Denti Chuo Kikuu auawa kwa risasi!
Marehemu Mafwiri Mfungo, enzi za uhai wake.
Stori: Gabriel Ng’osha, Dar na Gregory Nyankaira, Mara
VILIO na majonzi vilitawala nyumbani kwa mzee Mfungo Mtaengelwa wakati wa mazishi ya kijana wake, Mafwiri Mfungo, 28, aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), aliyeuawa kwa kupigwa risasi tatu kifuani na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi. Tukio hilo linalowaliza wanachuo wenzake mpaka sasa, lilijiri Desemba 15, mwaka huu, Ubungo Msewe jijini Dar es Salaam.
Jeneza lenye...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVf*H3ZekAtJMTVsfgexGIsZ5Q9Z0jZmOMgHT-Dn2kZUGi6LPqRI6bYTiyFCXmRBlo31S5NmyZvf0PuBhaMEj*zQ/dent.jpg?width=650)
DENTI AUAWA KWA RISASI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QmRFQRFpoARKMky4LsxYeDUaFD1iRdD6KHE2ex3Hros8mGYuvzHVP2XzXEkCtXLLaJtEEdGpBRxvIzstmGLpya2yYyfDVc7D/jambawazi.jpg?width=650)
ZA MWIZI 40! DENTI CHUO KIKUU ANASWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbadgzhRES*vGoqqyjs*MgmuvQH2MEi9lxhWdBldIdBWJykln4GcnJpoPbStO2r5fdNp1UMAqZ3Yis-KmX*VJrmW4/denti.jpg)
UKWELI KIFO CHA DENTI CHUO KIKUU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-M5JLAFxn1E0P8pHUMEwY4AzgkXCsnyXqgeKnRhXVIGh5pba8Zz0awLuROWB48Vud82m9ryR5XM1SUiiJCXgyI6OaJ9I--sx/denti.jpg?width=650)
MSOMI CHUO KIKUU AUAWA
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MqU1VGF_XQw/Vf1E3av-28I/AAAAAAAD7xA/L4yd3YtBLzQ/s72-c/denti%2B%25282%2529.jpg)
MSOMI CHUO KIKUU AUAWA KISA CHIPS
![](http://4.bp.blogspot.com/-MqU1VGF_XQw/Vf1E3av-28I/AAAAAAAD7xA/L4yd3YtBLzQ/s400/denti%2B%25282%2529.jpg)
Shani Ramadhani
RIP! Kijana aliyefahamika kwa jina la Shelitiael Steven Mbise, aliyekuwa akisoma Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) amefariki dunia kwa kuchomwa kisu na muuza chipsi kufuatia kutofautiana.
Kwa mujibu wa chanzo kutoka Dodoma, denti huyo alikuwa akichukua masters akiwa kwenye mwaka wake wa kwanza.
“Marehemu alikuwa amepanga chumba nje ya chuo, Mtaa wa Chako ni Chako lakini kipindi hiki chuo kimefungwa alikuwa hapa na mara nyingi alikuwa akionekana yuko bize na masomo kwani alikuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Auawa kwa kupigwa risasi
MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu, Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond. Kaimu Kamanda...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Mfanyabiashara auawa kwa risasi
MFANYABIASHARA mkazi wa Kijiji cha Katuma wilayani Mpanda, Juma Luhanga (29) ameuawa kwa kupingwa risasi katika jicho lake la kushoto na watu wawili wanaosaidkiwa kuwa majambazi akiwa dukani kwake. Kaimu Kamanda wa Polisi...