Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND AKUBALI MILLIONI ZA UKAWA

Mwandishi wetu Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amekubali kuwa yupo tayari kupokea mamilioni ya fedha kwa ajili ya kumfanyia kampeni mgombea urais kupitia muunganiko wa vyama vya upinzani Bongo vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Ngoyai Lowassa, Ijumaa limenyetishiwa.  ...Soma zaidi====>http://bit.ly/1J3PzOX ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

USA:Yaahidi dola millioni 212 Gaza

Marekani imeahidi dola millioni 212 za msaada ili kusaidia kulijenga eneo la Gaza katika mkutano wa kuomba msaada mjini Cairo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatoa shillingi millioni 21 Nzega mikopo kwa Vijana

PIX 1

Mwenyekiti  wa Vijana  Saccoss Nzega  Bw. Emmanuel  Mambo (watatu kulia) akiishukuru serikali kwa kuwapatia kiasi cha shillingi millioni 21 kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, kwa ajili ya mikopo ya vikundi vya vijana,hivi karibuni  maafisa  hao kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo.(Picha zote na Anitha Jonas – Maelezo, Nzega).

Na  Anitha  Jonas – Maelezo,Nzega

Serikali imewataka vijana kuitumia vyema mikopo wanayopata katika kuteketeza miradi mbalimbali ya kimaendeleo ili...

 

11 years ago

Vijimambo

MTOTO WA MILLIONI 50 MWANAAFA BAADA YA KUNYAKUA MILIONI 50 AUAMUA KUHAMIA DAR


Mwanaafa anasema kuwa kampuni ya Proin Promotions imemjengea mazingira mazuri ya kuishi kama nyota hivyo hata kama anapasi mtihani wake atahamia hapa kwani kazi ya kurekodi filamu ambayo ndio kazi anayoamini si rahisi kuifanya Mtwara, filamu ya TMT movie imeanza kurekodiwa na kinara ni Mwanaafa.Mshindi wa shindano la kusaka vipaji la lillojulikana kwa jina la Tanzania Movie Talent (TMT) Mwanaafa Mwinzago, msanii huyo ambaye kwa sasa anaishi jijini Dar es Salaam baada ya kujinyakulia milioni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yatoa msaada wa millioni 30 Tshs kwa waathirika wa mafuriko mjini Kahama

IMGP0400

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw. Ally Maswanya(kulia) akimkabidhi baadhi ya vyakula, vilivyio gharimu milioni 30 , Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Benson Mpesya (kushoto) kwa ajili ya waathirika wa mafuriko, katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.

IMGP0399

Mkuu wa wilaya ya Kahama, Bw.Benson Mpesya akionyeshwa Baadhi ya vyakula na vifaa vilivyo gharimu milioni 30, na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw.Ally Maswanya, kama msaada kwa waathirika wa mafuriko, katika kijiji...

 

5 years ago

Michuzi

SAO HILL YAGAWA MICHE YA MITI MILLIONI MOJA KWA LENGO LA KUTUNZA MAZINGIRA.


Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.


NA FREDY MGUNDA,IRINGA.

ZAIDI ya miche ya miti milioni moja hugawiwa kwa wadau na wananchi mbalimbali wa wilaya ya Mufindi kwa lengo la kuendelea kuboresha mazingira ya misitu na wakala...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo sasa wanaweza kufurahia nyimbo millioni 36 kwenye simu zao za mkononi za smartphones

FSA_3722

Meneja Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Tigo Music( Tigo Kiboko Yako) ambayo itawawezesha wasanii wa ndani kuweza kupata kipato kwa kusikilizwa nyimbo zao kupitia simu za mkononi, pia itaambatana na tamasha kubwa litakalofanyika tarehe 24 mwezi huu viwanja vya Leaders Kinondoni.

Tigo Tanzania imetangaza uzinduzi wa Muziki wa Tigo ujulikanao kama “Tigo Music” kwa kushirikiana na Deezer, ambayo ni huduma ya kimataifa...

 

11 years ago

Michuzi

MAHAFALI YA TATU YA SHULE YA SEKONDARI YA KAJUMULO GIRLS HIGH SCHOOL BUKOBA YAFANA, BW. JAMES RUGEMALIRA ATOA MILLIONI 200/-


wahitimu wa kidato cha sita wa shule ya Kajumulo Girls High School wakati wa kusherekea mahafali ya tatu Wanafunzi wa Kajumulo Girls High School wanaohitimu kidato cha 6 wakati wa kusherekea mahafali ya tatu katika shule yao. Prof. Anna Tibaijuka kwa furaha akitoa neno. Kwa niaba ya Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea na Mwana hisa wa “VIP Engineering and Marketing Ltd” Mzee James Rugemalira aliyependa kuwa nasi leo lakini akashindwa kutokana na majukumu mengine, tunayo furaha...

 

10 years ago

Michuzi

MWANAFUNZI WA CHUO KIKUUU CHA ST.JOSEPH AKABIDHIWA KITITA CHAKE CHA MILLIONI 10/-

Mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha St.Joseph cha jijini Dar es Salaam ,Ibrahim.M.Ibrahim anayesomea fani ya uhandisi wa kusindika vyakula katika kampasi ya Songea leo amekabidhiwa kitita cha shilingi milioni 10/-alizojishindia kupitia promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania katika hafla iliyofanyika katika tawi la NMB benki house Jijini Dar es Salaam. Ibrahim Ibrahim alikabidhiwa fedha zake na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani