DIAMOND, AUNT WAONGOZA SHANGWE ‘BIRTHDAY’ YA MOSE IYOBO
Mose Iyobo (kulia) akimlisha keki Diamond, usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa Regence Hotel, Mikocheni jijini Dar es Salaam. Mose Iyobo akimlisha keki msanii wa filamu, JB. Mmoja wa madansa wa Diamond aitwaye Dumy, akilishwa keki na Mose Iyobo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNNm30dyCbC*K-Ew4QOz9PR5wRuRQgqL7D-mNONLdLyZQZnkonMV9oUUKHzbBEXwsnbZXsByvu20i0xyZfHqsQyK/Aunt.jpg)
AUNT: BILA CHETI CHA NDOA, SIMUACHI MOSE IYOBO
10 years ago
CloudsFM14 Jan
AUNTY EZEKIEL,MOSE IYOBO WADHIHIRISHA PENZI LAO
Staa wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amedhihirisha penzi lake na dansa wa msanii Diamond Platinumz,Mose Iyobo baada ya picha yao wakiwa wamekaa kimahaba iliyosambaa mtandaoni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vlz-VcMBEun2Ly9Z*Muf5H52KtmGT1cNh6OvXq1GkJRCjo5JJ2JQPY5rIrtiyVDzMTzhzPP86f-09fzgq2Za9pjZGyDH7-7j/JUUUUTR.jpg?width=650)
MOSE IYOBO: HALI YA BEBI IMENIFANYA NISIENDE LONDON
9 years ago
Bongo502 Nov
Aunty Ezekiel adai hajutii kuwa na Mose Iyobo
![Aunt Ezekiel](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Aunt-Ezekiel-94x94.png)
10 years ago
Bongo Movies28 May
Picha: Huyu Hapa ‘Cookie’ Mtoto wa Aunty Ezekiel na Mose Iyobo
Staa wa Bongo movies, Aunty Ezekiel ame ‘share’ nasi picha hii kwenye ukurasa wake mtandaoni akiwa na mzazi mwenzie, Mose Iyobo pamoja na mtoto wao waliompa jina la COOKIE
"La Family @cookie_la_princessa at hosp Sio kwa Ubusy huo looh! Watu na Cookie zao"-Aunty ameabika mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu.
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
Bongo Movies01 Jul
Aunty Ezekiel: Nimezaa na Mose Iyobo Lakini Ndoa Yangu Ipo Pale Pale
Muigizaji wa filamu, Aunty Ezekiel ambaye hivi karibuni alijifungua mtoto wa kike, amedai kuwa licha ya kuzaa nje ya ndoa, bado anaamini ndoa yake ipo pale pale.
Akizungumza na Bongo5 leo, Aunty aka Mama Cookie, amesema aliamua kuzaa na Moses Iyobo, dancer wa Diamond Platnumz kwakuwa muda wa kuwa mama ulikuwa umefika.
“Mimi niliamua kupata mtoto baada ya kuona wakati umefika,” amesema.
“Kwasababu siku zinaenda pamoja na umri inabidi maisha yaendelee mbele. Ndoa yangu ipo kama ilivyokuwa...
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Aunt: Iyobo amenisitiri
Staa wa Bongo Muvi, Aunt Ezekiel Grayson akiwa na mpenzi wake Moses Iyobo.
IMELDA MTEMA
MANENO kuntu! Staa wa Bongo Muvi, Aunt Ezekiel Grayson amekiri hadharani kuwa anamshukuru mwandani wake, Moses Iyobo kumsitiri kwa kumpatia ujauzito kisha kujifungua na kuitwa mama kwani angezeeka bila mtoto.
Mwanadada huyo alisema kuwa Iyobo ni kidume wake wa mwaka 2015 maana ilikuwa si kazi rahisi kwa sababu alikuwa anaona miaka inazidi kusonga huku uzee ukibisha hodi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83s346Aw9bUQl74yCQXEuahuTDqo**tZM*d-EeRDCmWeEFN72YcQcocuyOEACMUnwYgG48Tt5Wu7BaIRoqkQ8JqD/Aunt.gif?width=650)
AUNT, MKE WA IYOBO PACHIMBIKA!