DAWASCO YAZINDUA RASMI KAMPENI YA “MAMA TUA NDOA KICHWANI”
![](http://4.bp.blogspot.com/-ubZMmQ9S5VA/VhQ2Pu8EQnI/AAAAAAAH9XM/lF84WPWX6dM/s72-c/download.jpg)
SIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO) limezindua rasmi kampeni yake mpya inayojulikana kama “MAMA TUA NDOO KICHWANI” kampeni ambayo ni endelevu inayolenga kuboresha huduma ya Maji safi na salama maeneo yote ya jiji la Dar es salaam, pamoja na miji yote ya Kibaha na Bagamoyo mkoani Pwani, huku ikimhakikishia mwanamke kumpunguzia adha ya kutafuta Maji kutoka umbali mrefu.
Akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni hiyo, Afisa mtendaji mkuu wa Dawaso, Mhandisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2hMokAyeTKk/VlrO9qy1JNI/AAAAAAAAUcI/gCMCHR1a5fk/s72-c/1.jpg)
HAPA KAZI TU†YAWAWEKA SAWA WAFANYAKAZI WA DAWASCO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2hMokAyeTKk/VlrO9qy1JNI/AAAAAAAAUcI/gCMCHR1a5fk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1aqeBzC4fqI/VlrO9vVXe1I/AAAAAAAAUb8/TtG8dyIHtDo/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0FSXfLebRfY/VlrO9ivS2TI/AAAAAAAAUcA/gLGsismftXI/s640/3.jpg)
Na Dotto MwaibaleUle usemi maaarufu wa "Hapa kazi tu"unaendelea kuimbwa na kufanyiwa kazi na Watanzazia wengi hususani watumishi wa Umma na serikali ili kuendana na kasi ya awamu...
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
CCM yazindua rasmi kampeni ya kugombea Urais Zanzibar
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Mgombea wa Rais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho tawala Dkt. Ali Mohamed Shein wakionesha ilanui ya Uchaguzi ya CCM jana wakati wa uzinduzi wa kampeni za Urais mbele ya umati mkubwa sana katika uwanja wa Kibandamaiti mjini Unguja.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Imlsy_d3ld8/VfWrYk8vYAI/AAAAAAAH4YY/lbA8VKFIMgE/s72-c/znz2.jpg)
CCM YAZINDUA RASMI KAMPENI YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR MJINI UNGUJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Imlsy_d3ld8/VfWrYk8vYAI/AAAAAAAH4YY/lbA8VKFIMgE/s640/znz2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M1RusTTm6BA/VfWsORA3BnI/AAAAAAAH4Yg/lhOPytudqnU/s640/znz3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oQLJeGcPtWE/XvR4M3-A77I/AAAAAAALvWU/f80IKCGMHngTFVqdY9GQFJSPQObs-y3IgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B1.05.15%2BPM.jpeg)
BUWASA YAENDELEZA UTEKELEZAJI WA KUMTUA MAMA NDOO KICHWANI
Uzinduzi wa Vilula hivyo venye thamani ya shilingi Bilioni 2.4 ikiwa ni mwendelezo wa usambazaji wa mtandao wa Maji katika maeneo ya Kata Nne zilizosalia...
9 years ago
MichuziDAWASCO SACCOS YAZINDULIWA RASMI
Akiongea na wafanyakazi katika uzinduzi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasco Mhandisi Cyprian Luhemeja amewahimiza wafanyakazi kuitumia Saccos hiyo kujikomboa kiuchumi na kuondokana na utozwaji mkubwa wa riba kutoka kwa baadhi ya taasisi za fedha, hali inayowaumiza...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-G9aMdL_mOX0/U3OqANhOmBI/AAAAAAAFhvw/Rd2hh8kpThQ/s72-c/New+Picture+(8).png)
DAWASCO ISIYO RASMI YABAMBWA HUKO KIMARA
Hayo yameelezwa na Afisa Uhusiano wa DAWASCO Bi, Everlasting Lyaro wakati wa operesheni maalumu inayoendelea ya kuwabaini na kuwakamata wananchi wanaojihusisha na vitendo vya uhujumu wa shirika hilo. Alisema katika zoezi hilo maalum jumla ya watu na vifaa mbalimbali vilivyokuwa vinatumika...
9 years ago
Michuzi23 Aug
KAMPENI ZA URAIS ZAANZA RASMI, TUME YATOA RATIBA ZA MAENEO NA MUDA WA KAMPENI
Tume ya Taifa ya uchaguzi inakutana na Kamati Maalumu inayo undwa na wajumbe kutoka vyama nane vilivyo na wagombea wa urais na makamo kuandaa Ratiba ya mikutano ya hadhara kurahisisha kubaini vyama vilivyopanga mkutano mmoja katika mkoa mmoja, wilaya moja, na Eneo moja kwa Tarehe mojaMkurugenzi wa NEC Kailima Ramadhani amesema anafarijika sana na ushirikiano wanaouonyesha Wawakilishi Wa vyama katika kuhakikisha mchakato kuwa wa Amani na utulivu bila kujali itikadi za vyama vyao kikao...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RP1XXIwtUrQ/VdgEXxAGOEI/AAAAAAAAUBU/KWO8jXT-Xdc/s72-c/DSCF6873%2B%25281280x960%2529.jpg)
OFISA MTENDAJI MKUU DAWASCO,MHANDISI CYPRIAN LUHEMEJA AAGA RASMI MUWSA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-RP1XXIwtUrQ/VdgEXxAGOEI/AAAAAAAAUBU/KWO8jXT-Xdc/s640/DSCF6873%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-B_VhbGj3oYc/VdgEGnHmmII/AAAAAAAAUAc/MF2G699IdSE/s640/DSCF6862%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UyYgrmOk2lI/VdgERQWPBGI/AAAAAAAAUBE/VzY-AnVLGaY/s640/DSCF6867%2B%25281280x960%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NsQ_l5mt9o0/VfWQPvmyoQI/AAAAAAAAzAw/AWfaTLY_G48/s72-c/1.jpg)
MAMA SAMIA, NAPE NA MAMA SALMA KIKWETE WAITIKISA LINDI MKUTANO WA KAMPENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-NsQ_l5mt9o0/VfWQPvmyoQI/AAAAAAAAzAw/AWfaTLY_G48/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0U3pcgc34Sk/VfWQP_Do12I/AAAAAAAAzA0/Etsz5_Zs9H0/s640/2.jpg)