Wajasiriamali 6,000 wasotea mikopo NSSF
Wajasiriamali ambao ni wanachama wa Vicoba mikoa ya Kilimanjaro na Arusha, wamelalamikia kucheleweshewa mikopo waliyoahidiwa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), tangu Mei, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV18 Dec
Zaidi ya Wajasiriamali 17,000 wajikwamua kiuchumi kupitia Mikopo ya Benki Ya Wanawake
Zaidi ya wanawake wajasiriamali 17,000 wamejikwamua kiuchumi kutokana na kupata mitaji kwa njia ya mikopo kutoka Benki ya wanawake ambayo imekuwa ikitoa mikopo ya viwango vya aina mbalimbali kusaidia wajasiriamali.
Benki hiyo ya wanawake ambayo imetimiza miaka 6 tangu kuanzishwa kwake imeweza kutengeneza faida kubwa kutokana na kuboresha huduma zake katika matawi mbalimbali nchini.
Benki ya wanawake Tanzania imekuwa miiongoni mwa Benki ambayo imekuwa mstari wa mbele kusaidia wananchi wa...
11 years ago
Mwananchi06 May
Wajasiriamali waomba mikopo nafuu
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dDxkSD_hD1Y/Vl8WE1Nk-fI/AAAAAAABlHg/S9RZnsYtdNc/s72-c/magori-1.jpg)
NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA WAJASIRIAMALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-dDxkSD_hD1Y/Vl8WE1Nk-fI/AAAAAAABlHg/S9RZnsYtdNc/s640/magori-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XU1qO1MvV30/Vl8WhXS2RNI/AAAAAAABlHo/hMwQ6FI-_gE/s640/nssf%2B1.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Dec
NSSF yapongezwa kuwawezesha wajasiriamali
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
NSSF yapongezwa kuwakomboa wajasiriamali
BALOZI wa Tanzania nchini Kenya, Dk. Batilda Buriani, amelipongeza Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kwa harakati chanya za kuwakomboa wajasiriamali wakubwa na wadogo walio katika nchi wanachama...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
NSSF kuwafikia wajasiriamali milioni 22
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), limepanga kuwafikia wajasiriamali zaidi ya milioni 22 walio katika sekta isiyo rasmi, ili wajiunge na mfuko huo. Meneja wa Mafao wa shirika...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovAdE6VzeBxgGPGwwyG8srOpdx1qJXwncCLILE108NJ5h4o3un055-IHN4qJQe4LawjSdZCOli3qEuOph1mQMF3U/21.jpg?width=750)
MIKOPO KWA WAJASIRIAMALI WA KATI NA WAFANYAKAZI
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Wajasiriamali wapigiwa debe kupata mikopo
11 years ago
Mwananchi01 May
Saccos nchini kunufaika na mikopo ya NSSF