Deni lazorotesha ufanisi Tanida
CHAMA cha wauzaji wa Pembejeo za Kilimo na Mifugo nchini, (Tanada), kimesema wanachama wake wanashindwa kutoa huduma kwa ubora na wakati kwa wateja wake kutokana na Serikali kushindwa kuwalipa deni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Benki yazindua kampeni ufanisi
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Bongo Fleva ongezeni ufanisi
11 years ago
Habarileo27 Apr
Vifaa vyakwamisha ufanisi wa TBS
MAABARA za Shirika la Viwango Tanzania (TBS) zimeendelea kutumia vifaa vilivyopitwa na wakati kupima sampuli mbalimbali, hivyo kuchukua muda mrefu kutoa majibu.
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Tanesco isipofumuliwa tusitegemee ufanisi
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Kifaa chenye ufanisi katika hospitali TZ
10 years ago
VijimamboTUME YA MIPANGO YAPONGEZWA KWA UFANISI
Ofisi ya Rais, tume ya mipango imepongezwa kwa hatua kubwa iliyopiga katika kutekeleza majukumu mbalimbli ya kitaifa.
Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo wakati akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango lililofanyikia mjini Kibaha mwishoni mwa juma.
Mheshimiwa Ndikilo alieleza kuwa Tume ya mipango imepiga hatua kubwa katika kutekeleza majukumu yake ambayo ni pamoja na kutayarisha mpango wa taifa wa kila...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mbunge akiri ufanisi sera za CCM
MBUNGE wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita amefagilia mipango ya serikali ya Chama Cha Mapinduzi ambayo imeleta neema kwa wananchi wake hasa ongezeko la uzalishaji katika sekta ya kilimo.
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
TTCL yaahidi ufanisi mawasiliano vijijini
KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imeahidi kutekeleza kwa ufanisi na kwa wakati zabuni iliyoshinda ya mradi wa kutoa huduma za mawasiliano vijijini. Ahadi hiyo ilitolewa na Ofisa Mkuu wa Masoko...
11 years ago
Habarileo28 Jan
Exim waja na mradi wa kuongeza ufanisi
BENKI ya Exim imezindua kampeni maalumu ya ‘Power of Service’ inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususani katika utoaji huduma. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo jijini Dar es Salaam jana, Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Exim, Siaophoro Kishimbo alisema kampeni hiyo imeanza katika wakati muafaka huku benki ikijikita katika dhamira ya kuwa benki chaguo la kwanza nchini Tanzania.