Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dar Leopards kucheza Mombasa katika raga

Timu ya raga ya Dar Leopards inatarajiwa kwenda pwani ya Mombasa, Kenya na kucheza na klabu ya Mombasa mwishoni mwa wiki .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SIMBA DAY 2015 KUCHEZA NA LEOPARDS, KIINGILIO BURE

Dhima ya Simba Sports Club ya kuendeleza mabadiliko ndani ya Simba bado inaendelea kushika kasi, Katika kipindi cha miezi mitatu sasa, mmekuwa mashuhuda wa Simba inayolenga kuleta mapinduzi makubwa katika jinsi mpira unavyoendeshwa, kujali wanachama, wapenzi wake na kukuza vyanzo vya mapato.

Akizungumza wakati wa kutangaza rasmi Simba Week 2015 Rais wa Simba Evans Aveva alisema ‘’Kila mwaka timu yetu ya Simba imekuwa na utaratibu wa kuwa na siku maalum kwa ajili ya kufurahi, kuwatambulisha...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA DAY 2015 SIMBA KUCHEZA NA AFC LEOPARDS, KIINGILIO BURE

Rais wa Simba, Evans Aveva akimkabidhi kadi mpya ya uanachama wa Simba msanii wa Bongo Move, Yvonne Cherrie 'Monalisa'  wakati wa hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Katikati ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya EAGgroup, Imani Kajula.  (Picha na Francis Dande)Rais wa Simba, Evans Aveva akimkabidhi kadi mpya ya uanachama wa Simba msanii wa Bongo Move, Jeniffer Kyaka 'Odama'  wakati wa hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Katikati ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya EAGgroup, Imani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Simba Day 2015 Simba kucheza na Leopards, kiingilio bure!

SIMBA DAY 2015 Simba Kucheza na AFC Leopards, Kiingilio bure.

Afisa Mtendaji Mkuu wa EAG Group, Imani Kajula akiwa Pamoja na Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva, wakati wa uzinduzi wa Simba Day.

Dhima ya Simba Sports Club ya kuendeleza mabadiliko ndani ya Simba bado inaendelea kushika kasi, Katika kipindi cha miezi mitatu sasa, mmekuwa mashuhuda wa Simba inayolenga kuleta mapinduzi makubwa katika jinsi mpira unavyoendeshwa, kujali wanachama, wapenzi wake na kukuza vyanzo vya mapato.

Akizungumza wakati wa kutangaza rasmi Simba Week 2015 Rais wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini walemea Argentina katika raga

Afrika Kusini imemaliza nambari tatu katika Kombe la Dunia la Raga baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya Argentina.

 

11 years ago

BBCSwahili

2 wajeruhiwa katika mlipuko Mombasa

Mwanamume mmoja amewarushia maafisa wa polisi guruneti kuzuiwa kukamatwa kwa mshukiwa wa ugaidi aliyekuwa mikononi mwa maafisa hao

 

11 years ago

Mwananchi

Watatu wafariki katika mlipuko Mombasa

Mkuu wa Usalama wa Taifa na Baraza la Ulinzi, Andry Paruby amesema majeshi yataendelea na awamu nyingine ya mashambulizi katika miji mingine ambako wanamgambo na magaidi wanaendesha harakati haramu.

 

10 years ago

StarTV

Mmoja auawa katika mapigano Mombasa.

Waandamanaji walipora maduka na kuwarushia mawe polisi kupinga kupigwa risasi na kuuwawa kwa mtu anayeshukiwa kuwa mpiganaji Muislamu.

 
Polisi wanakanusha kuwa walihusiuka na mauaji hayo yaliyotokea Jumamosi ya Hassan Guti, ambaye alihusishwa na mauaji ya afisa mwandamizi wa polisi mwezi Agosti.

 
Inaarifiwa kuwa ghasia zilizuka Jumapili baada ya mazishi ya Bwana Guti.

 
Watu kadha wa msimamo mkali wa kidini wameuwawa mjini Mombasa katika miezi ya karibuni.

 
Kumetokea mashambulio...

 

11 years ago

Mwananchi

NHC kushindanisha Dar, Arusha, Nairobi na Mombasa

>Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), lipo mbioni kutekeleza mpango wake wa kujenga miji midogo inayojitegemea ndani ya miji ya sasa ikiwamo Arusha na Dar es Salaam, itakayokuwa na hadhi na iliyojitosheleza ikishindana na miji ya Mombasa na Nairobi nchini Kenya.

 

11 years ago

TheCitizen

Dar, Mombasa in Inter-city Cup opener

Hosts Dar es Salaam will launch their East and Central Africa Inter-City Basketball Championship campaign against Mombasa at the National Indoor Stadium tomorrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani