DARAJA LASOMBWA NA MVUA RUVUMA
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akiwa katika daraja la Chimate ambalo mbao zake zimeoza na kupelekea kuhatalisha usalama kwa watumiaji wa daraja hilo katika Wialaya ya Nyasa, ambapo alitoa agizo kwa Meneja wa TANROADS mkoani humo kubadili mbao. Pichani aliyesimama katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu akiwa katika daraja la kijiji cha Mbui ambacho daraja la mto Ng’ombo limesombwa na maji...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Mar
DARAJA LASOMBWA NA MAFURIKO MKOANI RUVUMA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qd-hbpx4KZs51284q73vUn3w*LcaGDPonP9bEhiLtltPqzKS3BZj7X1oRiqxJh1foN4UkOlK*9x2xvyfSj60vVM/13.gif)
DARAJA LA DUMILA LASOMBWA NA MAJI
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Mvua yasomba Daraja Igunga
DARAJA lililopo barabara ya kutoka Igunga mjini kwenda Mwanzugi limesombwa na maji baada ya mvua kubwa kunyesha usiku wa kuamkia jana wilayani Igunga, Tabora. Wakizungumza na waandishi wa habari katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP5-YNfyxjV6i8TEVuv6uIpftHwIar--WHsHX5Ieyh8FyJmmGDLrO1jKdq23wjNvSJq0JCd5c53w2lUnopCfGG6P/IMG20150507WA0018.jpg?width=650)
MVUA ZILIVYOATHIRI DARAJA LA KIVULE, DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avgxeqoQmeC9jVOYH5cy-oWQSpS0yWtH2FZzyQLw7NZVlJskL5hfploayL66q2-N2cfF8HnHTGa0GzjR427OBx8/1397365455133.jpg?width=650)
MAGARI YAKWAMA DARAJA LA RUVU KUTOKANA NA MVUA KUBWA ZINAZONYESHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf1xpqHx*EtBjJ-dZcjRjVOQlYkGUR9LNcMtqoXOYv1IigYha3CLMvgzPOKUFhRUvNTpFc-Jiwmsks8m3iegCKoG/6DARAJADUMILA5.jpg?width=650)
TASWIRA ZA DARAJA LA DUMILA LILIOHARIBIKA KUTOKANA NA MVUA KUBWA ILIYONYESHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asyFi50DvRmnlZin6PjRdj6lslnSnOLjALPWFf2rlz6q6QmQ6fTDe77nXHCW909MDu4uZKWS0Nr4WlV9hpGGw4h/mvuaku9.jpg)
MAAFA YA MVUA DAR: DARAJA LA MBAGALA-KONGOWE NALO LAKATIKA
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFUNGUA DARAJA LA RUHEKEI LINALOUNGANISHA WILAYA YA MBINGA NA WILAYA YA NYASA MKOANI RUVUMA
9 years ago
StarTV19 Dec
Wakazi Tabora waomba kujengewa daraja Mto Mpyagula ili kuepusha vifo msimu wa mvua
Watu watatu hadi watano hufa maji kila mwaka katika kipindi cha msimu wa mvua kutokana na kukosekana kwa daraja kwenye Mto Mpyagula ambao huwaunganisha wakazi wa wilaya mbili za mkoa wa Tabora.
Kutokana na kupoteza maisha ya watu hao msimu wa mvua, wakazi wa vijiji vya Miswaki wilayani Uyui na Buhekela wilayani Igunga mkoani Tabora wameomba ujenzi wa daraja hilo kwa viongozi wa Serikali.
Wananchi hao wamesema Mto Mpyagula ambao hutenganisha vijiji vya wilaya ya Uyui na vijiji vya wilaya ya...