Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Deni lazorotesha ufanisi Tanida

CHAMA cha wauzaji wa Pembejeo za Kilimo na Mifugo nchini, (Tanada), kimesema wanachama wake wanashindwa kutoa huduma kwa ubora na wakati kwa wateja wake kutokana na Serikali kushindwa kuwalipa deni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Benki yazindua kampeni ufanisi

Benki ya Exim imezindua kampeni maalumu maarufu kama Power of Service, inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususan utoaji huduma.

 

10 years ago

Mwananchi

Bongo Fleva ongezeni ufanisi

Kila jasho la mja hunena kwa tumaini la kujikomboa kimaisha kupitia karama aliyotunukiwa na Mungu wake. Kwa mantiki hiyo hakuna binadamu yeyote aliyezaliwa bila talanta inayoweza kuwa mbadala kabla ya kufikiri juu ya msingi wa elimu ya darasani.

 

11 years ago

Habarileo

Vifaa vyakwamisha ufanisi wa TBS

MAABARA za Shirika la Viwango Tanzania (TBS) zimeendelea kutumia vifaa vilivyopitwa na wakati kupima sampuli mbalimbali, hivyo kuchukua muda mrefu kutoa majibu.

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco isipofumuliwa tusitegemee ufanisi

Kama kuna suala ambalo limezungumziwa na Serikali kwa muda mrefu, lakini utetekelezaji wake ukabaki kwenye makabrasha, ni kufumuliwa kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ili kuleta ufanisi kwa kubadili mfumo wake na kuunda kampuni kubwa tatu zitakazojitegemea na kujenga soko huru la umeme.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kifaa chenye ufanisi katika hospitali TZ

Kifaa kinachotumika tanzania ambacho huwasaidia watoto waliozaliwa kabla ya mda wao kupumua.Ufanisi wa kifaa hicho ni sawa na vifaa vya teknolojia ya hali ya juu.

 

10 years ago

Vijimambo

TUME YA MIPANGO YAPONGEZWA KWA UFANISI

Na Adili Mhina.
Ofisi ya Rais, tume ya mipango imepongezwa kwa hatua kubwa iliyopiga katika kutekeleza majukumu mbalimbli ya kitaifa.

Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo wakati akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango lililofanyikia mjini Kibaha mwishoni mwa juma.

Mheshimiwa Ndikilo alieleza kuwa Tume ya mipango imepiga hatua kubwa katika kutekeleza majukumu yake ambayo ni pamoja na kutayarisha mpango wa taifa wa kila...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge akiri ufanisi sera za CCM

Zabein MhitaMBUNGE wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita amefagilia mipango ya serikali ya Chama Cha Mapinduzi ambayo imeleta neema kwa wananchi wake hasa ongezeko la uzalishaji katika sekta ya kilimo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TTCL yaahidi ufanisi mawasiliano vijijini

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imeahidi kutekeleza kwa ufanisi na kwa wakati zabuni iliyoshinda ya mradi wa kutoa huduma za mawasiliano vijijini. Ahadi hiyo ilitolewa na Ofisa Mkuu wa Masoko...

 

11 years ago

Habarileo

Exim waja na mradi wa kuongeza ufanisi

BENKI ya Exim imezindua kampeni maalumu ya ‘Power of Service’ inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususani katika utoaji huduma. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo jijini Dar es Salaam jana, Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Exim, Siaophoro Kishimbo alisema kampeni hiyo imeanza katika wakati muafaka huku benki ikijikita katika dhamira ya kuwa benki chaguo la kwanza nchini Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani