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Abigail Chamungwana: Mwanamuziki mwenye umri mdogo aliye na ndoto ya kuwa Daktari bingwa wa upasuaji moyo wa watoto
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Daktari afungwa kwa ukeketaji Misri
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Daktari: Mgonjwa hakufa kwa ebola
11 years ago
Mwananchi12 May
Daktari bingwa afa kwa dengue
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Kortini kwa kuingia nyumbani kwa Mzee Mwinyi
NA MANENO SELANYIKA, DAR ES SALAAM
MKAZI wa Ilala Mtaa wa Lindi, Hafidhi Ally (23), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kuvamia kisha kuingia nyumbani kwa Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
Mbele ya Hakimu Ester Kihiyo, karani wa mahakama hiyo, Mosses Mchome, alidai kwamba mtuhumiwa alifanya kosa hilo Desemba 10, mwaka huu saa 7:30 usiku nyumbani kwa Mzee Mwinyi, Mikocheni B, Dar es Salaam.
Karani Mchome aliiambia mahakama hiyo kwamba, Hafidhi...