Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAR-ES-SALAAM, BONGO


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Bongo Movies

Bongo Dar-Es-Salaam ya Dude Kurudi Tena Hivi Karibuni!!

Kipindi  cha mchezo wa maigizo cha  Bongo Dar es Salaam kilichojizolea mashabiki na watazamaji wengi kinalejea tena hivi karibuni baada ya kusimama kwa  zaidi ya miaka mitatu.

Mwigizaji Kulwa Kikumba “Dude” ambae ni muigizaji mkuu na mmiliki wa kipindi hicho amewadokeza mashabiki wake mtandaono na kuwa kipindi kitakuwa hewani hivi karibuni na kuweka baadhi ya picha akiwa lokesheni wakifanya kazi huku akimtaja  muigizaji Haji Adam kuwa ni moja ya staa atakaefanya nae kazi.

Bila shaka wengi...

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA MANUNUZI KUFANYIKA DAR ES SALAAM JUMAMOSI, NI POP UP BONGO

Na Mwandishi Wetu

TAMASHA la manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya Pop Up...

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MPOTO: AANZISHA BONGO DAR ES SALAAM, DUDE ATAKA KUMGEUKA!

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale Mrisho alipopata wazo la kutengeneza kipindi cha utapeli kwenye TV ambapo alifanikiwa kurekodi na kukubaliwa kukirusha katika Televisheni ya Taifa (TBC), baada ya hapo akaanza rasmi kutafuta nani awe mhusika mkuu. Songa nayo sasa... “Nikaenda moja kwa moja kwenye kikundi cha kuigiza kiitwacho, Splendid kipo Ilala, nikakutana na wasanii wengi...

 

9 years ago

Michuzi

POP UP BONGO KUFANYIKA JUMAMOSI HII TRINITI OYSTERBAY DAR ES SALAAM

Na Mwandishi WetuWASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oyster bay katika tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo. 
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Akizungumzia kuhusiana na tamasha hilo mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli alisema kuwa milango...

 

9 years ago

Michuzi

AWARD WINNING INTERNATIONAL TANZANIAN FILM, "GOING BONGO" IN DAR ES SALAAM THEATERS FROM DECEMBER 11TH, 2015


Tarehe 11 Desemba, 2015, filamu iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa, “Going Bongo” itaanza kuonyeshwa katika jumba la sinema la Cinemax Century lililopo Mlimani City katika jiji la Dar-es-sallam. Filamu hiyo ambayo imetengenezwa Tanzania and katika jiji la Los Angeles kule Marekani inamhusu daktari wa kimarekani anayekuja kimakosa kufanya kazi Tanzania kwa muda wa mwezi mmoja. Filamu hii imekwishajishindia tuzo mbali mbali za kimataifa ikiwemo, filamu bora ya Afrika Mashariki (ZIFF) na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani