NHC kushindanisha Dar, Arusha, Nairobi na Mombasa
>Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), lipo mbioni kutekeleza mpango wake wa kujenga miji midogo inayojitegemea ndani ya miji ya sasa ikiwamo Arusha na Dar es Salaam, itakayokuwa na hadhi na iliyojitosheleza ikishindana na miji ya Mombasa na Nairobi nchini Kenya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24
![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s640/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.
Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n3tOJoho1G0/Xosw1vsai_I/AAAAAAAA_Ac/bd6sU9xoHK0AQWjn1OH8WbkuRZVAkV-wACNcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
RAIS KENYATTA ATANGAZA MARUFUKU YA KUTEMBEA MJINI NAIROBI, KILIFI, KWALE MOMBASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n3tOJoho1G0/Xosw1vsai_I/AAAAAAAA_Ac/bd6sU9xoHK0AQWjn1OH8WbkuRZVAkV-wACNcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
Idadi ya watu walioambukizwa nchini Kenya sasa imefikia jumla ya watu 158 huku vifo vikiwa ni 6. Kulingana na rais Kenyatta watu 4277 wamefanyiwa vipimo vya virusi vya corona.
Bwana Kenyatta pia amewaagiza Wakenya wote kuvaa barakoa katika maeneo yote ya umma, na kuepuka maeneo yenye mikusanyiko ya...
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona:Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24
Wakaazi wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika kipindi cha wiki mbili zijazo kuanzia saa moja usiku wa Jumatano Mei 6, 2020.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
MITAA YA NAIROBI , MOMBASA KINARA KWA CORONA YAPIGWA STOP KUTOTOKA NJE SAA 24
![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s400/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.
Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Rais Kenyatta atangaza ametangaza marufuku ya kutotembea mjini Nairobi, Kilifi, kwale Mombasa
Raia wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza marufuku ya kutoingia poingia na kutoka katika kaunti za Nairobi, Kilifi, kwale Mombasa huku idadi ya maambukizi ya virusi vya corona ikiongezeka kwa visa 16 zaidi
9 years ago
VijimamboNHC YAZIDI KUPANUA MIRADI, PINDA AZINDUA JENGO LINGINE LA MAKAZI NHC PALACE ENEO LA VICTORIA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
TheCitizen09 Jan
Arusha to get 2 new towns: NHC
>The National Housing Corporation (NHC) plans to construct two satellite towns on the outskirts of Arusha, the Regional Consultative Committee (RCC) meeting was told here on Wednesday. The NHC regional manager for Arusha, Mr James Kisarika, named the sites as Usa River Satellite City to be put up on the southern fringes of the city and Safari Satellite City to be built at Mateves.
11 years ago
Daily News07 Feb
NHC plans satellite city in Arusha
Daily News
Daily News
THE National Housing Corporation (NHC) is about to convert one of the largest horticultural estates in Arusha Region into a modern satellite city. The new structures will give location a breath-taking skyline. The Director General for NHC, Mr Nehemia ...
NHC to build more houses in the inner-cityWINN FM
all 2
10 years ago
Mwananchi12 Jan
NHC Arusha kujenga nyumba 4,500
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa Arusha, litajenga nyumba za kisasa 4,500.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania