Dar es Salaam dares not ignore India
IPPmediaDar es Salaam dares not ignore India
East African Business Week
These days, there is so much talk about Chinese assistance and Chinese firms building big projects, that we forget that Indians also have much to offer African economies. President Jakaya Kikwete's trip to New Delhi recently, is therefore something ...
Kikwete for graft-free, tranquil pollsDaily News
Corruption in investment riles JKIPPmedia
all 8
East African Business Week
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hguoH-gVwKQ/VY5gn1reEAI/AAAAAAAHkbQ/JPxe-E176Gc/s72-c/index.jpg)
USHIRIKI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KWENYE MAONYESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA DARES SALAAM
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
TANGAZO KUHUSU USHIRIKI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KWENYE MAONYESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA DARES SALAAMWizara ya Maliasili na Utalii inashiriki kwenye Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dares Salaam (Saba Saba) yatakayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius.K.Nyerere, Barabara ya Kilwa kuanzia tarehe 28 Juni hadi 8 Julai, 2015. Karibu kwenye Banda la Wizara ya...
![](http://1.bp.blogspot.com/-hguoH-gVwKQ/VY5gn1reEAI/AAAAAAAHkbQ/JPxe-E176Gc/s1600/index.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LMRLUdHwoXE/VBmY-ZfkXzI/AAAAAAAGkIg/ii5f46fzpgQ/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
TAMKO LA UMOJA WA VIJANA WAZALENDO WA VYUO VYA ELIMU YA JUU DARES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMRLUdHwoXE/VBmY-ZfkXzI/AAAAAAAGkIg/ii5f46fzpgQ/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kDJrrhyI1ME/VBmY-eK0KXI/AAAAAAAGkIs/-dYh1G5pWuU/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WmvXR1oWVBA/VbDMEJ8VRlI/AAAAAAAHrTM/4crpDFwOKtU/s72-c/apollo-03.jpg)
Wakazi wa Dar es salaam Kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo, India
![](http://4.bp.blogspot.com/-WmvXR1oWVBA/VbDMEJ8VRlI/AAAAAAAHrTM/4crpDFwOKtU/s400/apollo-03.jpg)
Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni kuhakikisha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UfFTDO7QAb4/VbFG8zF7DfI/AAAAAAAHrXY/LW1EQx-Zxpk/s72-c/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
JK aagana na Mabalozi waliomaliza muda wao wa India,Ubelgiji na Sweden Ikulu jijini Dar es salaam
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo ameagana na mabalozi watatu wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania baada ya kumaliza muda wao wa kazi . Mabalozi walioagana na Rais leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe.Debnath Shaw wa India,Balozi Koenraad Adam wa Ubelgiji na balozi Lennarth Hjelmaker wa Sweden.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na balozi wa India anayemaliza muda wake Mhe.Debnath Shaw wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya...
![](http://2.bp.blogspot.com/-UfFTDO7QAb4/VbFG8zF7DfI/AAAAAAAHrXY/LW1EQx-Zxpk/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WcgW_9DZg9s/VbFG86JBotI/AAAAAAAHrXc/DiDjQWGdbTQ/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA MINJA AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA AFISA MNADHIMU MKUU MSAIDIZI WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DARES SALAAM
10 years ago
GPL08 May
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s1600/unnamed%2B%2813%29.jpg?width=650)
KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA
PICHANI JUU: Taswira mbalimbali zikionyesha Kivuko cha MV.Dar es Salaam kikiwa kimeshushwa majini jana tayari kwa kuanza safari ya kuja Tanzania kutokea nchini…
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
BREAKING NYUZZZZZ....KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA
Ile ahadi ya Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli ya kununua kivuko kipya kitakachotoa huduma ya usafiri kati ya Jiji la Dar es Salaam na mwambao wa Bahari ya Hindi hadi Bagamoyo imetimia. Taarifa za uhakikia tulizozipata hivi punde ni kuwa kivuko hicho (Mv Dar es Salaam) kilichokuwa kinajengwa huko Denmark leo kimeshuka majini na tayari kuanza safari ya kuja Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kufika/kutua Dar es Salaam kati ya wiki tatu mpaka nne zijazo. Kivuko cha MV Dar es Salaam kitakuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania