DC.DAQARRO AHOJI KUTOMALIZWA KWA ZAHANATI YA BARAA

Mkuu wa wilaya Arusha Fabian Daqarro akipata maelezo ya ujenzi wa Zahanati ya Baraa hali iliyomlazimu kuhoji kusuasua kwa ujenzi wa Zahanati hiyo kama ilivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha.
Pichani ni Jengo la Zahanati ya Baraa iliyopo kata ya Baraa jijini Arusha
Msafara ukiwasili kwenye Zahanati ya Baraa
Sehemu ya muonekano wa Jengo lote la Zahanati ya Baraa kama lilivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha.
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqqaro amehoji kusuasua kwa ujenzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Nyerere ahoji adhabu kwa wakurugenzi wazembe
MBUNGE wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere (CHADEMA), ameihoji serikali inawachukulia hatua gani wakurugenzi walioshindwa kutenga kiasi cha asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya kuwawezesha vijana kama inavyoelekezwa....
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Mbunge ahoji fidia kwa wakazi wa Malolo
MBUNGE wa Mikumi, Abdulsalaam Ameir (CCM). ameitaka serikali kueleza lini itawalipa fidia wananchi wa Kata ya Malolo walioathiriwa mazao yao kutokana na upanuzi wa bomba la mafuta la Kampuni ya...
11 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Vodacom yamwaga vifaa Ligi Kuu BaraÂ
WADHAMINI wa Ligi Kuu Tanzania bara, Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, jana iligawa vifaa kwa timu 14 zinazoshiriki ligi hiyo itakayoanza Septemba 20, vyoye vikiwa...
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA TAKUKURU SIKONGE KUMKAMATA MGANGA MFAWIDHI WA ZAHANATI YA TUTUO KWA TUHUMA ZA MALIPO KWA KAZI HEWA YA KISIMA
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sikonge kumkamata Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Tutuo Longa Magasha na kuchunguza tuhuma za malipo ya fedha ya milioni moja kwa kazi hewa ya ukarabati wa kisima.
Alisema kiasi hicho cha fedha zilitolewa kupitia fedha ambazo Zahanati hiyo ilipata kutokana na Malipo kwa Ufanisi (RBF) kwa lengo kufanyia ukarabati wa kisima lakini haionyeshia kama kuna kazi...
5 years ago
Michuzi
Dc Daqarro awatoa hofu wamachinga kutowaondoa soko lililoungua Samunge
Akiongea na maelfu ya wafanyabiashara hao zaidi ya 5000 Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro ameigiza halmashauri ya jiji la Arusha kuhakikisha wanaharakisha kujenga miundombinu ya soko hilo ili kuwapa nafasi wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao.
Ameeleza kuwa hakuna mfanyabiashara...
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Mifuko ya saruji kujengea zahanati yaganda kwa uzembe
10 years ago
StarTV04 Nov
Zahanati ya NK mjini Kahama yafungwa kwa ukiukwaji wa kanuni za tiba.
Idara ya Afya ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga imeifunga zahanati ya NK inayomilikiwa na Wakorea pamoja na Wachina kwa kukiuka kanuni za utoaji tiba kwa kutoa dawa zilizomaliza muda wake sanjari na mazingira duni ya utunzani wa dawa.
Mapungufu hayo yamebainika wakati wa ukaguzi wa Zahanati hiyo uliofanywa na idara ya afya mjini Kahama kwa lengo la kudhibiti utoaji wa tiba za binadamu.
Halmashauriya mji wa Kahama ina vituo 34 vya kutoa huduma za afya kwa binadamu, Hospitali 2, vituo vya...
5 years ago
Michuzi
DC.DAQARRO APINGA MACHINGA KUTOZWA FEDHA SOKO LA MADINI ASEMA MAAGIZO YA RAIS YAFUATWE

Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini Gabriel Daqarro akiwa na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt.Maulid Madeni wakiongea na waandishi wa habari ofisini kwake ambapo ametaka wamachinga wasibughuziwe wa kutozwa michango ndani ya Jiji hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.

Pichani ni sehemu ya risiti zisizo za Efds ambazo wamachinga kwenye Soko la madini jijini Arusha wamekuwa wakitozwa kiasi cha tsh.300 kwa siku kupata huduma sokoni humo huku wakiwa na vitambulisho vya machinga

Mkuu wa soko la...
11 years ago
Dewji Blog14 Aug
Serikali yatakiwa kutimiza ahadi za ujenzi wa zahanati kwa kila kata
Diwani wa kata ya Ololosokwani na Mkurugenzi wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ikayo Ndoinyo akiangalia kitanda cha kujifungulia wakimama kwenye Zahanati ya Sero ambayo kwa siku inatibu wagonjwa 50 na zaidi ikiwa na daktari mmoja huku wakazi wanaofuata huduma hiyo kutoka kata hiyo na ya jirani Soitosambu kutembea umbali mrefu kwa Kilometa 7-15 kupata huduma ya afya.(Picha Zainul Mzige wa MOblog)
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro
Wakazi wa vijiji vya Ololosokwan, Soit-Sambu, Njoroi na...