Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond awakera baadhi ya mashabiki kwa video hii wenye ujumbe wa utata!

12346103_935990829789896_1219420600_n

Diamond na Zari ni mtu na mpenzi wake na tayari wana mtoto mmoja so wakikutana kwenye chumba kwenye hoteli ya kifahari huko Kampala, Uganda unajua nini kitatokea sio?

Yes, kitakachotokea ni kile mtu na mpenzi wake wakikutana kitandani hufanya – they make love!

Lakini Diamond amewakera baadhi ya mashabiki wake baada ya kupost video hiyo juu na kuandika: Jus love my Uganda’s Room….Can’t wait for the Dirty game with mama tee here lol!

Tembelea kwenye ukurasa wake wa Instagram ujisomee...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mashabiki wanahisi ujumbe huu wa Diamond ni dongo kwa Wema!

Diamond Platnumz anafahamika kwa kushow love kwa kazi za wasanii wenzake kwenye Instagram. Mmoja wa wasanii walionufaika na shavu lake ni Shilole ambaye anapromote kava la single yake mpya ‘Malele’. Akiweka picha hiyo, Diamond aliandika: “Moja ya mfano mzuri tulionao Nchini…wakati anaanza kila mtu alimdharau na kumuona hatofika popote laikini leo hii Huwezi kuskia show […]

 

10 years ago

GPL

POLISI UJERUMANI WAMUOKOA DIAMOND KUTOKA KWA MASHABIKI WENYE HASIRA

Mwanamuziki nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'. Stuttgart, Ujerumani
USIKU wa Jumamosi ya Agosti 30 mwaka huu majira ya saa 10 alfajiri, Mwanamuziki Nyota wa Bongo Flava, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na polisi mjini Stuttgart, Ujerumani, baada ya mashabiki waliokuwa na hasira kuchoka kusubiri shooo ya staa huyo. Muonekano… ...

 

10 years ago

GPL

CHRIS BROWN AWAKERA MASHABIKI TWITTER

Christopher Maurice "Chris" Brown. MWIMBAJI mashuhuri duniani, Christopher Maurice "Chris" Brown ameonekana kuwakera mashabiki wake baada ya jana kutuma ujumbe kwenye akaunti yake ya Twitter kuhusu Homa ya Ebola na kutoa maoni yake. Maoni aliyoandika Chris Brown. Brown alindika hivi: ''Sijui, lakini nadhani janga la Ebola ni njia mojawapo ya kupunguza idadi ya watu duniani, janga hili… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Meya Kapunga awakera mashabiki Mbeya City

KATIKA mazingira yasiyotarajiwa, Meya wa jiji la Mbeya, Athanus Kapunga, mwishoni mwa wiki alijikuta katika wakati mgumu akishindwa kuhutubia baada ya mashabiki wa soka kuanza kuzomea wakikerwa na hatua yake...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hizi ni baadhi ya jumbe za baadhi ya Wasanii wa Bongo movies wakionyesha kuguswa na wimbi la mauaji ya ndungu zetu wenye ulemavu wa ngozi

Shamsa Ford:

“Yaani hata sijui nisemeje maana kila nikifikilia mwanadamu anayefanya ukatili huu wa kuwaua walemavu wa ngozi naumia sana.kikubwa naomba Mungu wote wanaohusika na huu unyama wakamatwe.. inshaallah Mwenyezi Mungu atasimamia kwa hili”.

Riyama Ally:

“Kiukweli siwezi kulala leo bila kusema haya nitakayosema.. hawa ni wenzetu na wanastahili tabasamu zaidi ya wanalolitoa wenyewe wanahitaji mapenzi yetu ya ziada.. lakini wapi binaadamu wenye uchu na tamaa za madaraka, pesa,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkimbizi afariki kwa ugonjwa wenye utata

Raia mmoja wa Burundi aliyekuwa akiishi katika Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu iliyopo mkoani Kigoma, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana kwa ugonjwa ambao haujajulikana.

 

9 years ago

Michuzi

Diamond awakaribisha mashabiki wake Dar Live X-mas hii

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewaahidi shoo ya nguvu mashabiki wake na kuwataka waje kwa wingi katika shoo kali ya kufunga mwaka itakayopigwa Dar Live, Mbagala Zakhem, Dar katika Sikukuu ya X-mas na kuwa hatawaangusha. 
 Diamond anayetamba na ngoma ya Utanipenda ameyaongea hayo leo kwenye mkutano maalum uliofanyika Karume, Dar ambao ulihusisha waandishi wa habari na wapenzi wa muziki kwa ajili ya kuzungumzia shoo hiyo kubwa kuliko inayojulikana kama Funga Mwaka...

 

9 years ago

MillardAyo

Diamond Platnumz alivyowapagawisha wakazi wa Dar kwa hii burudani…. (+Video)

Dec 25 2015 Msanii Diamond Platnumz kutokea Wasafi Classic Baby (WCB) aliandika historia kubwa kwenye dunia ya burudani 88.5, kwa kutoa shangwe za burudani kwenye viwanja vya Dar Live Mbagala Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]

The post Diamond Platnumz alivyowapagawisha wakazi wa Dar kwa hii burudani…. (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo Movies

Baada ya Baadhi ya Mashabiki Kumshambulia kwa Maneno, JB Asema Haya

Kufuatia kitendo baadhi ya mashabiki kumshabulia kwa maneno makali staa wa Bongo Movies, JB kwa kuonyesha mapenzi yake kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa mwaka huu, JB amefunguka haya kwenye ukurasa wake mtandaoni kuwataka wabadilike kimtazamo.

Hakuna kitu muhimu kwenye maisha kama furaha....lakini furaha ina ambatana na kufanya mambo ambayo moyo wako unapenda bila kuvunja sheria.

Kuishi maisha ya kuogopa kitu unachopenda kwa sababu ya watu ni kuinyima furaha roho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani