Dar, Moro watu 262 wana kipindupindu
WATU nane wamethibitishwa kufariki kwa ugonjwa wa kipindupindu na wengine 262 wameambukizwa maradhi hayo katika mkoa wa Dar es Salaam na Morogoro. Waziri wa Afya na Usatwi wa Jamii, Dk Seif Rashid akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa maradhi ya ugonjwa huo uliozuka hivi karibuni alisema hadi kufikia jana, kwa mkoa wa Dar es Salaam, watu saba wamefariki na wengine wapatao 230 tayari wameambukizwa ugonjwa huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Watu 34 hoi kwa kipindupindu Dar
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
UGONJWA wa kipindupindu umezidi kushika kasi mkoani Dar es Salaam, baada ya idadi ya wagonjwa kuongezeka kutoka 27 hadi 34.
Akizungumza na MTANZANIA mjini Dar es Salaama jana, Mratibu wa Huduma za Dharura, Mkoa wa Dar es Salaam, Victoria Bura alisema kumekuwapo na ongezeko la ugonjwa huo katika Wilaya ya Kinondoni.
Alitaja maeneo yaliyoathirika na ugonjwa huo kuwa ni Kijitonyama, Makumbusho, Saranga, Manzese, Tandale, Kimara na Mwananyamala.
Kwa mujibu wa Bura,...
9 years ago
Habarileo30 Aug
Moro wajipanga kudhibiti kipindupindu
MKUU wa mkoa wa Morogoro (RC), Dk Rajab Rutengwe, amewataka watendaji wa kata na mitaa katika halmashauri za mkoa huo kuhakikisha kila mmoja anawajibika ipasavyo kusimamia suala la usafi wa mazingira na kuzuia uuzaji holela wa vyakula na matunda.
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Kipindupindu chaingia Moro, Shinyanga, mmoja afariki
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Mlipuko wa kipindupindu waua watu 3 TZ
9 years ago
Habarileo10 Dec
Watu milioni 10 kuelimishwa kipindupindu
WATANZANIA zaidi ya milioni 10 wanaotumia mitandao ya simu nchini, wanatarajia kunufaika kupata elimu kuhusu ugonjwa wa kipindupindu.
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Kipindupindu chawaua watu 29 Sudan Kusini
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Watu 19 wafariki dunia kwa kipindupindu
Na Benjamin Masese, Mwanza
SERIKALI imesema watu 631 mkoani Mwanza wameugua ugonjwa wa kipindupindu kati ya Januari hadi Desemba 15, mwaka huu ambapo kati yao 19 wamefariki dunia.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo wakati akizungumza na madiwani pamoja watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu wiki iliyopita.
Wakati Mulongo akitoa takwimu hizo, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Dk. Lwakyendera Onesmo aliliambia MTANZNAIA jana kwamba wagonjwa wapya wameendelea...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QN27tZAGe5k/VoFbmDEOdQI/AAAAAAAIPDE/rVVjl0Qc4D4/s72-c/IMG_9430.jpg)
WATU 196 WAMEFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA KIPINDUPINDU
![](http://1.bp.blogspot.com/-QN27tZAGe5k/VoFbmDEOdQI/AAAAAAAIPDE/rVVjl0Qc4D4/s640/IMG_9430.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l5LDq8w8Dr4/VoFdsB8D0OI/AAAAAAAIPD4/cBQfqujfTHY/s640/IMG_9436.jpg)
Na Zainabu Hamis wa Globu ya Jamii.JUMLA ya...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Watu 27 waripotiwa kuwa na ugonjwa Kipindupindu jijini Arusha
Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu.
Mahmoud Ahmad Arusha
Jumla ya watu 27 waliripotiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa kipindupindu huku kati yao 6 walithibitishwa kuwa na ugonjwa wa kipindupindu. Na watano wamelazwa katika kituo cha Afya Levolosi.
Akizungumza na wanahabari ofisini kwake Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu aliwataka wakazi wa jiji la Arusha kufuata kanuni za ugonjwa huo na kuwa waepuke kula vyakula sehemu zisizofaa.
Nkurlu alisema kuwa kwa zaidi ya miezi miwili sasa...