Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dhoruba yalaza nje kaya 122 Kamachumu

KAYA 122 katika Kijiji cha Bulembo, Kata ya Ibuga, Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera zimekumbwa na maafa kutokana na mvua na upepo mkali ulioezua nyumba zao na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NHIF YAJA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KAYA KWA KAYA

 Mwakilishi wa Kaimu Mkuruegenzi Mkuu wa NHIF, Eugen Mikongoti akifungua kikao kilichowashirikisha wenyeviti wa bodi na makatibu wa Vituo Vya Afya, Zahanati na Hospitali wa Manispaa ya Temeke juu ya mpango wa bima ya afya kwa kayo iliyofanyika leo jijni Dar es Salaam. Meneja wa Mkoa wa Temeke wa NHIF, Costantino Makala akitoa maada katika kikao hicho leo latika ukumbi wa Temeke jijini Dra es Salaam.wa katikati ni Mwakilishi wa Kaimu Mkuruegenzi Mkuu wa NHIF,Eugen Mikongoti Kushoto ni Mganga...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni

SAM_0215

Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.

SAM_0229

Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamachumu waomba kujengewa nyumba

BAADHI ya wananchi wa Kata ya Ibuga, Tarafa ya Kamachumu, wilayani Muleba, Kagera, wanaomba msaada kwa Watanzania wenzao wa  kuwajengea nyumba  ili  waweze kujisitiri  baada ya nyumba zao  takriban 540...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chama cha Msingi Kamachumu chaonyesha uthabiti wa ushirika

BAADA ya ushirika kugeuzwa mradi binafsi wa watu wanaochaguliwa au kuajiriwa na wanaushirika kwa ajili ya kuusimamia na kuuendesha hapa nchini, yameanza kujitokeza mabadiliko yanayodhihirisha kuwa wanaushirika wamechoshwa na hali...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kamachumu wabuni mbinu kuukabili ufisadi kwenye zao la kahawa

KWA miaka mingi zao la kahawa limeshughulikiwa kupitia kwenye vyama vya ushirika. Wakulima wa zao hilo walijiunga kwenye ushirika na kuuachia kazi ya kulitafutia soko zao hilo huku ukiwalipa wakulima...

 

9 years ago

Habarileo

Mtandao wapokea malalamiko1,122 ya kampeni

MTANDAO wa asasi za kiraia wa kuangalia chaguzi Tanzania (TACCEO) umesema tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi wamepokea jumla ya matukio 1,122 ikiwemo ya kampeni kupitiliza muda kisheria na matumizi ya lugha za kudhalilisha utu.

 

11 years ago

TheCitizen

Why after 122 years, lakeside city is well on the way to bright future

When German colonial agent Emin Pasha established Mwanza city on the southern shores of Lake Victoria in 1892, all he wanted was a trading centre in the western zone that would make it possible to send exports overseas.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kibaha yakusanya mil. 122/- kodi ya majengo

HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha, Pwani imesema hadi Juni 30, 2014 imekusanya sh milioni 122 kodi ya majengo ambayo ni sawa na asilimia 77 kati ya sh milioni 158.4 iliyotarajiwa....

 

10 years ago

East African Business Week

Tanzania Revenue Agency Eyes U.S.$122 Million


Tanzania Revenue Agency Eyes U.S.$122 Million
East African Business Week
Dar es Salaam — Tanzania Revenue Authority (TRA) has said that it seeks to raise Tsh187 billion ($122.28 million) this month through new system dubbed Tanzania Custom Integrated System (TANCIS). TRA has reiterated that since the inception of TANCIS, ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani