Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC aliyepania kuwakomboa vijana

Hakika cheo ni dhamana, hivyo ni muhimu kwa wenye dhamana hiyo kujitambua na kuonyesha wanavyoweza kubeba dhamana hiyo kwa jamii husika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WIZARA INAYOSIMAMIA VIJANA NA HARAKATI ZA KUWAKOMBOA VIJANA WA RUNGWE

Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa wa pili kushoto akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Eng. Harold D. Sawaki katikati walipofika Wilaya ya Rungwe jana kutoa elimu ya ujasiriamali kwa vijana wa Wilaya hiyo. Kulia ni Afisa Maendeleo ya Jamii Bw. Ason Nzowa, wa pili kulia ni Afisa Michezo na Vijana Mkoa wa Mbeya Bw. George Mbijima na wa kwanza kushoto ni Afisa...

 

10 years ago

Vijimambo

WIZARA INAYOSIMAMIA VIJANA NA HARAKATI KUWAKOMBOA VIJANA WA RUNGWE.

1Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa wa pili kushoto akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Eng. Harold D. Sawaki katikati walipofika Wilaya ya Rungwe siku ya Jumatatu Januari 26, 2015 kutoa elimu ya ujasiriamali kwa vijana wa Wilaya hiyo. Kulia ni Afisa Maendeleo ya Jamii Bw. Ason Nzowa, wa pili kulia ni Afisa Michezo na Vijana Mkoa wa Mbeya Bw. George Mbijima na wa kwanza kushoto ni Afisa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA NBC NA ENVIROCARE KUWAKOMBOA VIJANA KUPITIA MRADI WA MAZINGIRA

Naibu Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la Envirocare, Catherine Jerome na Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Rukia Mtingwa (kulia) wakionyesha kipande cha mkaa uliotengenezwa na taka za karatasi jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, wakati wakizungumzia kampeni ya kuhamasisha utunzaji mazingira katika mtaa wa ubungo kibangu na jinsi takataka zinavyoweza kuleta fursa za kiuchumi. Kampeni hiyo imefadhiliwa na benki ya NBC.Kaimu Mkuu wa Masoko...

 

11 years ago

GPL

KAMPUNI YA VIJANA WA KITANZANIA YA (CHINA WORD BUZ) KUWAKOMBOA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA KATI‏

Meneja Mkuu wa kampuni hiyo nchini China Justin Luvanda akizungumza na waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara baada ya kwasili akitokea nchini China na ujumbe wa wafanya biashara wenzake, kushoto ni Ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya China Word Buz nchini China Bwana Cheng Wang Wu na kulia ni Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo hapa nchini Bw. Shafii Mwaijande.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Benki kuwakomboa wanawake nchini

>Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) imeweka mpango wa kuwanufaisha wajasiriamali kwa kuwapatia viwanja vilivyopimwa kisheria ili kuwawezesha kukopesheka kirahisi.

 

11 years ago

GPL

ZANZIBALICIOUS KUWAKOMBOA WANAWAKE‏

Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe akisaini kitabu cha wageni cha Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious kwenye sherehe za uzinduzi wa Umoja huo zilizofanyika mwishoni mwa juma kwenye Hoteli ya Ocean View Beach Resort mjini Unguja.(Picha zote na Zainul Mzige).
Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious Bi. Evelyne Wilson (wa pili kushoto) akitoa maelezo ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NSSF yapongezwa kuwakomboa wajasiriamali

BALOZI wa Tanzania nchini Kenya, Dk. Batilda Buriani, amelipongeza Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kwa harakati chanya za kuwakomboa wajasiriamali wakubwa na wadogo walio katika nchi wanachama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shell Advance yaja kuwakomboa ‘bodaboda’

KAMPUNI ya Mek-one General Traders kwa kushirikiana na Shell and Vivo Lubricants ya Kenya, imetambulisha mafuta ya ‘Shell Advance’ ambayo yatawasaidia waendesha   pikipiki hususani za kusafirisha abiria (bodaboda) kuzifanya zidumu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani