Dhoruba yalaza nje kaya 122 Kamachumu
KAYA 122 katika Kijiji cha Bulembo, Kata ya Ibuga, Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera zimekumbwa na maafa kutokana na mvua na upepo mkali ulioezua nyumba zao na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNHIF YAJA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KAYA KWA KAYA
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni
Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Kamachumu waomba kujengewa nyumba
BAADHI ya wananchi wa Kata ya Ibuga, Tarafa ya Kamachumu, wilayani Muleba, Kagera, wanaomba msaada kwa Watanzania wenzao wa kuwajengea nyumba ili waweze kujisitiri baada ya nyumba zao takriban 540...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Chama cha Msingi Kamachumu chaonyesha uthabiti wa ushirika
BAADA ya ushirika kugeuzwa mradi binafsi wa watu wanaochaguliwa au kuajiriwa na wanaushirika kwa ajili ya kuusimamia na kuuendesha hapa nchini, yameanza kujitokeza mabadiliko yanayodhihirisha kuwa wanaushirika wamechoshwa na hali...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Kamachumu wabuni mbinu kuukabili ufisadi kwenye zao la kahawa
KWA miaka mingi zao la kahawa limeshughulikiwa kupitia kwenye vyama vya ushirika. Wakulima wa zao hilo walijiunga kwenye ushirika na kuuachia kazi ya kulitafutia soko zao hilo huku ukiwalipa wakulima...
9 years ago
Habarileo25 Oct
Mtandao wapokea malalamiko1,122 ya kampeni
MTANDAO wa asasi za kiraia wa kuangalia chaguzi Tanzania (TACCEO) umesema tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi wamepokea jumla ya matukio 1,122 ikiwemo ya kampeni kupitiliza muda kisheria na matumizi ya lugha za kudhalilisha utu.
11 years ago
TheCitizen10 Apr
Why after 122 years, lakeside city is well on the way to bright future
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Kibaha yakusanya mil. 122/- kodi ya majengo
HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha, Pwani imesema hadi Juni 30, 2014 imekusanya sh milioni 122 kodi ya majengo ambayo ni sawa na asilimia 77 kati ya sh milioni 158.4 iliyotarajiwa....
10 years ago
East African Business Week22 Sep
Tanzania Revenue Agency Eyes U.S.$122 Million
East African Business Week
Dar es Salaam — Tanzania Revenue Authority (TRA) has said that it seeks to raise Tsh187 billion ($122.28 million) this month through new system dubbed Tanzania Custom Integrated System (TANCIS). TRA has reiterated that since the inception of TANCIS, ...