Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAVIS CUP Andy Murray ajivunia ubingwa.

Kwa upande wa mchezo wa Tennis ,mchezaji Andy Mare ameweka bayana furaha yake ya kuiwezesha England kutwaa kombe la Davis Cup baada ya miaka 79 kulisotea bila mafanikio.

 

Mare aliyefunga pointi 11 katika mchezo huo unaokutanisha bnaadhi ya Mataifa ya Ulaya amekiri ubingwa huo haukuja kirahisi hasa kutokana na upinzani waliokutana nao na kuweza kusimama imara.

 

Amesema katika mchezo wa fainali kabla ya kuwasambaratisha Ubelgiji kwa seti 3-1 walilazimika kutumia uzoefu wao katika michuano...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Andy Murray awa bingwa wa Davis Cup

2EE7DD0E00000578-0-image-a-11_1448830120125

Mcheza tennis bora kutoka Uingereza, Andy Murray amechukua ubingwa wa michuano ya Davis Cup ya mchezaji mmoja mmoja.

2EE8263200000578-0-image-a-8_1448830099611

Timu ya Uingereza imetwaa taji hilo kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1936 baada ya Murray kumshinda Mbelgiji David Goffin

2EE83FAF00000578-0-image-a-10_1448830113261

Murray alimshinda mpinzani wake kwa jumla ya seti 6-3 7-5 6-3 na kumfanya Goffin kupoteza kwa jumla ya 3-1. Nyota huyo amejiongezea historia nzuri baada ya kuwa ametwaa mataji ya michuano ya Wimbledon, michuano ya wazi ya US Open na ile ya michezo ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Murray achukua ubingwa wa Davis Cup

76_muz_1539494aLONDON, ENGLAND

NYOTA wa mchezo wa tenisi nchini Uingereza, Andy Murray, amefanikiwa kulipa taifa lake ubingwa wa michuano ya Davis Cup katika mchezaji mmoja mmoja.

Timu ya Uingereza imetwaa taji hilo kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1936, huku Murray akifanikiwa kumshinda mpinzani wake raia wa Ubelgiji, David Goffin.

Murray alimshinda mapinzani huyo kwa jumla ya seti 6-3, 7-5, 6-3 na kumfanya Goffin kupoteza kwa jumla ya seti 3-1.

Murray amejiongezea historia kubwa baada ya kutwaa mataji ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Murray bingwa Davis Cup

Mcheza tenesi bora wa Uingereza Andy Murray amelipa taifa lake ubingwa wa michuano ya tenesi ya Davis Cup

 

9 years ago

BBCSwahili

Andy Murry tayari kwa Davis Cup.

Timu ya Taifa ya Uingereza ya Tenis, imewasili nchini Ubegiji kwa mchezo wa fainali ya Davis Cup utakaopigwa ijumaa nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Andy Murray nje US Open

Mcheza Tenisi Andy Murray ameyaaga mashindano ya US Open baada ya kuchapwa na Kevin Anderson wa Afrika ya kusini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Andy Murray atwaa kikombe

Nyota namba tatu kwa ubora wa mchezo wa tenesi muingereza Andy Murray ametwaa ubingwa wa michuano ya Rogers

 

10 years ago

GPL

ANDY MURRAY AONDOLEWA US OPEN

Mserbia Novak Djokovic baada ya ushindi dhidi ya Murray. Andy Murray wakati wa mpambano huo.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Andy Murray ambwaga Grigor Dimitrov

Mcheza Tennis maarufu wa Uingereza Andy Murray amembwaga Grigor Dimitrov kufuzu mashindano ya Australia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Andy Murray mshindi wa BBC tennis

Andy Murray ameibuka kuwa mshindi katika kura za kusaka mchezaji bora wa Tennis katika shindano lililoandaliwa na BBC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani