Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtandao wapokea malalamiko1,122 ya kampeni

MTANDAO wa asasi za kiraia wa kuangalia chaguzi Tanzania (TACCEO) umesema tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi wamepokea jumla ya matukio 1,122 ikiwemo ya kampeni kupitiliza muda kisheria na matumizi ya lugha za kudhalilisha utu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mtandao waeleza kasoro za kampeni

Mtandao wa Kuangalia Chaguzi Tanzania (Tacceo), umetoa ripoti kuhusu kampeni za Uchaguzi Mkuu zilizoanza Agosti 23, huku ukiweka wazi ‘madoa’ yanayozichafua.

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI YA KUELIMISHA JAMII DHIDI YA MAKOSA MTANDAO YASHIKA KASI

Kufuatia mpango kabambe wa kuelimisha jamii dhidi ya makosa mtandao tayari kumekua na video za katuni, Mchezo wa komputa “Computer gane”, majarida ya katuni pamoja na machapisho mengine yote yakiwa na lengo la kutoa elimu kwa jamii juu ya jinsi ya kujilinda dhidi ya makosa mtandao kuanzia ngazi ya mtu binafsi hadi kufikia ngazi ya kitaifa. Picha: Mfano wa Vijarida vinavyo toa elimu dhidi ya usalama mtandao. Aidha, Bwana. Yusuph Kileo ametoa wito kwa vyombo vya habari nchini kuangalia kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

#HakiKwaUwa, kampeni ya mtandao baada ya mwanafunzi kuuawa kanisani Nigeria

Kuna ghadhabu nchini Nigeria baada ya mauaji ya mwanafunzi mwenye umri wa miaka 22, Uwavera Omozuwa aliyeuawa kanisani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dhoruba yalaza nje kaya 122 Kamachumu

KAYA 122 katika Kijiji cha Bulembo, Kata ya Ibuga, Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera zimekumbwa na maafa kutokana na mvua na upepo mkali ulioezua nyumba zao na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kibaha yakusanya mil. 122/- kodi ya majengo

HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha, Pwani imesema hadi Juni 30, 2014 imekusanya sh milioni 122 kodi ya majengo ambayo ni sawa na asilimia 77 kati ya sh milioni 158.4 iliyotarajiwa....

 

11 years ago

TheCitizen

Why after 122 years, lakeside city is well on the way to bright future

When German colonial agent Emin Pasha established Mwanza city on the southern shores of Lake Victoria in 1892, all he wanted was a trading centre in the western zone that would make it possible to send exports overseas.

 

10 years ago

East African Business Week

Tanzania Revenue Agency Eyes U.S.$122 Million


Tanzania Revenue Agency Eyes U.S.$122 Million
East African Business Week
Dar es Salaam — Tanzania Revenue Authority (TRA) has said that it seeks to raise Tsh187 billion ($122.28 million) this month through new system dubbed Tanzania Custom Integrated System (TANCIS). TRA has reiterated that since the inception of TANCIS, ...

 

10 years ago

TheCitizen

122 ICC members urged to drop Kenyatta, Ruto case

>Kenya has written to the Assembly of State Parties to have President Kenyatta and his deputy exempted from prosecution at the International Criminal Court.

 

11 years ago

Habarileo

KIDT wapokea mashine ya kutengeneza kuni

TAASISI ya Mfuko wa Maendeleo ya Viwanda Kilimanjaro (KIDT) ya mjini Moshi, imepokea msaada wa mashine ya kisasa ya kutengeneza kuni kwa kutumia pumba za mpunga na mbao yenye thamani ya Sh milioni 100 ikiwa ni msaada kutoka Serikali ya Japan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani