DIAMOND KUFANYA MAKAMUZI BBA LEO
![](http://api.ning.com:80/files/LYZrjK6etVe5pRB1jc1hBNydjX*u3nWaZP4WdVzMhmdHM0H2ZY7QxnYasev2aL-j9HD6xRKhBjEXDF32WRPQsUAjaTDfrdgN/diamond.jpg?width=650)
Nasseb Abdul ‘Diamond Platnumz'. STAA wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz' leo anatarajiwa kupiga shoo ya nguvu kwenye ufunguzi rasmi wa shindano la Big Brother Afrika 2014, nchini Afrika Kusini. Diamond anatarajiwa kupamba shoo hiyo ya ufunguzi ambapo pia atakuwa sambamba na mwanamuziki wa Nigeria, Davido watakapoimba wimbo wao wa ‘Number One Remix’. Hii ni mara ya pili kwa Diamond...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pCnj1SuHrlrG9ZySt2hJla*hucoCtmdQx6mmAvbMdXYBCu*58iePdNYsBmrgflOizksOkfFxCV6hEr7uiaHJSklMVeH4Vc2M/diamond1.jpg?width=650)
DIAMOND PLATNUMZ KUFANYA MAKAMUZI KATIKA UTOAJI TUZO ZA MWANASOKA BORA WA AFRIKA NCHINI NIGERIA LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEwj6tuwTPXOCfQI6N7I9iFMK-YDs77eHtx7Ail0duS1lvaxaYfOIvUUA-rq7TInrfYz1B*ooCeva2TNxzEdwRcg/Mafikizolo720x478.jpg?width=650)
MAFIKIZOLO KUTUA LEO JIJINI DAR, KUFANYA MAKAMUZI KESHO MLIMANI CITY
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Diamond ndani ya BBA leo
MWANAMUZIKI nyota wa Tanzania anayetamba kwenye tasnia ya muziki, Nasseb Abdul ‘Diamond Platnumz leo anatarajiwa kupiga shoo ya nguvu kwenye ufunguzi rasmi wa shindano la Big Brother Afrika 2014, nchini...
10 years ago
Bongo527 Nov
Diamond Platnumz kuingia kwenye jumba la BBA Hotshots leo (Nov 27) kupiga story na washiriki
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83ubh*4KayQ4d4HlaQ8yk*4XFJEJiARS0l*IKmk3aTe7Ybr1JhnkaX3kAsNcnfsMdBcx69HaBFG9i0le6oNoPIjz/neyonew.jpg?width=650)
NE-YO KUFANYA MAKAMUZI KWENYE TUZO ZA MTV (MAMAs) 2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscaW3Ta-5zAMgDWR8OG6GPyR-u-IC4CHC94xzF09CXLFkxSw2OcR6taBxZ9MCoP9FNSMfh0ZWECEcw3l6ggZvCgY/T.I2.jpg?width=650)
RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo23 Sep
RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR NI SHIIIIIIIIIDA
![](http://api.ning.com/files/n6JmThHrscaW3Ta-5zAMgDWR8OG6GPyR-u-IC4CHC94xzF09CXLFkxSw2OcR6taBxZ9MCoP9FNSMfh0ZWECEcw3l6ggZvCgY/T.I2.jpg?width=650)
T.I atafanya makamuzi pamoja na wakali wengine watakaokuwa kwenye listi ya kutoa burudani Oktoba 18, mwaka huu.Staa huyo mwenye albamu nane ambazo ni I'm Serious, Trap Muzik, Urban Legend, King, T.I. vs. T.I.P., Paper Trail, No Mercy na Trouble Man: Heavy Is the Head ambapo nyingi kati yake zimefanya vizuri sana katika soko la muziki.
T.I ameshinda tuzo tatu za Grammy tangu aanze safari yake ya muziki.
Baadhi…
RAPPA kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ni mmoja wa wanamuziki...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vpfj7PG2oEM/U7BEdVCzNdI/AAAAAAACvxU/KXozgwSrOoM/s72-c/f1akqHHcQZxSRUvudOhR2YsI0oVeWUzCWH2wxTC1MwM,DcgHne3HleJHs407hQnovbYbzbG02cnGWf5ffBjwdkc.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOFANYA MAKAMUZI CALIFORNIA JUMAMOSI
![](http://1.bp.blogspot.com/-vpfj7PG2oEM/U7BEdVCzNdI/AAAAAAACvxU/KXozgwSrOoM/s1600/f1akqHHcQZxSRUvudOhR2YsI0oVeWUzCWH2wxTC1MwM,DcgHne3HleJHs407hQnovbYbzbG02cnGWf5ffBjwdkc.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4T7u7vfpdqY/VIrlZqPBHwI/AAAAAAAAZQ0/tug3hB7iJl4/s72-c/3.jpg)
VIJANA ELFU 10 WAMIMINIKA DIAMOND JUBILEE KUFANYA USAILI WA AJIRA ZA TRA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4T7u7vfpdqY/VIrlZqPBHwI/AAAAAAAAZQ0/tug3hB7iJl4/s1600/3.jpg)
Vijana hao ambao wengi ni wale walio maliza vyuo mwaka huu na miaka ya hivi karibuni wamefika ukumbini hapo tangu saa kumi na mbili asubuhi na hadi muda wa saa 9:00 mchana bado walikuwa hawajaingia ndani kufanya usaili huo kutokana na wingi wa watu waliopo.
Usaili huo...