DAR-ES-SALAAM, BONGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yYMvV59EIcQ/Vgbw3Wf2W3I/AAAAAAAD-Gk/XjywXjJQyzM/s72-c/12047060_986513331410738_6704923256613233077_n.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p2EB9CQ1Nd8/UvdQKBY4XII/AAAAAAAFL6c/AeCa1ogEZwQ/s72-c/IMG_0037.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/mUzto8XHmuA/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies03 Mar
Bongo Dar-Es-Salaam ya Dude Kurudi Tena Hivi Karibuni!!
Kipindi cha mchezo wa maigizo cha Bongo Dar es Salaam kilichojizolea mashabiki na watazamaji wengi kinalejea tena hivi karibuni baada ya kusimama kwa zaidi ya miaka mitatu.
Mwigizaji Kulwa Kikumba “Dude” ambae ni muigizaji mkuu na mmiliki wa kipindi hicho amewadokeza mashabiki wake mtandaono na kuwa kipindi kitakuwa hewani hivi karibuni na kuweka baadhi ya picha akiwa lokesheni wakifanya kazi huku akimtaja muigizaji Haji Adam kuwa ni moja ya staa atakaefanya nae kazi.
Bila shaka wengi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FNftVeZXI-U/Vd97spp0TcI/AAAAAAAACCc/0z1eXn6UIjk/s72-c/Artwork_Promo%2BPoster.jpg)
TAMASHA LA MANUNUZI KUFANYIKA DAR ES SALAAM JUMAMOSI, NI POP UP BONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-FNftVeZXI-U/Vd97spp0TcI/AAAAAAAACCc/0z1eXn6UIjk/s640/Artwork_Promo%2BPoster.jpg)
TAMASHA la manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya Pop Up...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kpD37olj0H0eMGCIw-l6mBCKfrwJEKsiZBToKThNYoV593kHI4olHQxezGt1I7K3PP2L7pg52jiAVHbL*KOrEwWeilOcS8mW/Mrisho.jpg?width=650)
SIMULIZI YA MPOTO: AANZISHA BONGO DAR ES SALAAM, DUDE ATAKA KUMGEUKA!
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hFJp_lVmeIc/VlP8Zq0exnI/AAAAAAAAL80/LWjmojgQGi8/s72-c/Mbili.jpg)
POP UP BONGO KUFANYIKA JUMAMOSI HII TRINITI OYSTERBAY DAR ES SALAAM
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Akizungumzia kuhusiana na tamasha hilo mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli alisema kuwa milango...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xNJBl7JdfxU/VmcK6AtsQTI/AAAAAAAILEM/J5MSIPsQ0Vo/s72-c/NWDLAFRICA%2BLOGO.jpg)
AWARD WINNING INTERNATIONAL TANZANIAN FILM, "GOING BONGO" IN DAR ES SALAAM THEATERS FROM DECEMBER 11TH, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-xNJBl7JdfxU/VmcK6AtsQTI/AAAAAAAILEM/J5MSIPsQ0Vo/s320/NWDLAFRICA%2BLOGO.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ErsCDByA1Vs/VmcK9DKbq2I/AAAAAAAILEU/yDYd3vMQUno/s640/313e6580f06a01c049524095ff129073.jpg)