Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND KUFANYA MAKAMUZI BBA LEO

Nasseb Abdul ‘Diamond Platnumz'. STAA wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz' leo anatarajiwa kupiga shoo ya nguvu kwenye ufunguzi rasmi wa shindano la Big Brother Afrika 2014, nchini Afrika Kusini. Diamond anatarajiwa kupamba shoo hiyo ya ufunguzi ambapo pia atakuwa sambamba na mwanamuziki wa Nigeria, Davido watakapoimba wimbo wao wa ‘Number One Remix’. Hii ni mara ya pili kwa Diamond...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ KUFANYA MAKAMUZI KATIKA UTOAJI TUZO ZA MWANASOKA BORA WA AFRIKA NCHINI NIGERIA LEO

Diamond Platnumz akifurahia jambo na mmoja wa wasanii wa Kundi la P Square, Peter Okoye wakati akijiandaa kwa ajili ya shoo yake ya leo nchini Nigeria. Diamond akibadilishana mawazo na mwanamuziki Fally Ipupa jijini…

 

11 years ago

GPL

MAFIKIZOLO KUTUA LEO JIJINI DAR, KUFANYA MAKAMUZI KESHO MLIMANI CITY

Kundi maarufu la muziki wa Kwaito la nchini Afrika Kusini, Mafikizolo linatarajia kutua mchana huu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya onesho moja tu linalotarajia kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City, kesho, Jumamosi Aprili 5 mwaka huu. Mafikizolo imekuwa na rekodi nzuri ya kushinda kwenye tuzo mbalimbali za muziki, kutokana na kupiga muziki na kucheza kwa umahiri, hasa mtindo wao maarufu wa Kwaito. Kundi hilo linaloundwa na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diamond ndani ya BBA leo

MWANAMUZIKI nyota wa Tanzania anayetamba kwenye tasnia ya muziki, Nasseb Abdul ‘Diamond Platnumz leo anatarajiwa kupiga shoo ya nguvu kwenye ufunguzi rasmi wa shindano la Big Brother Afrika 2014, nchini...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond Platnumz kuingia kwenye jumba la BBA Hotshots leo (Nov 27) kupiga story na washiriki

Diamond Platnumz tayari ametua jijini Johannesburg, Afrika Kusini toka jana, tayari kuhudhuria tuzo za Channel O (CHOAMVA) zinazotarajiwa kutolewa siku ya Jumamosi Nov.29 akiwa anawania vipengele vinne. Staa huyo ambaye ameachia ngoma mpya siku chache zilizopita ‘Ntampata wapi’, ameandika kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamaii kuwa pia leo Alhamisi Nov.27 atapata nafasi ya kuingia […]

 

10 years ago

GPL

NE-YO KUFANYA MAKAMUZI KWENYE TUZO ZA MTV (MAMAs) 2015

Ne-yo. STAA kutoka nchini Marekani ambaye ni mwimbaji, mwandishi wa mashahiri, dansa na mwigizaji, Ne-yo ni mmoja mwa wasanii watakaotoa burudani katika utoaji Tuzo za Muziki za MTV Africa (MAMAs) huko nchini Afrika Kusini. Taaarifa hiyo imethibitishwa na habari iliyowekwa katika akaunti ya Twitter ya MTV Africa ikieleza kuwa mkali huyo wa R&B tayari amethibitisha kupiga shoo katika tuzo hizo. Tuzo… ...

 

10 years ago

GPL

RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR

RAPPA kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ni mmoja wa wanamuziki watakaopiga shoo katika Usiku wa Fiesta 2014 ndani ya Viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam. T.I atafanya makamuzi pamoja na wakali wengine watakaokuwa kwenye listi ya kutoa burudani Oktoba 18, mwaka huu. Staa huyo mwenye albamu nane ambazo ni I'm Serious, Trap Muzik, Urban Legend, King, T.I. vs. T.I.P., Paper Trail, No Mercy na Trouble Man:...

 

10 years ago

Vijimambo

RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR NI SHIIIIIIIIIDA



T.I atafanya makamuzi pamoja na wakali wengine watakaokuwa kwenye listi ya kutoa burudani Oktoba 18, mwaka huu.Staa huyo mwenye albamu nane ambazo ni I'm Serious, Trap Muzik, Urban Legend, King, T.I. vs. T.I.P., Paper Trail, No Mercy na Trouble Man: Heavy Is the Head ambapo nyingi kati yake zimefanya vizuri sana katika soko la muziki.
T.I ameshinda tuzo tatu za Grammy tangu aanze safari yake ya muziki. 
Baadhi…
RAPPA kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ni mmoja wa wanamuziki...

 

11 years ago

Michuzi

DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOFANYA MAKAMUZI CALIFORNIA JUMAMOSI


 Diamond Platnumz mwanamuziki wa bongo fleva asieshikika sasa hivi ambaye ni maarufu zaidi kwenye wimbo wake wa my number one aliyemshirikisha mwanamuziki mwingine wa Nigeria anayefanya vizuri sasa hivi Davido akifanya show kali jijini Los Angeles, California siku ya Jumamosi June 28, 2014 ikiwa pia akijiandaa kwenye BET award'14 inayofanyika leo jijini humo wimbo wake wa my number one aliyeshirikiana na Davido umekuwa nominated kwenye katagoli ya international collaboration. Mgeni wa...

 

10 years ago

Vijimambo

VIJANA ELFU 10 WAMIMINIKA DIAMOND JUBILEE KUFANYA USAILI WA AJIRA ZA TRA LEO

Vijana takriban elfu kumi kutoka kila pembe ya nchi leo wamemiminika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam kusailiwa katika nafasi mbalimbali za ajira katika Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA). Father Kidevu
Vijana hao ambao wengi ni wale walio maliza vyuo mwaka huu na miaka ya hivi karibuni wamefika ukumbini hapo tangu saa kumi na mbili asubuhi na hadi muda wa saa 9:00 mchana bado walikuwa hawajaingia ndani kufanya usaili huo kutokana na wingi wa watu waliopo.
Usaili huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani