Diamond Afichua Alivyojifanya Z Anto Na Kula Vya Bure
![](http://img.youtube.com/vi/a8Rnc338Hts/default.jpg)
Neno ‘Impersonator’ ni neno linalotosha kumtisha msanii yeyote. Unaposikia kuwa kuna mtu anatumia jina lako kupata vya bure inaweza ikawa ‘Police Case!’ Lakini, je unafahamu kuwa Diamond alishawahi kujifanya Z-Anto akapendwa na mrembo fulani aliyedhani yeye ni Z-Anto?Kabla Diamond hajakuwa Platnumz, kabla hajapata umaarufu alionao sasa, Z-Anto ndiye aliyekuwa akitikisa ‘airwaves’ na ngoma kama ‘Mpenzi Jini’ pamoja na hit iliyomvukisha mipaka, ‘Binti Kiziwi.’ Wakati huo wasanii wengi Afrika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MYVMPXToyPo/XosF3lO9mjI/AAAAAAALmKA/WwY_1xFKCfM5Vrd_7EuBqxuf8hbS769MQCLcBGAsYHQ/s72-c/8ba0de48-9951-4996-88cf-d4ed5b2c2a4c.jpg)
RC MAKONDA ASEMA WATAKAOKAMATWA KWA UZURURAJI WATAPEWA ADHABU ZA KUSAFISHA MITARO NA MAZINGIRA NA SIO KULA UGALI WA BURE MAHABUSU.
RC Makonda amesema kama kuna watu walidhani watapelekwa mahabusu na kula Chakula cha bure wasahau kabisa jambo hilo.
Mhe. Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa Uzinduzi wa Shoppers Supermarket ya Mlimani City ambapo ameonyesha kufurahishwa...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Jipatie tiketi ya bure shoo ya Diamond Krismasi
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz.
UNATAKA kwenda shoo ya Diamond, Krismasi hii? Kama ndiyo, sasa unaweza kujipatia tiketi ya bure kwenda kwenye shoo hiyo kwa kujibu maswali katika Gazeti la Uwazi kesho Jumanne pamoja na Risasi Mchanganyiko siku ya Jumatano.
Jinsi ya kushiriki, nunua gazeti lako la Uwazi au Risasi Mchanganyiko kisha jibu maswali kiufasaha ndani ya magazeti hayo katika kuponi maalum na washindi watano kila gazeti watajishindia tiketi ya bure kwenda kwenye shoo ya...
10 years ago
Habarileo15 Aug
Wajawazito washauriwa kula vyakula vya kuongeza damu
IMEBAINIKA kuwa tatizo la upungufu wa damu kwa wajawazito mkoani Kagera hasa waishio vijijini na visiwani, linatokana na wengi wao na jamii kwa ujumla kutoelewa aina vyakula wanavyopaswa kula kuongeza damu mwilini. Hayo yalibainika mjini hapa baada ya baadhi ya wajawazito walio katika mradi wa ‘Mama ye’ wa kuokoa maisha ya mjamzito na watoto wachanga chini ya shirika la Evidence 4 Action kuzungumza na gazeti hili hivi karibuni.
11 years ago
Habarileo22 Feb
Familia 1,500 kunufaika na vyandarua vya bure
FAMILIA 1,500 katika wilaya ya Ukerewe, Mwanza zitanufaika na vyandarua vya bure vya kujikinga na ugonjwa wa malaria vitakavyotolewa na Shirika la Lake Victoria Children Centre (LVC).
10 years ago
Vijimambo13 May
Wazee wapewa vitambulisho vya matibabu bure Kibaha
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/rashid-13May2015.jpg)
Mji wa Kibaha mkoani Pwani, umegawa vitambulisho maalum vya matibabu kwa wazee wenye umri wa kuanzia miaka 60 na kuendelea vitakavyowawezesha kupatiwa matibabu bure.
Ugawaji wa vitambulisho hivyo ulizinduliwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha, Jeniffer Omolo, mjini hapa jana.
Hatua hiyo inafuatia siku chache baada ya serikali kutoa agizo kwa halmashauri zote nchini kuwatambua wazee wastaafu hususan wenye umri wa kuanzia miaka 60 na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9GRF6qSFToU/VB6-Q0Rz4QI/AAAAAAAAcA0/jRXKaIf9wm8/s72-c/meninah.jpg)
Wema Sepetu Atoswa ! Vikao Vya Harusi Ya Diamond Na Meninah Vyaanza Nyumbani Kwa Mama Diamond.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9GRF6qSFToU/VB6-Q0Rz4QI/AAAAAAAAcA0/jRXKaIf9wm8/s640/meninah.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9onMqBWpz6s/VGnatN4HexI/AAAAAAAAYsU/2NsSbTYPNzE/s72-c/001.jpg)
Hospitali ya Aga Khan yatoa vipimo vya bure kwa wabunge Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-9onMqBWpz6s/VGnatN4HexI/AAAAAAAAYsU/2NsSbTYPNzE/s640/001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-faoo2SOFYMc/VGna2muuZMI/AAAAAAAAYsc/8hGuMSV8Oes/s640/002.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q0vXUJAVN6GleWEWSiheF8Etnb-kOVq0aF1RoSCrDPe36guK5byUUonaoee2sXzQE4cJwSIGaSISbiShyliFwKS/Pic1.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA WHATSAPP, FACEBOOK NA TWITTER BURE KUPITIA VIFURUSHI VYA YATOSHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8ZRCIYV5poLfDuaF1Y44XNKCRsBqgISlUrIwks-TBW5uD2ztaVfoHWWEul5rBjtxqGZ3ONMkbZimxCJBJu5Vboj/001.jpg)
HOSPITALI YA AGA KHAN YATOA VIPIMO VYA BURE KWA WABUNGE DODOMA