NSSF yapongezwa kuwakomboa wajasiriamali
BALOZI wa Tanzania nchini Kenya, Dk. Batilda Buriani, amelipongeza Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kwa harakati chanya za kuwakomboa wajasiriamali wakubwa na wadogo walio katika nchi wanachama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Dec
NSSF yapongezwa kuwawezesha wajasiriamali
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
NMB yapongezwa kukopesha wajasiriamali
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ameisifia Benki ya NMB kwa kukopesha wajasiriamali na kuwataka waendeele kutoa mikopo ili kukomboa sekta ya biashara nchini. Pinda alitoa kauli hiyo juzi alipotembelea banda la...
11 years ago
Michuzi13 Apr
NSSF yapongezwa kwa kuviunganisha Vyombo vya Habari nchini katika michezo
Dk. Mukangala ametoa kauli hiyo leo jijini Dar es Salaam katika hotuba yake iliyosomwa na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia kwa niaba ya waziri, alipokuwa akifunga rasmi Mashindani ya 11 ya NSSF yanayoshirikisha vyombo vya habari anuai...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dDxkSD_hD1Y/Vl8WE1Nk-fI/AAAAAAABlHg/S9RZnsYtdNc/s72-c/magori-1.jpg)
NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA WAJASIRIAMALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-dDxkSD_hD1Y/Vl8WE1Nk-fI/AAAAAAABlHg/S9RZnsYtdNc/s640/magori-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XU1qO1MvV30/Vl8WhXS2RNI/AAAAAAABlHo/hMwQ6FI-_gE/s640/nssf%2B1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
NSSF kuwafikia wajasiriamali milioni 22
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), limepanga kuwafikia wajasiriamali zaidi ya milioni 22 walio katika sekta isiyo rasmi, ili wajiunge na mfuko huo. Meneja wa Mafao wa shirika...
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Wajasiriamali 6,000 wasotea mikopo NSSF
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0s8imadW9h8/VAEPtdBUVcI/AAAAAAABHbI/2BP5cghsBJc/s72-c/Blog%2B6.jpg)
NSSF YASHIRIKI MAONYESHO YA WAJASIRIAMALI KANDA YA KATI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0s8imadW9h8/VAEPtdBUVcI/AAAAAAABHbI/2BP5cghsBJc/s1600/Blog%2B6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6pe3_YAb758/VAEPdZ83b2I/AAAAAAABHak/rgYhwFhzggs/s1600/Blog%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DDTqDpleojU/VAEPdBhAY6I/AAAAAAABHao/BgTPhBuUxzI/s1600/Blog%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fnu5i-6ikLU/VAEPdUlTH0I/AAAAAAABHag/Rjd7rMXU0IQ/s1600/Blog%2B3.jpg)
11 years ago
MichuziNSSF KUWAFIKIA WAJASIRIAMALI WAPYA MILIONI 22 WA SEKTA BINAFSI
Akichangia mada katika semina hiyo, Oigo alisema kuwa NSSF inatoa mafao ya muda mrefu...
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
NSSF, Singida yatumia Bilioni 1.52 kukopesha vikundi sita vya wajasiriamali
Meneja wa shirika na hifadhi ya jamii NSSF, Magreth Mwaipeta akizungumza na wanachama wa kikundi cha Aminika gold Mine Ltd cha Sambaru Wilaya ya Ikungi, Singida.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.52 kwa ajili ya kuvikopesha vyama sita vya ushirika Mkoani Singida.
Hayo yamebainishwa jana mjini hapa na Meneja wa NSSF Mkoa wa Singida, Magreth Mwaipeta wakati akizungumza kwenye semina ya uhabarisho baina ya shirika la...