Dar yazingirwa na mafuriko
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha watu waliopoteza maisha kwa kufariki dunia kufikia saba, huku nyumba zaidi ya 200 zikiwa zimezingirwa na maji katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa katika maeneo ya Buguruni Kwa Mnyamani baadhi ya nyumba bado zimengirwa na maji na kusababisha wananchi wanaoishi kwenye maeneo hayo kuhama kwa muda.
Akizungumza na MTANZANIA jana, mkazi wa Buguruni...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 May
Mafuriko ni vilio Dar
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
WATU wanane wamefariki dunia kutokana na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam.
Akitoa taarifa ya vifo hivyo Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema watu watano wametambuliwa na wengine watatu bado hawajatambulika na miili yao imehifadhiwa katika ya Hospitali ya Mwananyamala.
Alisema Mei 6 mwaka huu, saa moja usiku maeneo ya Magomeni wilayani Kinondoni, mkazi wa Manzese, Shabani Idd...
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mafuriko yatikisa Dar
MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha uharibufu wa miundombinu ya barabara, nguzo za umeme na mingine kuharibika, hali iliyokwamisha shughuli nyingi jana. Mvua hizo zilizonyesha usiku mzima wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxVgqsSV7P5IrluaFX21yVTCYC9F3yx7QlfTn7K*6okxOfZ3mPL4m5mEUlUg7EOfsLZYueE3c51SnIIWmfuXzBTl/mafuriko.jpg?width=650)
MAFURIKO JIJINI DAR
11 years ago
Habarileo16 Apr
Mafuriko Dar yaua 41
MAFURIKO yaliyotokea Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki yamesababisha vifo vya watu 41.
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Waliokufa mafuriko Dar watajwa
POLISI jijini Dar es Salaam imewataja watu 10 waliokufa kutokana na mafuruko yaliyotokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi...
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Nyumba za mafuriko kuvunjwa Dar
Jonas Mushi na Tunu Nassoro, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete ameamuru kubomolewa baadhi ya nyumba zilizojengwa juu ya karavati lililoziba na kusababisha maji kujaa kwenye nyumba za wakazi wa Buguruni kwa Mnyamani, Ilala Dar es Salaam.
Akihutubia wananchi wa eneo hilo jana, Rais Kikwete alisema nyumba hizo zitabomolewa pamoja na karavati hilo kupisha maji kupita na kulijenga upya.
“Kwa sasa tunaendelea kuvuta maji yaliyojaa kwenye makazi ya watu kwa kutumia pampu lakini baadaye itabidi...
10 years ago
GPLMVUA ZALETA MAFURIKO DAR
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Mafuriko yalivyoleta maafa Dar
MVUA zilizonyesha kwa siku tatu mfululizo katika Jiji la Dar es Salaam, zimesababisha maafa makubwa ya kupoteza maisha ya watu, kukatika kwa madaraja, mali kuharibika pamoja na uharibifu mkubwa wa...
10 years ago
Mtanzania13 May
JK ajionea adha ya mafuriko Dar
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete jana alitembelea maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam ambayo yameathirika na mafuriko kutokana na mvua inayoendelea kunyesha.
Ziara hiyo ilianzia katika daraja linalotenganisha Mbagala Kuu na Mtoni Kijichi katika Wilaya ya Temeke na kumalizia katika Daraja la Jangwani katika Wilaya ya Ilala.
Rais Kikwete baada ya kuona daraja linalotenganisha Mbagala Kuu na Mtoni Kijichi, alitoa agizo kwa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ) kuweka...