Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHC kushindanisha Dar, Arusha, Nairobi na Mombasa

>Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), lipo mbioni kutekeleza mpango wake wa kujenga miji midogo inayojitegemea ndani ya miji ya sasa ikiwamo Arusha na Dar es Salaam, itakayokuwa na hadhi na iliyojitosheleza ikishindana na miji ya Mombasa na Nairobi nchini Kenya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24

Wakaazi wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika kipindi cha wiki mbili zijazo kuanzia saa moja usiku wa Jumatano Mei 6, 2020.

Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.

Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS KENYATTA ATANGAZA MARUFUKU YA KUTEMBEA MJINI NAIROBI, KILIFI, KWALE MOMBASA

   Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza marufuku ya kuingia na kutoka katika kaunti za Nairobi, Kilifi, kwale Mombasa huku idadi ya maambukizi ya virusi vya corona ikiongezeka kwa visa 16 zaidi.

Idadi ya watu walioambukizwa nchini Kenya sasa imefikia jumla ya watu 158 huku vifo vikiwa ni 6. Kulingana na rais Kenyatta watu 4277 wamefanyiwa vipimo vya virusi vya corona.

Bwana Kenyatta pia amewaagiza Wakenya wote kuvaa barakoa katika maeneo yote ya umma, na kuepuka maeneo yenye mikusanyiko ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24

Wakaazi wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika kipindi cha wiki mbili zijazo kuanzia saa moja usiku wa Jumatano Mei 6, 2020.

 

5 years ago

CCM Blog

MITAA YA NAIROBI , MOMBASA KINARA KWA CORONA YAPIGWA STOP KUTOTOKA NJE SAA 24


Wakaazi wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika kipindi cha wiki mbili zijazo kuanzia saa moja usiku wa Jumatano Mei 6, 2020.
Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.
Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Rais Kenyatta atangaza ametangaza marufuku ya kutotembea mjini Nairobi, Kilifi, kwale Mombasa

Raia wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza marufuku ya kutoingia poingia na kutoka katika kaunti za Nairobi, Kilifi, kwale Mombasa huku idadi ya maambukizi ya virusi vya corona ikiongezeka kwa visa 16 zaidi

 

9 years ago

Vijimambo

NHC YAZIDI KUPANUA MIRADI, PINDA AZINDUA JENGO LINGINE LA MAKAZI NHC PALACE ENEO LA VICTORIA JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki (wapili kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Nyumba (NHC), Nehemia Mchechu baada ya kuweka jiwe la Msingi la Jengo la makazi na Biashara la NHC Place linalojengwa katika eneo la Victoria jijini Dar es slaam Oktoba 20, 2015Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua pazia kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengoa makazi na biashara la Cictoria Place linalojengwa na NHC katika eneo...

 

10 years ago

TheCitizen

Arusha to get 2 new towns: NHC

>The National Housing Corporation (NHC) plans to construct two satellite towns on the outskirts of Arusha, the Regional Consultative Committee (RCC) meeting was told here on Wednesday. The NHC regional manager for Arusha, Mr James Kisarika, named the sites as Usa River Satellite City to be put up on the southern fringes of the city and Safari Satellite City to be built at Mateves.

 

11 years ago

Daily News

NHC plans satellite city in Arusha


Daily News
NHC plans satellite city in Arusha
Daily News
THE National Housing Corporation (NHC) is about to convert one of the largest horticultural estates in Arusha Region into a modern satellite city. The new structures will give location a breath-taking skyline. The Director General for NHC, Mr Nehemia ...
NHC to build more houses in the inner-cityWINN FM

all 2

 

10 years ago

Mwananchi

NHC Arusha kujenga nyumba 4,500

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa Arusha, litajenga nyumba za kisasa 4,500.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani