Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliokufa mafuriko Dar watajwa

POLISI jijini Dar es Salaam imewataja watu 10 waliokufa kutokana na mafuruko yaliyotokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Waliokufa mafuriko ya Dar wafikia 12

Mmoja wa waathirika wa mafuriko eneo la Jangwani, Dar es Salaam akiandaa chakula cha mchana katika makazi ya muda ndani ya Kituo cha Mabasi yaendayo kasi cha Jangwani, jijini jana. (Picha na Fadhili Akida).MIILI zaidi ya watu waliokufa katika mafuriko ya mvua inayoendelea kunyesha Dar es Salaam, imeongezeka na kufikia 12 akiwemo mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kigogo mwenye umri wa miaka 13.

 

10 years ago

Mtanzania

Waliokufa kwa mafuriko Dar wafikia 12

KOVAAsifiwe George na Mgeni Shabani (EWTC)Dar es Salaam
IDADI ya watu waliofariki dunia kutokana na athari za mvua na mafuriko Dar es Salaam imeongezeka kutoka wanane na kufikia 12.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema jana kuwa kati ya watu hao mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 35-38, mwili wake ulipoolewa baada ya kuzama kwenye tope katika mto Msimbazi, Magomeni.
Alisema mwili huo wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Taifa...

 

9 years ago

Habarileo

Watanzania wanne waliokufa watajwa

WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imethibitisha kutokea kwa vifo vya mahujaji Watanzania wanne, waliokufa wakati wakishiriki ibada ya Hijja, iliyofanyika Makka, Saudi Arabia juzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Waliokufa mafuriko Kyela wafikia saba

>Mvua zinazoendelea kunyesha katika Wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya zimesababisha vifo vya watu saba na kuathiri kaya 3,983 zenye zaidi ya watu 18,976 idadi ambayo imetajwa kuwa ni kubwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waliofariki dunia ajalini Dar watajwa

JESHI la Polisi Mkoa wa Kinondoni  jijini Dar es Salaam, limetaja majina ya watu sita walifariki dunia katika ajali mbaya ya daladala yenye namba za usajili T 337 BEF, iliyotokea juzi eneo...

 

10 years ago

CloudsFM

Makamu wa rais, Dk. Bilal ahudhuria mazishi ya ndugu sita waliokufa kwa ajali ya moto Dar.

MAKAMU wa Rais, Dk. Gharib Bilal leo amewaongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam katika mazishi ya watu sita wa familia moja waliofariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea wiki iliyopita huko Kipunguni jijini Dar es Salaam.Mazishi hayo yamefanyika leo katika makaburi ya Airwing, Keko jijini Dar e s Salaam huku yakiuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama na serikali, taasisi na makampuni binafsi.Akizungumza kwa huzuni wakati akiwapa pole ndugu, majirani, marafiki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafuriko yatikisa Dar

MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha uharibufu wa miundombinu ya barabara, nguzo za umeme na mingine kuharibika, hali iliyokwamisha shughuli nyingi jana. Mvua hizo zilizonyesha usiku mzima wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mafuriko ni vilio Dar

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam

WATU wanane wamefariki dunia kutokana na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam.

Akitoa taarifa ya vifo hivyo Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema watu watano wametambuliwa na wengine watatu bado hawajatambulika na miili yao imehifadhiwa katika ya Hospitali ya Mwananyamala.
Alisema Mei 6 mwaka huu, saa moja usiku maeneo ya Magomeni wilayani Kinondoni, mkazi wa Manzese, Shabani Idd...

 

11 years ago

Habarileo

Mafuriko Dar yaua 41

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck SadikiMAFURIKO yaliyotokea Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki yamesababisha vifo vya watu 41.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani